SOFTWARE Jisomee vitabu vya Kiswahili bure ndani ya App hii?

SOFTWARE Jisomee vitabu vya Kiswahili bure ndani ya App hii?

Mbonaaa haifunguki mkuu nafika had katika vitabu inabaki cover la kitabu tuu...
 
App ipo poa sanaaaa....nimenjoy na kitabu cha tajir wa babeli na Hadith zengine...

Muongeze vtabu vengine kama...

Rich Dad poor dad
The magic
The power of subconscious mind

N.k
 
Jisomee bure hadithi ya safari ya Bulicheka na mkewe Lizabeta katika nchi ya Wagagagigikoko ndani ya maktaba app(by pictuss). Pitia post no 16 kuona link ya playstore au unaweza isearch playstore.

1631703696514.png
 
Jisomee bure hadithi ya safari ya Bulicheka na mkewe Lizabeta katika nchi ya Wagagagigikoko ndani ya maktaba app(by pictuss). Pitia post no 16 kuona link ya playstore au unaweza isearch playstore.

View attachment 1941194
Mkuu shukran sana kwa kutuwekea kitabu hiki, nilikisoma zamani sn nikiwa darasa la kwanza nikakitafuta bila mafanikio leo hatimaye nimekipata, nimeshakipakua natafuta muda nianze kukisoma.

Shukran kwa kusikiliza maoni yetu wasomaji, hii app yenu soon inakwenda kupata wateja wengi, endeleeni na kubwa na nzuri mnayoifanya [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Sasa ndani ya App yetu ya maktaba unaweza kujisomea vitabu vyote vilivyomo bure kabisa. Ingia playstore na install Maktaba by pictuss APP.
Unaweza kusoma vitabu hata ukiwa offline. Link ya app inapatikana katika post no 16.

View attachment 1842690

Vitabu vilivyopo mpaka sasa.

1. Hekaya za Abunuwasi na hadithi zingine
2. Machimbo ya mfalme Sulemani
3. Hadithi ya Allan Quatermain
4. Kisiwa chenye hazina
5. Alibaba na wezi arobaini
6. Alladini na taa ya ajabu
7. Safari saba za Sinbad
8. Tajiri wa Babeli: Tafsiri ya kitabu The richest man in Babylon chake George Cleason
9. Sanaa ya vita: Tafsiri ya kitabu The art of war cha Sun Tzu
10. Kiongozi: Tafsiri ya kitabu The Prince cha Niccolo Machiavelli
11. Nalutuesha: Cha Pete McGregor
12. Jasiri katika Africa: Chake J. C. Chande
13. Kusadikika: Cha Shaaban Robert
14. Kufikirika: Cha Shaaban Robert
15. Adili na nduguze: Cha shaaban Robert
16. Vazi jipya la mfalme: Tafsiri ya kitabu Emperor's new clothes
17. Wasifu wa Siti binti Saad cha Shaaban Robert
18. Ifahamu pombe
19. Mtu aliyepanda miti: Tafsiri ya kitabu cha Jean Giono, kilichotafsiriwa na Mara Consult
20. Kaburi la wanaume: Ally Mbetu
21. Sura ya mtu roho ya shetani: Ally Mbetu
22. Shamba la wanyama: Tafsiri ya kitabu The animal farm
23. Nchi ya wasioona: Tafsiri ya kitabu The country of the blind
24. Someni kwa furaha, kitabu cha Tatu, cha muandishi Alfonso Loogman.
25.Robinson Kruso na kisiwa chake, Tafsiri ya kitabu Robinson Crusoe chake Daniel Defoe.
26. Maisha yangu na baada ya miaka hamsini, chake Shaaban Robert.
27. Simba wa Tsavo, chake JH Pattterson.
28. Nyayo za mwendo wa binadamu, kimeandikwa na C. S. S Higham.
29. Someni kwa furaha, kitabu cha kwanza, by Alfonso Loogman.
30. Safari ya Bulicheka na Mke wake, Alfonso Loogman.
Uweke option iwe sio lazima mpaka udownload...mtu awe na option ya kusoma bila kudownload!
 
Kitabu hiki(The tale of peter rabbit)kiliandikwa mwaka 1893 na muandishi Beatrix Potter. Ni hadithi fupi ya watoto. Imetafsiriwa katika lugha zaidi ya 36 na kimeuza nakala 45milioni duniani kote. Jisomee au msomee mwanao tafsiri hii ya kiswahili ndani ya maktaba app. Pita post number 16 utaona link ya playstore.
1633104254744.png
 
Pia kitabu hiki kilikuwa hakisomi vizuri lakini sasa kinasoma.

2921186_Img_269_0-book_reader_ReadEra.png
 
Mwandishi nguli John Steinbeck aliandika kitabu hiki(The Pearl) mwaka 1947. Ni hadithi ya mvuvi mmoja aliyeitwa Kino na familia yake. Walipata luku bora kabisa, hadithi hii inasimulia yaliyofuatia. Unaweza kuisoma tafsiri yake bure ndani ya maktaba app by pictus. Ingia playstore au nenda post no 16 uone link ya app.

1636453370579.png
 
jisomee bure kitabu cha pili cha Alfu ulela ndani ya maktaba app. Ingia playstote na install maktaba app bya pictus au pitia post number 16 kwa link ya playstore.
ALFU LELA ULELA KITABU CHA PILI.jpg
 
Naweza vp kupata vitabu vya

Masonic
Siri za uchawi
kuzitambua nafsi
Elimu ya uchawi

Mwenye kujua ambapo naweza kuvipata aniarifu
 
Back
Top Bottom