Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kuna sehemu hakuna.Ila ujenzi wa kufuata utaratibu wa bikoni na umbali ni muhimu.Ingekuwa ndio hivyo nyumba zote zingekuwa zina vichochoro pande zote ndio hicho unamaanisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna sehemu hakuna.Ila ujenzi wa kufuata utaratibu wa bikoni na umbali ni muhimu.Ingekuwa ndio hivyo nyumba zote zingekuwa zina vichochoro pande zote ndio hicho unamaanisha?
Ndo zao na mabingwa wa kuiba ardhi anamega kipande kidogo kama haoni vileNi mchaga
wenye serikali za mitaa Kuna kamati za Ardhi ndio kazi zao.
Ujenzi wa hivi ni isharavya jiran mbaya. Na wengi wanaishia kuzikwa kabla ya kuhamia.
Kuna hawa watu wa jiran na Tanga, wanajifanya Ardhi wanaijua sana.
Sio kweliAmekengeuka.Kuna umbali maalum/kipimo katika mita alipaswa kuingia kwa upande wake ndiyo ajenge.Hiyo ni ili aache nafasi kati yake na jirani.Pia aache uchochoro/nafasi kwa ajili ya huduma za jamii kama maji,umeme na hata njia ya kupita.Mumuwahi kabla hajaziba kabisa eneo kwa kuwapa taarifa viongozi wa mtaa au Mipangomiji/Ardhi wilayani waje wampe elimu.
Punguza utoto sio kila kitu lazima ujibu.Jirani kajenga wewe umeamua kuwa kiherehere nakuja kusema huku!
Sheria gani?Hapana.Kuacha nafasi kati ya nyumba ya kiwanja kimoja na kiwanja kingine ni lazima kisheria za ujenzi.Na kuna vipimo vyake.Kila mmoja ataacha mita moja na nusu kutoka katika jiwe/bikoni yake.Akileta ubishi atabanwa kwa kuombwa yafuatayo kisheria za mipangomiji/halmashauri;-
1-Uhalali wa umiliki eneo(nyaraka halali),
2-kibali cha ujenzi kinachoenenda na muda(expire date)
3-Na kama amehamia/nyumba ipo,ataombwa leseni/kibali/ruhusa ya kisheria ya kuishi hapo,
4-Hana hivyo vitu;a,atapigwa faini kimojakimoja-b,atasimamishwa ujenzi-c,atavunja ukuta kwa muda atakaopewa kwa gharama zake-d,atapewa onyo kali aache ungedere.🙏🙏🙏😂😂😂😂
Hivi mnatoa wapi hizi stori?Kweli hata zile mita mbili kila upande wa kiwanja kuachwa hajaacha
Haya nawewe sikujibu sasaPunguza utoto sio kila kitu lazima ujibu.
Uliwahi kujenga Kate?Au ulijenga tu kwa sababu hakuna aliyekughasi ukaona upo sawa?Jielimishe "dugu yangu"?Unajua hata kuhamia kwenye nyumba yako uliyoijenga kunahitaji leseni?Uliwahi kudodosa au kuiona mkuu?Sheria gani?
Mchoro wa block husika unaonyesha njia ubavuni?
Kama hakuna kwanini uache vichochoro?
Vibaka wakiongezeka polisi,mahakama na magereza vipo.Unaogopa vibaka ndiyo ujenge nyumba kwa kuunganisha kama treni ya Kigoma?Sheria mtu wa Mungu.Sheria na siyo mazoea ya kuogopa wezi na vibaka.Hivi mnatoa wapi hizi stori?
Ununue kiwanja cha 20*20 afu uje na mbwembwe za mita mbili kila upande?
