Jitahidi sana usiwe sehemu/sababu ya ndoa za rafiki zako kuvunjika

Jitahidi sana usiwe sehemu/sababu ya ndoa za rafiki zako kuvunjika

Hizi maktaba alizojenga Rais Samia viunga vya udsm si mchezo nimejaribu kufanya Uchaguzi wa muda mfupi sioni maktaba bora kama hizi kwa bara la Africa.
Miaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Samia atatufanya tuwe kama Qatar
 
Miaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Samia atatufanya tuwe kama Qatar
Kama Rais Samia ameweza kutupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu basi haitachukua muda kumfikia USA Hongera Samia
 
Kama Rais Samia ameweza kutupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu basi haitachukua muda kumfikia USA Hongera Samia
Utafiti umefanyika Samia anakubalika kwa zaidi ya 90% CCM inakubalika kwa 70% Hii unamaanisha kuwa Rais Samia kwa uchapakazi wake amevuta watu wengi sana kujiunga na CCM.
 
Utafiti umefanyika Samia anakubalika kwa zaidi ya 90% Ccm inakubalika kwa 70% Hii unamaanisha kuwa Rais Samia kwa uchapakazi wake amevuta watu wengi sana kujiunga na Ccm.
Samia anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwa
 
Wao wakichepuka wewe rafiki inakuhusu nini? Kwani ukikaa kimya bila kutoa siri utakufa?
Niliwahi kumfuata mke wa rafiki yangu na kumwambia aache tabia ya kuchepuka, ni kjmdhalilisha mumewe na yeye mwenyewe. Alinijibu "yanakuhusu nini? Au na wewe unanitaka? Kamwambie basi mume wangu kama unajiona unahuruma sana.

Nilimwomba radhi na kukaa kimya. Tayari kabeba mimba ya mchepuko.

Miaka ilipita, tabia kama ngozi, ikaonekana. Mume alinitaka ushauri. Nilishindwa kushauri zaidi ya kumwambia avumilie huenda atabadilika. Hakubadilika licha ya mume kumsihi aache.

Hatimaye mume alinyoosha mikono. Ndoa ikafika mwisho.

Naamini sikuwa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya rafiki yangu.
 
Niliwahi kumfuata mke wa rafiki yangu na kumwambia aache tabia ya kuchepuka, ni kjmdhalilisha mumewe na yeye mwenyewe. Alinijibu "yanakuhusu nini? Au na wewe unanitaka? Kamwambie basi mume wangu kama unajiona unahuruma sana.

Nilimwomba radhi na kukaa kimya. Tayari kabeba mimba ya mchepuko.

Miaka ilipita, tabia kama ngozi, ikaonekana. Mume alinitaka ushauri. Nilishindwa kushauri zaidi ya kumwambia avumilie huenda atabadilika. Hakubadilika licha ya mume kumsihi aache.

Hatimaye mume alinyoosha mikono. Ndoa ikafika mwisho.

Naamini sikuwa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya rafiki yangu.
Ulifanya jambo la busara sana kumfuata na kumshauri kuliko ungemwambia mumewe. Kama waliachana ni kheri kwao wote wawili kuliko kuja kuuana huko mbeleni.
 
Habari zenu waungwana wa humu JamiiForums.

Jamani nyie waungwana, katika haya maisha jitahidi sana usiwe sehemu/sababu ya ndoa za rafiki zako kuvunjika.

Hivi utasijikiaje ukiwaona watoto wanazurura mitaani baada ya wazazi wao kuachana kwa sababu ya uchonganishi wako?
Noma sana asee
 
Back
Top Bottom