Jirani anajenga Msingi wa ukuta katikati ya jiwe la mpaka la manispaa, Sheria ya Ardhi inaruhusu hii?

Jirani anajenga Msingi wa ukuta katikati ya jiwe la mpaka la manispaa, Sheria ya Ardhi inaruhusu hii?

Nenda kaulize ofisi za ardhi.

Nilivyosikia ni kwamba, siku hizi inaruhusiwa kujenga fensi katikati ya mpaka, hakuna kuacha uchochoro mana uchochoro unatumiwa na vibaka.

Hapo kakurahisishia mana utakuja kuunganisha kwenye ukuta wake, na mpaka utabaki kwenye ramani kama kawaida hata kama hauonekani hapo ardhini.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nenda kaulize ofisi za ardhi.

Nilivyosikia ni kwamba, siku hizi inaruhusiwa kujenga fensi katikati ya mpaka, hakuna kuacha uchochoro mana uchochoro unatumiwa na vibaka.

Hapo kakurahisishia mana utakuja kuunganisha kwenye ukuta wake, na mpaka utabaki kwenye ramani kama kawaida hata kama hauonekani hapo ardhini.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ni siku hizi ama tangu zamani ramani ifuatwe?

Ama mnazungumzia viwanja visivyopimwa?
 
Yuko sahihi,kajenga Kwa kuacha beacon nje.

Jirani yako ni ndg yako.kisheria yuko sahihi kabisa.acha hasira
 
Usikimbikie Kaka
Tuelimishe
Labda mi ndo nakosea
Ni kwamba,ramani itatazamwa.Bikoni za kila mmoja zilipo.Baada ya taratibu za ujenzi kufanyika,mjenzi ataamua anajenga kipi kwanza.Kwa kisheria,hutakiwi kujenga usawa kabisa wa bikoni.Unatakiwa urudi ndani mita moja na nusu ndipo ujenge.Nyumba hazitakiwi kuungana.Huwa tunajenga kwa mazoea.Kwa nini nyumba zisiungane?
-Kutenganisha,kutambulisha mipaka na kuacha eneo la huduma za kijamii km maji,nguzo za umeme au simu,
-kuweka usalama kati ya nyumba na nyumba yatokeapo majanga kama moto,mafuriko n.k.
Hivyo basi,ujenzi unaotakiwa ni huo na wala si ule wa mazoea.Na ndiyo maana basi,kuna maeneo ya mikoa inapata tabu sana kwa ujenzi wa kitozingatia uachaji nafasi.
NB:Hiyo haijalishi ukubwa au udogo wa kiwanja.Ndiyo maana hata mh.waziri alituasa kutonunua viwanja vya 20×20 na/au visipimwe kitaalamu kabisa.Kwa kiasi kikubwa nimerudia yaleyale ya mwanzo.Sahihisha unapoona nimekwama.🙏🙏🙏🙏😂
 
Yupo sahihi kwa upande wangu.

Halmashauri niliyojenga Mimi walitutangazia kabisa tuepuke kuacha uchochoro tujengapo uzio.

Kwa muktadha huo,wewe utagongesha tu uzio wako kwa jirani ila baadhi ya majirani huhitaji kugawana gharama za ukuta huo wa pamoja.
 
Viwanja vilivyopangiliwa na miji na majiji havina uchochoro ndugu, kuna bara bara ya mbele na ya nyuma basi, vyenye uchochoro ni uswahilini waliojenga bila plan. Kuna ndugu ameweka mchoro huko juu kuonyesha barabara zinavyokua. Ukiangalia huitaji uchochoro.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Jirani yetu ni mchaga naye alitufanyiaga mambo meusi kama haya, sina chuki na kabila lolote ila maeneo mengi ukipakana kiwanja na mchaga kuwa macho
Uko sahihi 100% hata mm nina jirani mchaga uwezi amini kwenye ukuta wazio kaja kajenga nyumba na maji bati linamwagia kwangu, nimemfata nimemwambia bomoa ufate sheria za ujenzi alafu ni kijana kbs ila ameanza leta ujirani wa kisenge hivi
 
Isipokua mwenye nyumba ana kazi mbili, ya kabali na ya halali, apate wepesi wa ku log in, na ku log out, ...[emoji848][emoji848][emoji848]

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Hapana.Kuacha nafasi kati ya nyumba ya kiwanja kimoja na kiwanja kingine ni lazima kisheria za ujenzi.Na kuna vipimo vyake.Kila mmoja ataacha mita moja na nusu kutoka katika jiwe/bikoni yake.Akileta ubishi atabanwa kwa kuombwa yafuatayo kisheria za mipangomiji/halmashauri;-
1-Uhalali wa umiliki eneo(nyaraka halali),
2-kibali cha ujenzi kinachoenenda na muda(expire date)
3-Na kama amehamia/nyumba ipo,ataombwa leseni/kibali/ruhusa ya kisheria ya kuishi hapo,
4-Hana hivyo vitu;a,atapigwa faini kimojakimoja-b,atasimamishwa ujenzi-c,atavunja ukuta kwa muda atakaopewa kwa gharama zake-d,atapewa onyo kali aache ungedere.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upotoshaji huu. Nenda posta, oysterbay, masaki, upanga na maeneo mengine ya vigogo kama utakuta vichochoro. Nyumba zimejengwa kwa ramani, viwanja vimepwimwa na hutakuta vichochoro.

