Unacho zungumzia wala ukijui
Setbacks kila upande
Kulia kutoka ktk fensi/ukuta Au mpaka wa kiwanja 1.5m
Kushoto kutoka ktk ukuta/fensi Au mpaka wa kiwanja 1.5m
Nyuma kutoka ktk ukuta Au fensi mpaka wa kiwanja 1m
Mbele kutoka ktk ukuta/fensi Au mpaka wa kiwanja ni 2.5m
Kwann tuna takiwa kuacha hivi?
Kwa uchache eneo litakalo bakia baada ya kutoa hizo mita ndio jengo au nyumba ijengwe, nyumba isijengwe mpkani ila fensi ndio mpaka
Sasa hizi setbacks zinawekwa kusaidia
-kupitisha miundombinu kama system za maji safi na taka,
- umeme
- kujenga chemba
- kusaidia wakati wa majanga (mf. Moto usiweze sambaa kwa majilani na kusababisha mahafa zaidi, uweze zibitiwa haraka)
-parking/Open space/assembly area (ukienda sehemu kama za mabenk sheli vyuo nk wameonesha matumizi yake)
Hivyo tuelewe tujifunze tusipotoshe kama hatujui jambo