Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama haupo eneo husika ni mwepesi kutoa ushauriAmekengeuka.Kuna umbali maalum/kipimo katika mita alipaswa kuingia kwa upande wake ndiyo ajenge.Hiyo ni ili aache nafasi kati yake na jirani.Pia aache uchochoro/nafasi kwa ajili ya huduma za jamii kama maji,umeme na hata njia ya kupita.Mumuwahi kabla hajaziba kabisa eneo kwa kuwapa taarifa viongozi wa mtaa au Mipangomiji/Ardhi wilayani waje wampe elimu.
Ni makosa hapo,Hilo jiwe Inatakiwa liwe nje ya ukuta, nenda serikali ya mtaa katoe taarifa, au ukiona vipi potezeaHabari wadau,
Nina kiwanja changu kimepimwa na manispaa ya Ubungo.
Jirani yangu naepakana nae ameamua kujenga msingi wa ukuta wake kati kati ya jiwe linalotutenganisha..
Je, yupo sahihi? Sheria ya Ardhi inaruhusu hili kutokea?
Wataalamu na wazoefu naombeni ushauri
Tazama picha. Kiwanja changu ni upande wa kushoto na cha jirani ni upande wa kulia wa beacon
Beacon iliyowekwa na manispaa ndiyo hiyo pembeni ya mti (mti ameuweka ndani ya upande wa kiwanja changu) na hayo nyuma ndio matofali ya jirani
View attachment 2371564
Siku hizi mambo hayo yakuacha uchochoro hayapoSiyo kuombwa.Uchochoro kati ya nyumba na nyumba ni lazima uachwe kwa vipimo vyake kitaalamu.Ujenzi holela,ubishiubishi na maroho machafu huwa yanazua balaa.Mkalisheni chini mumueleze huyo mshari.Laa sivyo mbeleni atawasumbua zaidi.Wa wapi huyo jirani yako?
Ndo maana viwanja vingi vyaua sana watu...Naturally majority of humans are selfish.
Uchochoro haupaswi kuwa kila sehemu, kuna barabara za mitaaaAmekengeuka.Kuna umbali maalum/kipimo katika mita alipaswa kuingia kwa upande wake ndiyo ajenge.Hiyo ni ili aache nafasi kati yake na jirani.Pia aache uchochoro/nafasi kwa ajili ya huduma za jamii kama maji,umeme na hata njia ya kupita.Mumuwahi kabla hajaziba kabisa eneo kwa kuwapa taarifa viongozi wa mtaa au Mipangomiji/Ardhi wilayani waje wampe elimu.
Ooh,huo ukuta atauvunja tu,amekosea huyo, ni mchaga huyo au? Mimi hao nawapendaga nikipakana nao, sisi Wengine machizi freshiHuu ukuta ni wa kishari shari ndio maana nauogopa.. maana viwanja vyetu ni vya mtaa wa mwisho. Nyuma yetu kuna majirani waliojenga kienyeji enyeji..
Hao watu wote watategemea mimi ndio niwaachie njia kubwa.. maana walikuja kuomba na tukaongea na jirani wote tuingie ndani mita chache ili wa nyuma wapate njia.
Sasa ghafla jirani kaanza jenga ukuta nyuma ya beacon kabisa
We inaonekana Ni fukara hata makazi huna, ndiomaana una roho ya kwann...Sasa tukupe Ushauri Gani Hapo. Wee Sema ulitaka TU kutujulisha kwamba una kiwanja!
Nikuulize wewe swali la kawaida Hapo la kutumia TU Akili... Jirani akamua kujenga Hapo, Maji ya Mvua ya Bati lake yataangukia Wapi???[emoji35]
Mnawapa kichwa hao mandezi, dawa nikumfanyia umafia jirani mpuuzi Kama huyoJirani yetu ni mchaga naye alitufanyiaga mambo meusi kama haya, sina chuki na kabila lolote ila maeneo mengi ukipakana kiwanja na mchaga kuwa macho
hii siyo sawa hata kidogo, anatakiwa aache jiwe pembeniHabari wadau,
Nina kiwanja changu kimepimwa na manispaa ya Ubungo.
Jirani yangu naepakana nae ameamua kujenga msingi wa ukuta wake kati kati ya jiwe linalotutenganisha..
Je, yupo sahihi? Sheria ya Ardhi inaruhusu hili kutokea?
Wataalamu na wazoefu naombeni ushauri
Tazama picha. Kiwanja changu ni upande wa kushoto na cha jirani ni upande wa kulia wa beacon
Beacon iliyowekwa na manispaa ndiyo hiyo pembeni ya mti (mti ameuweka ndani ya upande wa kiwanja changu) na hayo nyuma ndio matofali ya jirani
View attachment 2371564
Kweli mkuu, kuishi karibu na matajiri unanufaika na vingi mi mmojawapo wa mnufaika wa hilo,Yes amemsaidia upande mmoja..........Kuna wengine wana bahati anasaidiwa pande tatu zote yeye anabakiza kufunga mbele tu na kuweka geti....Ukinunua viwanja vya kupimwa ndio advantages zake hizo.
Shida yako maelezo yako yamekaa kilayman kishamba, hujui vitu una lazimisha kujuaBado upo kulekule.Inategemea mchoro wa ugawaji viwanja na aina ya ujenzi unaotakiwa.Kumbuka:Jamaa wapo squatter area.Usiwe mwepesi wa kufikia mwisho ukaacha kiini.
Huyo bwana ni wa kumuacha kama alivyo...Tunazungumzia ukuta/fence sie
Muda wote unajadili nyumba yenyewe ehh hii nchi jmn
Kuna uchochoro baina ya fences?
Kwaajiri ya kupitisha huduma za kijamii mfano nguzo za umeme, miundombinu ya maji na zima moto nkuchorochoro unaobaki ni wa nn
yes ndio zao hao, siku hizi tunasema watu wa kutoka JIRAN NA MKOA WA TANGAAliyejenga ukuta bila kuacha beacon nje sio mtu wa Tanga. Bali ni Mchaga
Wahi wamepa itakuumiza baadaye kuna watu wengine akili zao hutumika kuanzia miguuni kwenda kichwaniHuu ukuta ni wa kishari shari ndio maana nauogopa.. maana viwanja vyetu ni vya mtaa wa mwisho. Nyuma yetu kuna majirani waliojenga kienyeji enyeji..
Hao watu wote watategemea mimi ndio niwaachie njia kubwa.. maana walikuja kuomba na tukaongea na jirani wote tuingie ndani mita chache ili wa nyuma wapate njia.
Sasa ghafla jirani kaanza jenga ukuta nyuma ya beacon kabisa
Mmmm wale waleNi mchaga