Mnazalisha mapito ya vibaka
Wkt barabara kwny ramani zinaonekana
Tumejenga ndio na hakuna vichochoro hivyo mnasemaUliwahi kujenga Kate?Au ulijenga tu kwa sababu hakuna aliyekughasi ukaona upo sawa?Jielimishe "dugu yangu"?Unajua hata kuhamia kwenye nyumba yako uliyoijenga kunahitaji leseni?Uliwahi kudodosa au kuiona mkuu?
Lazma uunge ndioVibaka wakiongezeka polisi,mahakama na magereza vipo.Unaogopa vibaka ndiyo ujenge nyumba kwa kuunganisha kama treni ya Kigoma?Sheria mtu wa Mungu.Sheria na siyo mazoea ya kuogopa wezi na vibaka.
Kwan ile sheria ya kuacha nusu mita sijui mita moja kutoka kwenye mpaka wako unapo taka kujenge fensi imebadirika au mazaea mabaya?
Na wewe lounge hapo hapo kaishakusaidia ukuta wa upande mmoja
Jirani yetu ni mchaga naye alitufanyiaga mambo meusi kama haya, sina chuki na kabila lolote ila maeneo mengi ukipakana kiwanja na mchaga kuwa machoNi mchaga
LohHapana.Kuacha nafasi kati ya nyumba ya kiwanja kimoja na kiwanja kingine ni lazima kisheria za ujenzi.Na kuna vipimo vyake.Kila mmoja ataacha mita moja na nusu kutoka katika jiwe/bikoni yake.Akileta ubishi atabanwa kwa kuombwa yafuatayo kisheria za mipangomiji/halmashauri;-
1-Uhalali wa umiliki eneo(nyaraka halali),
2-kibali cha ujenzi kinachoenenda na muda(expire date)
3-Na kama amehamia/nyumba ipo,ataombwa leseni/kibali/ruhusa ya kisheria ya kuishi hapo,
4-Hana hivyo vitu;a,atapigwa faini kimojakimoja-b,atasimamishwa ujenzi-c,atavunja ukuta kwa muda atakaopewa kwa gharama zake-d,atapewa onyo kali aache ungedere.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahahavibaka ndiyo ujenge nyumba kwa kuunganisha kama treni ya Kigoma
Yupo sahihi... Wewe usiyejua ata setbacks kazi yake ndio haupo sahihiAmekengeuka.Kuna umbali maalum/kipimo katika mita alipaswa kuingia kwa upande wake ndiyo ajenge.Hiyo ni ili aache nafasi kati yake na jirani.Pia aache uchochoro/nafasi kwa ajili ya huduma za jamii kama maji,umeme na hata njia ya kupita.Mumuwahi kabla hajaziba kabisa eneo kwa kuwapa taarifa viongozi wa mtaa au Mipangomiji/Ardhi wilayani waje wampe elimu.
Sio lazima... muhimu hautoki ktk point husika... ata ukiling’oa halina shida ili mradi usitoke ktk point au majira ya nuktaNijuavyo mimi becon inatakiwa kuachwa nje, hutakiwi kuiingilia.
Huna unalo lijua masikini ya mungu...Hapana.Kuacha nafasi kati ya nyumba ya kiwanja kimoja na kiwanja kingine ni lazima kisheria za ujenzi.Na kuna vipimo vyake.Kila mmoja ataacha mita moja na nusu kutoka katika jiwe/bikoni yake.Akileta ubishi atabanwa kwa kuombwa yafuatayo kisheria za mipangomiji/halmashauri;-
1-Uhalali wa umiliki eneo(nyaraka halali),
2-kibali cha ujenzi kinachoenenda na muda(expire date)
3-Na kama amehamia/nyumba ipo,ataombwa leseni/kibali/ruhusa ya kisheria ya kuishi hapo,
4-Hana hivyo vitu;a,atapigwa faini kimojakimoja-b,atasimamishwa ujenzi-c,atavunja ukuta kwa muda atakaopewa kwa gharama zake-d,atapewa onyo kali aache ungedere.🙏🙏🙏😂😂😂😂