Uchochoro au vichochoro ni ujenzi wa kimaskini tu.
 
Ni kwamba,ramani itatazamwa.Bikoni za kila mmoja zilipo.Baada ya taratibu za ujenzi kufanyika,mjenzi ataamua anajenga kipi kwanza.Kwa kisheria,hutakiwi kujenga usawa kabisa wa bikoni.Unatakiwa urudi ndani mita moja na nusu ndipo ujenge.Nyumba hazitakiwi kuungana.Huwa tunajenga kwa mazoea.Kwa nini nyumba zisiungane?
-Kutenganisha,kutambulisha mipaka na kuacha eneo la huduma za kijamii km maji,nguzo za umeme au simu,
-kuweka usalama kati ya nyumba na nyumba yatokeapo majanga kama moto,mafuriko n.k.
Hivyo basi,ujenzi unaotakiwa ni huo na wala si ule wa mazoea.Na ndiyo maana basi,kuna maeneo ya mikoa inapata tabu sana kwa ujenzi wa kitozingatia uachaji nafasi.
NB:Hiyo haijalishi ukubwa au udogo wa kiwanja.Ndiyo maana hata mh.waziri alituasa kutonunua viwanja vya 20×20 na/au visipimwe kitaalamu kabisa.Kwa kiasi kikubwa nimerudia yaleyale ya mwanzo.Sahihisha unapoona nimekwama.🙏🙏🙏🙏😂
Rudi darasani tuna aina kazaa za nyumba
1. Raw houses
2. Detached
3. Semi detached
4. Flats
5. Maisonattes
6. Etc

Hivyo tuna weza jenga nyumba zilizo shikana kwa kulingana na aina za nyumba

Waziri na wewe mfate maneno ya wataalam na yaliyopo ktk zile act

Itafute elimu ikusaidie Wewe na wanao kuzunguka
 
Upotoshaji huu. Nenda posta, oysterbay, masaki, upanga na maeneo mengine ya vigogo kama utakuta vichochoro. Nyumba zimejengwa kwa ramani, viwanja vimepwimwa na hutakuta vichochoro.

Uchochoro au vichochoro ni ujenzi wa kimaskini tu.
Moisemusajiografii kila mtu a kubaliani na wewe

Ana kuona ni mpotoshaji... layman, kubali kutafuta maarifa wala sio dhambi
 
Ni kwamba,ramani itatazamwa.Bikoni za kila mmoja zilipo.Baada ya taratibu za ujenzi kufanyika,mjenzi ataamua anajenga kipi kwanza.Kwa kisheria,hutakiwi kujenga usawa kabisa wa bikoni.Unatakiwa urudi ndani mita moja na nusu ndipo ujenge.Nyumba hazitakiwi kuungana.Huwa tunajenga kwa mazoea.Kwa nini nyumba zisiungane?
-Kutenganisha,kutambulisha mipaka na kuacha eneo la huduma za kijamii km maji,nguzo za umeme au simu,
-kuweka usalama kati ya nyumba na nyumba yatokeapo majanga kama moto,mafuriko n.k.
Hivyo basi,ujenzi unaotakiwa ni huo na wala si ule wa mazoea.Na ndiyo maana basi,kuna maeneo ya mikoa inapata tabu sana kwa ujenzi wa kitozingatia uachaji nafasi.
NB:Hiyo haijalishi ukubwa au udogo wa kiwanja.Ndiyo maana hata mh.waziri alituasa kutonunua viwanja vya 20×20 na/au visipimwe kitaalamu kabisa.Kwa kiasi kikubwa nimerudia yaleyale ya mwanzo.Sahihisha unapoona nimekwama.🙏🙏🙏🙏😂
Tunazungumzia ukuta/fence sie
Muda wote unajadili nyumba yenyewe ehh hii nchi jmn

Kuna uchochoro baina ya fences?
 
Rudi darasani tuna aina kazaa za nyumba
1. Raw houses
2. Detached
3. Semi detached
4. Flats
5. Maisonattes
6. Etc

Hivyo tuna weza jenga nyumba zilizo shikana kwa kulingana na aina za nyumba

Waziri na wewe mfate maneno ya wataalam na yaliyopo ktk zile act

Itafute elimu ikusaidie Wewe na wanao kuzunguka
Bado upo kulekule.Inategemea mchoro wa ugawaji viwanja na aina ya ujenzi unaotakiwa.Kumbuka:Jamaa wapo squatter area.Usiwe mwepesi wa kufikia mwisho ukaacha kiini.
 
Upotoshaji huu. Nenda posta, oysterbay, masaki, upanga na maeneo mengine ya vigogo kama utakuta vichochoro. Nyumba zimejengwa kwa ramani, viwanja vimepwimwa na hutakuta vichochoro.

Uchochoro au vichochoro ni ujenzi wa kimaskini tu.

Upotoshaji huu. Nenda posta, oysterbay, masaki, upanga na maeneo mengine ya vigogo kama utakuta vichochoro. Nyumba zimejengwa kwa ramani, viwanja vimepwimwa na hutakuta vichochoro.

Uchochoro au vichochoro ni ujenzi wa kimaskini tu.
Umeelewa eneo linaloelezewa katika uzi au umewaza kununua miguu ya kuku wa kisasa Masaki?
 
Back
Top Bottom