Ndoa ni watu wawili mtu mke na mwanamke wanaoungana pamoja, mwili, nafsi na roho zao huku wakiongozwa na Mungu Roho Mtakatifu kwa kila kitu. Sasa marafiki wanatoka wapi? wakamuulize Ayubu kama marafiki ni watu wazuri? Wakamuulize I brahimu Mungu alimwambia atoke na Lutu?. Mwanamume atamwacha baba yake na mama yake ataambatana naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.Na kwanini wachepuke wakati wanajua wana watoto.