SOFTWARE Jisomee vitabu vya Kiswahili bure ndani ya App hii?

SOFTWARE Jisomee vitabu vya Kiswahili bure ndani ya App hii?

Mi mbona kwangu havifunguki!?
Screenshot_20210815-143540_Maktaba.jpg
Screenshot_20210815-143537_Maktaba.jpg
 
Mkuu hongera sana, kwa kweli ni wazo zuri sana, nimepakua app na ku download baadhi ya vitabu, ni app nzuri na vitabu vinapatikana kwa kb chache, ombi langu ongezeni vitabu hata vile vya Europe na Amerika huwa ni vizuri sana isipokuwa mvitafsiri kwa kiswahili ili kuleta maana ya app hii, pia ningeomba muongeze kitabu cha Wagagagigikoko kile cha Abunuwasi na Lizabeta.

Very useful app indeed, shukran sana mkuu [emoji120]
Shukrani kwa feedback mkuu. tunajitahidi kuongeza vitabu kadri tuwezavyo. kila mwezi tunaweka. mfano kabla mwezi huu haujaisha tunategemea kuweka vitabu viwili. Tunaufanyia kazi usahuri wako.
 
Shukrani kwa feedback mkuu. tunajitahidi kuongeza vitabu kadri tuwezavyo. kila mwezi tunaweka. mfano kabla mwezi huu haujaisha tunategemea kuweka vitabu viwili. Tunaufanyia kazi usahuri wako.
Pia kuhusu page unakuta mtu ukisoma let say mpk page ya 20 zen ukapata dharura ukitoka kwenye app baadaye ukirudi inakubidi uanze upya kutafuta page yako yani app haitunzi kumbukumbu, nashauri kuwe na page number pia kuwe na search button una click zen unaandika number uliyoishia kama app bado hamjaifanya iwe inatunza kumbukumbu. Lkn yote kwa yote ni wazo zuri sana la kuanzisha hii app, hope itafanya vzr sn huko mbele, pia tuzidi kuitangaza na pia kwa ushauri muweke vimaneno kule play store mtu akivutika aweze kuchangia mkuu, kila la heri.
 
Pia kuhusu page unakuta mtu ukisoma let say mpk page ya 20 zen ukapata dharura ukitoka kwenye app baadaye ukirudi inakubidi uanze upya kutafuta page yako yani app haitunzi kumbukumbu, nashauri kuwe na page number pia kuwe na search button una click zen unaandika number uliyoishia kama app bado hamjaifanya iwe inatunza kumbukumbu. Lkn yote kwa yote ni wazo zuri sana la kuanzisha hii app, hope itafanya vzr sn huko mbele, pia tuzidi kuitangaza na pia kwa ushauri muweke vimaneno kule play store mtu akivutika aweze kuchangia mkuu, kila la heri.
Hili ni tatizo tumeliona hata sisi. Na tumeanza kulifanyia kazi. Kukurudisha ulipokuwa mara ya mwisho na kuweka bar ya kuscroll pale chini, kama zilivyo epub readerzingine. Kwa sasa, kama ulivuka sura, unaweza kwenda sura uliyokuwapo kwa kuclick sura hiyo kwenye yaliyomo. Inarahisisha kidogo.
Yaliyomo ni links za kwenda kwenye sura husika.
 
Hili ni tatizo tumeliona hata sisi. Na tumeanza kulifanyia kazi. Kukurudisha ulipokuwa mara ya mwisho na kuweka bar ya kuscroll pale chini, kama zilivyo epub readerzingine. Kwa sasa, kama ulivuka sura, unaweza kwenda sura uliyokuwapo kwa kuclick sura hiyo kwenye yaliyomo. Inarahisisha kidogo.
Yaliyomo ni links za kwenda kwenye sura husika.
Yah hiyo ya sura ndio naitumia kwa ss, but all in all it's one of the best apps that I have installed this year, big up[emoji109]
 
Mchanganyo wa vitabu uko poa kabisa,ila napata mashaka kwa Hawa publishers wa siku hz,wanaedit story mpk inakosa maana...,mf kitabu Cha safari 7 za sindbad kimechakachuliwa mpk kimekosa ladha, naomba utafute machapisho ya zamani ambayo story zake zimekamilika,hii uliyotuwekea huku inamakosa mengi mpk Imepoteza maana...

Lakini pia Kuna vitabu vina story zinazoishia njiani,yaani story haijakamilika mfano kwenye kitabu Cha nchi ya wasioona naomba ukipitie Tena ..

