Jitahidi usifike miaka 30 bila kuoa au kuolewa

Sasa wewe ndio mkubwa mwenzangu, hawa watoto kiukwel stress tupu jirani, fanya tuhifadhiane nafasi, halafu nipate na mteremko kukaa kwangu, maana nikishakua wako, kwako ni kwangu jirani.πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Thubutuuuu.!! Sifugi marioo mzee age go πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sio lazimaa uoe au kuolewa na harusi kubwa Ila usifike miaka 30 ukiwa single.
Kwa jinsi utamaduni wetu ulivo,wanawake umewabebesha mzigo mzito,

Ni Bora tuwaambie vijana wa kiume kuoa ni lazima,ila Hawa wa kike tuwaambie kuolewa siyo jambo la lazima, maana kupitia huo ulazima wengi wamedhalilishwa na hao wenye jukumu la kuoa, coz mentally wanaamini wanalazimika kuolewa wakati wa kuwaoa nao hawataki kuoa kwa sababu ya udhalilishaji uliofanyika na waoaji wenzao,

Vijana wakiwa huru dhidi ya mahitaji ya jamii ndoa zitarudi,ila jamii Ina mahitaji makubwa kwa vijana kiasi vijana wanashindwa kufanya maamuzi
 
Thubutuuuu.!! Sifugi marioo mzee age go πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ndio third floor, room no 1, naelekea room no 2 august, bado kijana kabisa. Kwahio fanya tusitiliane jirani. Ingawa najua ww ni wa CNTRY, ila inabid nipindue meza kibabe.πŸ˜…
Kwakweli sitaki hata kuwasikia mna ukoloni sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ukoloni hapa ndio mahala pake, yaani Sheria kama zote, ukiweka chakula mezan sharti goti lipigwe kukaribisha chakula. Kwa sisi tumezoea kuongea ndoo hata kama Kuna shower lazima ukafugulie maji bafuni ujaze ndoo ndio nikaoge na taulo nipelekekewe.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ chalii wa chugga atakudunda shauri yako.!!
 
😳😳 pole aiseee.!! Haya mahusiano ya ndoa sio ya kukurupukia hata kidogo.!!
Hamna anaetaka ndoa sema wengi kama sio external pressure, umaskini au kutokujiamini tu. Kwann msidate kawaida bila kurasimisha πŸ€”ww una miaka 39 jamaako ana 44 mnadate vzr tu no urasimishaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…