SOFTWARE Jisomee vitabu vya Kiswahili bure ndani ya App hii?

SOFTWARE Jisomee vitabu vya Kiswahili bure ndani ya App hii?

Hii ya kugeuza simu uweze kusoma sijaipata bado. Labda uniambie inakuwaje, au umeweka auto rotate. Na usomaje wake ni kuscroll right tu. Na kama ulifika chapter fulani, unaweza kuiclick kwenye yaliyomo na itakupeleka moja kwa moja.
Kama unapokea maoni na kufanyia kazi basi tunakuomba ufanye yafuatayo.

1. Simu ina kazi nyingi, kuitumia muda mrefu kaa kusoma vitabu online inaingiliana na mambo mengi, mara msg, mara call mara video call n.k

2. Ukifungua kitabu baadhi ya maandishi yanakatwa eidha chini au juu...ina poteza mtiririko kwa msomaji.

3. Unaweza ruhusu file sharing, ili mtu ahamishie kwenye pc au email for easy perusing

4. Uruhusu kitabu kifunguliwe kwa njia mbali mbali yan ile option ya open with.... iwepo.

5. Binafsi nimependa kitabu cha babilon...
Ila napata shida kukifaidi tokana na changamoto nilizosema hapo juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unapokea maoni na kufanyia kazi basi tunakuomba ufanye yafuatayo.

1. Simu ina kazi nyingi, kuitumia muda mrefu kaa kusoma vitabu online inaingiliana na mambo mengi, mara msg, mara call mara video call n.k

2. Ukifungua kitabu baadhi ya maandishi yanakatwa eidha chini au juu...ina poteza mtiririko kwa msomaji.

3. Unaweza ruhusu file sharing, ili mtu ahamishie kwenye pc au email for easy perusing

4. Uruhusu kitabu kifunguliwe kwa njia mbali mbali yan ile option ya open with.... iwepo.

5. Binafsi nimependa kitabu cha babilon...
Ila napata shida kukifaidi tokana na changamoto nilizosema hapo juu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa maoni yako.
1. Vitabu kwenye hii app unaweza kusoma hata ukiwa offline. Ukiwa offline click kwenye lile tufe la blue. Vitabu vyako vyote ulivyopakua vipo humo.
2. Pale unafungua halafu inakata juu na chini, we click tu kwenye screen. kile kuvuli kinachozuia kitaonfoka, zitakuja text zote zimejaa kwenye screen.
3. Kuhusu Kushare; kuna changamoto kidogo, sababu ni kuwa karibu vitabu vingi vina hati miliki. Ni vichache tu inawezekana kushare.

Kwa kuongezea, kama ulikuwa unasoma na umefika sura fulani ya mbele, basi unavyofungua app ingia kwenye yaliyomo na click kwenye sura uliyokuwepo. Utaenda moja kwa moja kwenye sura hiyo.

Kuna mambo tunayashughulikia ili kuiboresha zaidi, hasa namna ya kutafuta page uliyoishia kusoma kwa mara ya mwisho.
 
Jisomee hadithi ya Alladini na taa ya ajabu bure ndani ya maktaba app(by pictuss). Ingia playstore uinstall.
1618750932520.png
 
Hiki kitabu kinachozungumzia masuala ya pombe kinapatikana ndani ya maktaba app(by pictuss). Jisomee bure. Install app toka playstore.

IMG-20210113-WA0006.jpg
 
Mkuu ubarikiwe Sana,hakika hii app imenipa company ya kutosha,nimeburudika kweli

Ila nilikuwa Nina ombi mmoja Kama inawezekana ku update library ingependeza kutuongezea vitabu vingine

Lakini pia ungejaribu ku categories vitabu mfano kitabu Cha tajiri wa babeli kukichanganya na kitabu Cha naluetesha au alladin Nona sio sawa,
Kuna vitabu vyenye kuelimisha na vingine kuburudisha...na vingine ambavyo Ni hadithi za picha(mfano nyati akamuambia Simba twende tukanywe maji)

Kwa hayo you're naomba nikupongeze Tena kwa kazi uliyoifanya ya kutuletea collection ya vitabu..tupunguze ujinga na kuongeza maarifa

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ubarikiwe Sana,hakika hii app imenipa company ya kutosha,nimeburudika kweli

Ila nilikuwa Nina ombi mmoja Kama inawezekana ku update library ingependeza kutuongezea vitabu vingine

