Ndoa ni watu wawili mtu mke na mwanamke wanaoungana pamoja, mwili, nafsi na roho zao huku wakiongozwa na Mungu Roho Mtakatifu kwa kila kitu. Sasa marafiki wanatoka wapi? wakamuulize Ayubu kama marafiki ni watu wazuri? Wakamuulize I brahimu Mungu alimwambia atoke na Lutu?. Mwanamume atamwacha baba yake na mama yake ataambatana naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.Na kwanini wachepuke wakati wanajua wana watoto.
Safi sana mkuu umenena vemaNdoa ni watu wawili mtu mke na mwanamke wanaoungana pamoja, mwili, nafsi na roho zao huku wakiongozwa na Mungu Roho Mtakatifu kwa kila kitu. Sasa marafiki wanatoka wapi? wakamuulize Ayubu kama marafiki ni watu wazuri? Wakamuulize I brahimu Mungu alimwambia atoke na Lutu?. Mwanamume atamwacha baba yake na mama yake ataambatana naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
Bila Rais Samia na JPM kupiga ukuta Laizer asingekuwa bilioneaRais Samia anafanya kazi kubwa saaaana huyu kipenzi chetu
Rais Samia na JPM walitoa elimu bure iliyomshinda mkoloniBila Rais Samia na JPM kupiga ukuta Laizer asingekuwa bilionea
Rais Samia anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwaRais Samia na JPM walitoa elimu bure iliyomshinda mkoloni
Shauri yao Chadema, sisi Watanzania wote 2025 tupo na Rais Samia tu, wala hatutegemei Wazungu watupigie kuraRais Samia anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwa
Kumpinga mtu Mzalendo kama Samia ni kujitakia dhambi tuShauri yao Chadema, sisi Watanzania wote 2025 tupo na Rais Samia tu, wala hatutegemei Wazungu watupigie kura
nakuunga mikono yote...BIA ina kosa gani sasa....???? why BIA??......BIA haina mke wala mume....haijawahi kuoa au kuolewa....why..why...Umeanza vyema ila hapo mwisho umeisimanga sana BIA bila sababu za msingi.
Kwa hiyo wanywa BIA ndio wanapelekaga umbea? Yani sijaelewa kabsa na imeharibu mantiki ya uzi wako.
Why BIA sasa?
Rais Samia hapendi vya dezo kama Wapinzani Tunataka Uchaguzi ili tuwanyooshe walimbukeni wa siasa kama CHADEMA.Kumpinga mtu Mzalendo kama Samia ni kujitakia dhambi tu
Tena Ni walimbukeni kweli kweliRais Samia hapendi vya dezo kama Wapinzani Tunataka Uchaguzi ili tuwanyooshe walimbukeni wa siasa kama CHADEMA.
Asante Rais Samia kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati Tukikuongezea miaka kumi tutaipiku USA.Rais Samia hapendi vya dezo kama Wapinzani Tunataka Uchaguzi ili tuwanyooshe walimbukeni wa siasa kama CHADEMA.
CHADEMA kumpinga Samia ni kujidhalilisha tu kwa maana amefanya kazi kubwa huyu mama yetu.Asante Rais Samia kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati Tukikuongezea miaka kumi tutaipiku USA.
Watanzania tumeshayapata mabadiliko kupitia kwa Rais Mzalendo Samia Nyie wengine ni wachumia tumbo tu kama Lissu.CHADEMA kumpinga Samia ni kujidhalilisha tu kwa maana amefanya kazi kubwa huyu mama yetu.
Hao walikuwa wanatumiwa na Mabeberu sasa Mabeberu yamewaingiza king baada ya kukubali uzalendo wa Rais Samia.Watanzania tumeshayapata mabadiliko kupitia kwa Rais Mzalendo Samia Nyie wengine ni wachumia tumbo tu kama Lissu.
Hakika Rais Samia anaipaisha Dodoma na kuipendezesha sana huyu mama.Hao walikuwa wanatumiwa na Mabeberu sasa Mabeberu yamewaingiza king baada ya kukubali uzalendo wa Rais Samia.
Samia ndio mwamba na vijana wanamuita mama laoHakika Rais Samia anaipaisha Dodoma na kuipendezesha sana huyu mama.
Wageni karibuni Tanzania chini ya Mzalendo Samia.Samia ndio mwamba na vijana wanamuita mama lao
Kwa hii CCM ya mama Samia, Wapinzani hata wangeungana na jublee ya Kenyatta Ccm ushindi ni 98% ifikapo 2025.Wageni karibuni Tanzania chini ya Mzalendo Samia.
Rais Samia hawezi kuuza Nchi ni Mzalendo haswa yule mama Usimfananishe na wale waliotumwa na Wazungu.Kwa hii CCM ya mama Samia, Wapinzani hata wangeungana na jublee ya Kenyatta Ccm ushindi ni 98% ifikapo 2025.
Yule mchimbaji mdogo Laizer aliyepewa mabilion na Samia/JPM amshukuru sana Rais kwa kuwa na roho nzuri.Rais Samia hawezi kuuza Nchi ni Mzalendo haswa yule mama Usimfananishe na wale waliotumwa na Wazungu.