Asante Ni hayo tu ila kudos kwa kitabu Cha "the richest man in the Babylon" bonge moja ya kitabu,nasoma na kurudia tena

Big up man!

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Mchanganyo wa vitabu uko poa kabisa,ila napata mashaka kwa Hawa publishers wa siku hz,wanaedit story mpk inakosa maana...,mf kitabu Cha safari 7 za sindbad kimechakachuliwa mpk kimekosa ladha, naomba utafute machapisho ya zamani ambayo story zake zimekamilika,hii uliyotuwekea huku inamakosa mengi mpk Imepoteza maana...

Lakini pia Kuna vitabu vina story zinazoishia njiani,yaani story haijakamilika mfano kwenye kitabu Cha nchi ya wasioona naomba ukipitie Tena ..

Asante Ni hayo tu ila kudos kwa kitabu Cha "the richest man in the Babylon" bonge moja ya kitabu,nasoma na kurudia tena

Big up man!

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Tutaliangalia hilo mkuu. Hicho Alfu Lela Ulela tafsiri ya E. W. Brenn tunaitafuta sana. Na marekebisho ni mengi, typing errors nk.

Lakini hicho Nchi ya wasioona kimefika mwisho, nafikiri wanaita open ended. Kimeishia hapa.
Screenshot_20210816-122240.png
 
jisomee bure kitabu Robinson Kruso na kisiwa chake ndani ya maktaba app. Pitia post no 16 kuna link ya playstore. hadithi hii iliandikwa mwaka 1719 na muandishi muingereza, Daniel Defoe. Miaka ya 60 ikatafsiriwa na kuchapwa kwa kiswahili. ni hadithi nzuri kwa kusoma au kumsomea mwanao.
New Doc 2021-08-16 00 18 55_page-0001gg.jpg
 
jisomee bure kitabu Robinson Kruso na kisiwa chake ndani ya maktaba app. Pitia post no 16 kuna link ya playstore. hadithi hii iliandikwa mwaka 1719 na muandishi muingereza, Daniel Defoe. Miaka ya 60 ikatafsiriwa na kuchapwa kwa kiswahili. ni hadithi nzuri kwa kusoma au kumsomea mwanao.View attachment 1903811
Ndiyo mmekiingiza this month hiki?
 
Yap mkuu. kuna kingine tutaweka wiki hii inakuja.
Shukran nimeki download tayari na naona ni kizuri, kinaitwa Nalutesha nimeanza kukisoma mwanzo umekuwa mtamu nahisi itakuwa hadithi nzuri sana, alafu kuna some improvement ya app nimeona mkuu, hongereni kwa kuendelea kuifanya app inakuwa bora naamini itakuwa bora zaidi kadri siku zinavyozidi kwenda.
 
Naona haitakua vema kupita kimyakimya,vitabu ni vzir sana,app bomba nilidhani kuna usanii sanii wa malipo,nineshangaa vitabu vyoe vina patikana bure.
Thumb up.
Mkuu
 
Shaaban Robert aliwahi kuandika kitabu kiitwacho Maisha yangu na baada ya miaka hamsini. Ni kitabu juu ya maisha yake mwenyewe.

Ni kitabu kizuri na chenye utajiri wa Lugha na ushairi. Kumbe Sheikh Amri Abeid, ambaye uwanja wa mpira Arusha umepewa jina lake alikuwa mwanafasihi mahiri sana!

Unaweza kukisoma bure ndani ya maktaba app by pictuss. Pita post number 16 kupata link ya playstore.

1630190844331.png
 
Mwishoni mwa miaka ya 1800 waingereza walianza kujenga reli kutoka Mombasa kwenda Nairobi. Walipofika kwenye mbuga ya Tsavo, kukatokea simba wawili wala watu waliowahangaisha sana vibarua. Kitabu hiki ni simulizi ya mkasa huo.

Unaweza kukisoma bure ndani ya maktaba app. Nenda post number 16 kuna link ya playstore.

1630580889275.png
 
Kitabu Nyayo za mwendo wa binadamu. Kitabu hiki kilichapishwa mwaka 1952. Ni tafsiri ya kiswahili ya kitabu kinachoelezea historia fupi ya mwanadamu. Unaweza kukisoma bure ndani ya maktaba app. Pitia post number 16 kupata link ya playstore.

Img_269_0-book_reader_ReadEra.png
 
Jisomee bure hadithi tano kutoka kitabu Someni kwa furaha kitabu cha kwanza ndani ya maktaba app. Pita post no 16 kupata link ya app.

1631334750468.png
 
Back
Top Bottom