Lakini pia ungejaribu ku categories vitabu mfano kitabu Cha tajiri wa babeli kukichanganya na kitabu Cha naluetesha au alladin Nona sio sawa,
Kuna vitabu vyenye kuelimisha na vingine kuburudisha...na vingine ambavyo Ni hadithi za picha(mfano nyati akamuambia Simba twende tukanywe maji)

Kwa hayo you're naomba nikupongeze Tena kwa kazi uliyoifanya ya kutuletea collection ya vitabu..tupunguze ujinga na kuongeza maarifa

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Nashukuru kama imekufaa mkuu. Vitabu tunajitahidi kuweka. Kila mwezi tunaweka vitabu. Wiki hii tunatarajia kuweka vitabu viwili.
Pale juu tumeweka categories za fiction, non fiction, uchumi nk. Kama viliingiliana basi ni makosa wakati wa kuviweka.
 
Jisomee hadithi hii ya Mtunzi Ally Mbetu ndani ya Maktaba app(by pictuss)
1624184337699.png
 
Sinti binti Saad (1880-1950)alikuwa mwanamuziki wa tarabu mwenye mafanikio makubwa, na Alikuwa na sauti ya pekee sana. Jisomee wasifu wake huu ulioandikwa na Shaaban Robert bure ndani ya Maktaba app(by pictuss). Ingia playstore uinstall app hiyo uweze kusoma kitabu hiki na vingine vingi bure.

1626532465613.png
 
Jisomee tafsiri ya kitabu The prince(Kiongozi) na vingine vingi bure na hata ukiwa offline ndani ya maktaba app(by pictus). Install kutoka playstore.

Kiufupi, kitabu hiki kinahusu namna ya kupata madaraka na kuyashikilia. Kiliandikwa na Niccolo Machiavelli mwaka 1513.
1626826564380.png
1626826291852.png
1626827270196.png
1626827270196.png
 
Jisomee historia ya maisha ya Sir JK Chande ndani ya maktaba app(by pictuss).

1627080607027.png
 
jikumbushe zamani kwa kusoma au kwa kumsomea mwanao hadithi kutoka kitabu someni kwa furaha, kitabu cha tatu. install app ya maktaba(by pictuss) kutoka playstore na ujisomee bure.
cover.jpg
 
Sasa ndani ya App yetu ya maktaba unaweza kujisomea vitabu vyote vilivyomo bure kabisa. Ingia playstore na install Maktaba by pictuss APP.
Unaweza kusoma vitabu hata ukiwa offline.

View attachment 1842690

Vitabu vilivyopo mpaka sasa.

1. Hekaya za Abunuwasi na hadithi zingine
2. Machimbo ya mfalme Sulemani
3. Hadithi ya Allan Quatermain
4. Kisiwa chenye hazina
5. Alibaba na wezi arobaini
6. Alladini na taa ya ajabu
7. Safari saba za Sinbad
8. Tajiri wa Babeli: Tafsiri ya kitabu The richest man in Babylon chake George Cleason
9. Sanaa ya vita: Tafsiri ya kitabu The art of war cha Sun Tzu
10. Kiongozi: Tafsiri ya kitabu The Prince cha Niccolo Machiavelli
11. Nalutuesha: Cha Pete McGregor
12. Jasiri katika Africa: Chake J. C. Chande
13. Kusadikika: Cha Shaaban Robert
14. Kufikirika: Cha Shaaban Robert
15. Adili na nduguze: Cha shaaban Robert
16. Vazi jipya la mfalme: Tafsiri ya kitabu Emperor's new clothes
17. Wasifu wa Siti binti Saad cha Shaaban Robert
18. Ifahamu pombe
19. Mtu aliyepanda miti: Tafsiri ya kitabu cha Jean Giono, kilichotafsiriwa na Mara Consult
20. Kaburi la wanaume: Ally Mbetu
21. Sura ya mtu roho ya shetani: Ally Mbetu
22. Shamba la wanyama: Tafsiri ya kitabu The animal farm
23. Nchi ya wasioona: Tafsiri ya kitabu The country of the blind
24. Someni kwa furaha, kitabu cha Tatu, cha muandishi Alfonso Loogman.
Mkuu hongera sana, kwa kweli ni wazo zuri sana, nimepakua app na ku download baadhi ya vitabu, ni app nzuri na vitabu vinapatikana kwa kb chache, ombi langu ongezeni vitabu hata vile vya Europe na Amerika huwa ni vizuri sana isipokuwa mvitafsiri kwa kiswahili ili kuleta maana ya app hii, pia ningeomba muongeze kitabu cha Wagagagigikoko kile cha Abunuwasi na Lizabeta.

Very useful app indeed, shukran sana mkuu [emoji120]
 
Back
Top Bottom