Jirani anajenga Msingi wa ukuta katikati ya jiwe la mpaka la manispaa, Sheria ya Ardhi inaruhusu hii?

Jirani anajenga Msingi wa ukuta katikati ya jiwe la mpaka la manispaa, Sheria ya Ardhi inaruhusu hii?

kwenye serikali za mitaa Kuna kamati za Ardhi ndio kazi zao.

Ujenzi wa hivi ni isharavya jiran mbaya. Na wengi wanaishia kuzikwa kabla ya kuhamia.

Kuna hawa watu wa jiran na Tanga, wanajifanya Ardhi wanaijua sana.
 
wenye serikali za mitaa Kuna kamati za Ardhi ndio kazi zao.

Ujenzi wa hivi ni isharavya jiran mbaya. Na wengi wanaishia kuzikwa kabla ya kuhamia.

Kuna hawa watu wa jiran na Tanga, wanajifanya Ardhi wanaijua sana.

Aliyejenga ukuta bila kuacha beacon nje sio mtu wa Tanga. Bali ni Mchaga
 
Amekengeuka.Kuna umbali maalum/kipimo katika mita alipaswa kuingia kwa upande wake ndiyo ajenge.Hiyo ni ili aache nafasi kati yake na jirani.Pia aache uchochoro/nafasi kwa ajili ya huduma za jamii kama maji,umeme na hata njia ya kupita.Mumuwahi kabla hajaziba kabisa eneo kwa kuwapa taarifa viongozi wa mtaa au Mipangomiji/Ardhi wilayani waje wampe elimu.
Sio kweli
Hakuna njia hapo baina ya viwanja viwili vinavyopeana ubavu
 
Hapana.Kuacha nafasi kati ya nyumba ya kiwanja kimoja na kiwanja kingine ni lazima kisheria za ujenzi.Na kuna vipimo vyake.Kila mmoja ataacha mita moja na nusu kutoka katika jiwe/bikoni yake.Akileta ubishi atabanwa kwa kuombwa yafuatayo kisheria za mipangomiji/halmashauri;-
1-Uhalali wa umiliki eneo(nyaraka halali),
2-kibali cha ujenzi kinachoenenda na muda(expire date)
3-Na kama amehamia/nyumba ipo,ataombwa leseni/kibali/ruhusa ya kisheria ya kuishi hapo,
4-Hana hivyo vitu;a,atapigwa faini kimojakimoja-b,atasimamishwa ujenzi-c,atavunja ukuta kwa muda atakaopewa kwa gharama zake-d,atapewa onyo kali aache ungedere.🙏🙏🙏😂😂😂😂
Sheria gani?
Mchoro wa block husika unaonyesha njia ubavuni?
Kama hakuna kwanini uache vichochoro?
 
Hivi mnatoa wapi hizi stori?
Ununue kiwanja cha 20*20 afu uje na mbwembwe za mita mbili kila upande?
Mnazalisha mapito ya vibaka

Wkt barabara kwny ramani zinaonekana
Vibaka wakiongezeka polisi,mahakama na magereza vipo.Unaogopa vibaka ndiyo ujenge nyumba kwa kuunganisha kama treni ya Kigoma?Sheria mtu wa Mungu.Sheria na siyo mazoea ya kuogopa wezi na vibaka.
 
Uliwahi kujenga Kate?Au ulijenga tu kwa sababu hakuna aliyekughasi ukaona upo sawa?Jielimishe "dugu yangu"?Unajua hata kuhamia kwenye nyumba yako uliyoijenga kunahitaji leseni?Uliwahi kudodosa au kuiona mkuu?
Tumejenga ndio na hakuna vichochoro hivyo mnasema

Huduma za jamii vichochoroni?hii mpya

Tunajenga kufuat plan ya viwanja eneo husika
 
Hapana.Kuacha nafasi kati ya nyumba ya kiwanja kimoja na kiwanja kingine ni lazima kisheria za ujenzi.Na kuna vipimo vyake.Kila mmoja ataacha mita moja na nusu kutoka katika jiwe/bikoni yake.Akileta ubishi atabanwa kwa kuombwa yafuatayo kisheria za mipangomiji/halmashauri;-
1-Uhalali wa umiliki eneo(nyaraka halali),
2-kibali cha ujenzi kinachoenenda na muda(expire date)
3-Na kama amehamia/nyumba ipo,ataombwa leseni/kibali/ruhusa ya kisheria ya kuishi hapo,
4-Hana hivyo vitu;a,atapigwa faini kimojakimoja-b,atasimamishwa ujenzi-c,atavunja ukuta kwa muda atakaopewa kwa gharama zake-d,atapewa onyo kali aache ungedere.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Loh
 
Amekengeuka.Kuna umbali maalum/kipimo katika mita alipaswa kuingia kwa upande wake ndiyo ajenge.Hiyo ni ili aache nafasi kati yake na jirani.Pia aache uchochoro/nafasi kwa ajili ya huduma za jamii kama maji,umeme na hata njia ya kupita.Mumuwahi kabla hajaziba kabisa eneo kwa kuwapa taarifa viongozi wa mtaa au Mipangomiji/Ardhi wilayani waje wampe elimu.
Yupo sahihi... Wewe usiyejua ata setbacks kazi yake ndio haupo sahihi

Usiyejua mchoro una takaje ndio haupo sahihi

Nyie mnao ambiwa Ombeni vibari vya ujenzi ndio mnataka kuleta shida we zenu kuwa hisi hawafati taratibu
 
Nijuavyo mimi becon inatakiwa kuachwa nje, hutakiwi kuiingilia.
Sio lazima... muhimu hautoki ktk point husika... ata ukiling’oa halina shida ili mradi usitoke ktk point au majira ya nukta
 
Hapana.Kuacha nafasi kati ya nyumba ya kiwanja kimoja na kiwanja kingine ni lazima kisheria za ujenzi.Na kuna vipimo vyake.Kila mmoja ataacha mita moja na nusu kutoka katika jiwe/bikoni yake.Akileta ubishi atabanwa kwa kuombwa yafuatayo kisheria za mipangomiji/halmashauri;-
1-Uhalali wa umiliki eneo(nyaraka halali),
2-kibali cha ujenzi kinachoenenda na muda(expire date)
3-Na kama amehamia/nyumba ipo,ataombwa leseni/kibali/ruhusa ya kisheria ya kuishi hapo,
4-Hana hivyo vitu;a,atapigwa faini kimojakimoja-b,atasimamishwa ujenzi-c,atavunja ukuta kwa muda atakaopewa kwa gharama zake-d,atapewa onyo kali aache ungedere.🙏🙏🙏😂😂😂😂
Huna unalo lijua masikini ya mungu...

Hilo ndio naweza sema kwako... pambana ufahamu matumizi ya setbacks....
 
Back
Top Bottom