Thubutuuuu.!! Sifugi marioo mzee age go ππππSasa wewe ndio mkubwa mwenzangu, hawa watoto kiukwel stress tupu jirani, fanya tuhifadhiane nafasi, halafu nipate na mteremko kukaa kwangu, maana nikishakua wako, kwako ni kwangu jirani.π π π
sasa huamini vp wakati wewe ni mwanaume, hiyo kawaida sanaMwaka 2016 nilikuwa na miaka 23 na ndio kijana wangu wa kwanza nilimpata. Ilikuwa raha iliyoje nambeba natetemeka siamin kama na mim leo nimeanza kuitwa baba.
Kwakweli sitaki hata kuwasikia mna ukoloni sana ππππHasa Kwa wewe unaejifanya wapenda BAD BOY, wale wa vijana tuliokulia kanisani Msikitin hututaki, ambao tunaitwa HUSBAND MATERIAL.
Kwa jinsi utamaduni wetu ulivo,wanawake umewabebesha mzigo mzito,Sio lazimaa uoe au kuolewa na harusi kubwa Ila usifike miaka 30 ukiwa single.
financial services swali lako Hiloπ€Me madam naona kama anatuchora tu.
Ndio third floor, room no 1, naelekea room no 2 august, bado kijana kabisa. Kwahio fanya tusitiliane jirani. Ingawa najua ww ni wa CNTRY, ila inabid nipindue meza kibabe.πThubutuuuu.!! Sifugi marioo mzee age go ππππ
Ukoloni hapa ndio mahala pake, yaani Sheria kama zote, ukiweka chakula mezan sharti goti lipigwe kukaribisha chakula. Kwa sisi tumezoea kuongea ndoo hata kama Kuna shower lazima ukafugulie maji bafuni ujaze ndoo ndio nikaoge na taulo nipelekekewe.Kwakweli sitaki hata kuwasikia mna ukoloni sana ππππ
ππππ chalii wa chugga atakudunda shauri yako.!!Ndio third floor, room no 1, naelekea room no 2 august, bado kijana kabisa. Kwahio fanya tusitiliane jirani. Ingawa najua ww ni wa CNTRY, ila inabid nipindue meza kibabe.π
Ukoloni hapa ndio mahala pake, yaani Sheria kama zote, ukiweka chakula mezan sharti goti lipigwe kukaribisha chakula. Kwa sisi tumezoea kuongea ndoo hata kama Kuna shower lazima ukafugulie maji bafuni ujaze ndoo ndio nikaoge na taulo nipelekekewe.
Hv mlikuwa mnasema KATAA NDOA tuna tatizo Gani?Ningerudishwa 5 years nyuma ili nisahihishe makosa kwenye maisha yangu basi hili la kuoa nisingejiingiza mkenge tena
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jipige kifue useme mm ni kiazi mbatata a.k.a hasara ya wazazi
Watu wanasema etiii CNTR ndio mkuu wa kibahaha...kwahio utafanya kama alichofanyiwa na J.ππππ chalii wa chugga atakudunda shauri yako.!!
Hamna anaetaka ndoa sema wengi kama sio external pressure, umaskini au kutokujiamini tu. Kwann msidate kawaida bila kurasimisha π€ww una miaka 39 jamaako ana 44 mnadate vzr tu no urasimishajiπ³π³ pole aiseee.!! Haya mahusiano ya ndoa sio ya kukurupukia hata kidogo.!!
kumbuka unaweza kuoa ukiwa maskini ukatajirika na pia unaweza kuoa ukiwa tajiri ukafilisika pia.
Huo unakuwa ni uzinzi, sheendwaa pepo πππHamna anaetaka ndoa sema wengi kama sio external pressure, umaskini au kutokujiamini tu. Kwann msidate kawaida bila kurasimisha π€ww una miaka 39 jamaako ana 44 mnadate vzr tu no urasimishaji
Sio huyu ninayemjua mimi huyo wako wewe!!Watu wanasema etiii CNTR ndio mkuu wa kibahaha...kwahio utafanya kama alichofanyiwa na J.
Ndio kitu kizuri hicho, kupiga mbingu tu bila kubanana.Huo unakuwa ni uzinzi, sheendwaa pepo πππ
We ushapenda husikii, huoniii jirani.π π πSio huyu ninayemjua mimi huyo wako wewe!!
Halafu ungeacha kutaja watu ambao huwajui jirani..!!
Ipo siku mtakubaliana na hawa big boys ambao hatutaki kuoaHuo unakuwa ni uzinzi, sheendwaa pepo πππ
Mi nishatua mabegi nafurahia kukojozwa tyuu!! π¦π¦ pwaah pwaah ππππ€£We ushapenda husikii, huoniiiπ π π