The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
Mkuu huu ujumbe unawahusu mafeminist ya jf au ni kwa wanawake watulivu wanaokubali nafasi yao kama wanamake eti, au pia haya madume jike humu jf manungaiyembe ya haki sawa yanahusika ?!Sio lazimaa uoe au kuolewa na harusi kubwa Ila usifike miaka 30 ukiwa single.
Maisha ni kama kamari kuna kupata na kukosa usiogope kuoa kwa sababu uchumi haupo sawa.
kumbuka unaweza kuoa ukiwa maskini ukatajirika na pia unaweza kuoa ukiwa tajiri ukafilisika pia.
Bro kama ukipata soulmate wako usichelewe. Anza nae maisha hata kama mtakua mnaishi kwa room moja muanzie hapo mkue pamoja.
Madam utaolewa tu uswaze kabisa muda wako aujafika..Aisee sasa itakuaje sisi wenye 30s na bado bila bila🙄
Ahsante mkuuMadam utaolewa tu uswaze kabisa muda wako aujafika..
Hiyo issue uni sshtue🤓, Nisije fika fifth floor 😂🤓Intelligent businessman dronedrake Maine kusema hamkuambiwa , Mimi bado kuna ishu nasikilizia In Shaa Allah soon ndani ya floor ya second floor
Mleta Uzi umepuyanga sana na hujui unaloliandika hapa au naweza nikasema umekurupuka.Sio lazimaa uoe au kuolewa na harusi kubwa Ila usifike miaka 30 ukiwa single.
Maisha ni kama kamari kuna kupata na kukosa usiogope kuoa kwa sababu uchumi haupo sawa.
kumbuka unaweza kuoa ukiwa maskini ukatajirika na pia unaweza kuoa ukiwa tajiri ukafilisika pia.
Bro kama ukipata soulmate wako usichelewe. Anza nae maisha hata kama mtakua mnaishi kwa room moja muanzie hapo mkue pamoja.
Sasa wewe ndio mkubwa mwenzangu, hawa watoto kiukwel stress tupu jirani, fanya tuhifadhiane nafasi, halafu nipate na mteremko kukaa kwangu, maana nikishakua wako, kwako ni kwangu jirani.😅😅😅Sipangishi mibaba mikubwa km wewe unayetafutana vitoto usije kunibaka maza hausi bure 😂😂😂😂
Oya ikifika mwakani bado hujaolewa, we nishtue 🤓Aisee sasa itakuaje sisi wenye 30s na bado bila bila🙄
Ila shem si yupo?Ahsante mkuu
Aisee nime cheka kinyama🤓Sipangishi mibaba mikubwa km wewe unayetafutana vitoto usije kunibaka maza hausi bure 😂😂😂😂
Me madam naona kama anatuchora tu.Oya ikifika mwakani bado hujaolewa, we nishtue 🤓
Utakuwa unachapiwa tu hiyo fifth floor ,chukua. mtoto mbichi swafi wakati huu una nguvu zako uoe ujipakulie muda wote au nasema uongo ndugu dronedrake ?Hiyo issue uni sshtue🤓, Nisije fika fifth floor 😂🤓
Hahaa utanipa kaka yako ama?Oya ikifika mwakani bado hujaolewa, we nishtue 🤓
Nope, nitakuja mwenyewe 🤓Hahaa utanipa kaka yako ama?
Why niwachore jamani?Me madam naona kama anatuchora tu.
dronedrake ni kataa ndoa, miksa goat wa nyeto🤓Hahaa utanipa kaka yako ama?
Ndiye kaka yako kwani?dronedrake ni kataa ndoa, miksa goat wa nyeto🤓
Hapana, huyo ni mwenyekiti wa nyeto, na Katibu wa kataa ndoa🤓Ndiye kaka yako kwani?