IJIGHA NDIO HOME
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 760
- 823
Sawa jiaminishe ivyoivyo watakapo anza kuchinja ovyo watu mtaani ndo utajua umuhimu Wa kuwaajiri hawa vijana.JKT siyo sehemu ya kutoa ajira, tunarudia kila mara hamuelewi dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa jiaminishe ivyoivyo watakapo anza kuchinja ovyo watu mtaani ndo utajua umuhimu Wa kuwaajiri hawa vijana.JKT siyo sehemu ya kutoa ajira, tunarudia kila mara hamuelewi dah
Unadhani ni rahisi, jiwe kaenda zake kawaacha jamaaDawa ni moja tu, piga pini bidhaa zote toka China, shusha bei ya umeme, uone kama kuna mtu atakosa ajira nchi hii
Ukosefu wa ajira ,ajira ,ajira na kunyima haki,uonevu ni chanzo cha kuibuka kwa vikundi vya kigaidi duniani,Note my wordsHayo ni mawazo yako lakini wengine tuna fikra kinyume kidogo na za kwako kwani huenda hao vijana wakajiajiri wenyewe, wengine wakawa watumishi wa nyumba za ibada wengine wakajitolea kusaidia jamii katika shughuli mbalimbali hata kuanzisha kampuni binafsi za ulinzi hivyo ni lazima tuwe na dhana njema kwa wenzetu na sisi ndiyo inabidi tuwasihi wawe na maadili mema katika jamii, maisha yanataka ustahamilivu na tatizo la ajira ni tatizo sugu na kubwa nchini serikali na watu binafsi hawana budi kuliangalia kwa jicho la upekee hili tatizo lakini utovu wa nidhamu kwa kuandamana kushinikiza serikali na kwenda hadi ikulu lina tafsiri pana sana kuliko kuwapogopa hao magaidi.
Nani wakuchinja watu...? hamna kitu hapoSawa jiaminishe ivyoivyo watakapo anza kuchinja ovyo watu mtaani ndo utajua umuhimu Wa kuwaajiri hawa vijana.
Vijana 800 ni wengi,je walivyotimuliwa kuna ndinga walikuwa wanapandishwa na kupelekwa kwao,maana kuwepo mjini kimakundi wanaweza kushawishika kufanya lolote maana sasa ataona maisha hayana maana,kama kudai ajira imekuwa nongwa basi wakajiunge na ISS ,hivi unadhani mawazo hayo hawana kwa makundi hayo yaliyopo mtaani,? Unless kama kila mtu alkuwa anarudishwa kwao mmoja mmoja
Mgambo wana mafunzo gani zaidi ya kukimbiza kuku?Mbona tuna maelfu ya Mgambo ambao hawana kazi kitaa ila huo mchongo wa Iss sio sawa na kulinda geti
Marehemu Pombe aliwadanganya hawa vijana akawafanyisha makazi yake ya kifisadi sasa leo wanadai chao hadi wakapoteza utiifu
Watu waliopitia mafunzo ya kijeshi ni wengi sana Tanzania, hao Iss tutawagawana kabla hata ya Mapolisi hawajaingilia katiSawa jiaminishe ivyoivyo watakapo anza kuchinja ovyo watu mtaani ndo utajua umuhimu Wa kuwaajiri hawa vijana.
Hukuna ajira za kutosha vijana wote hao.Unajua wao wamepanic tuu kwa huu upepo wa saiz lazima wangeajiriwa tuu wamekosa subrah
Hao wanafundishwa stadi za maisha na siyo mafunzo ya kijeshi. Mafunzo ya kijeshi ni miezi 9, hao wanakaa zaidi ya mwakaNi vyema jeshi wakaona haja ya kurecruit hao vijana pindi kunapokua na uhitaji kuliko kuwapa mafunzo na kuwapigisha mzigo for years bila kuwa na uhakika wa kuwapa hizo ajira.
Kwa hiyo walikuwepo tu kwa hisani ya mwendazakeMarehemu Pombe aliwadanganya hawa vijana akawafanyisha makazi yake ya kifisadi sasa leo wanadai chao hadi wakapoteza utiifu
Mhh..mbona mpaka RPGMgambo wana mafunzo gani zaidi ya kukimbiza kuku?
Hukuna ajira za kutosha vijana wote hao.
Hao jamaa wamekua wakipigwa dana-dana na kufanyishwa makazi magumu kuanzia ujenzi wa ukuta wa mirerani na ahadi hewa kila kukicha.
Mhh..mbona mpaka RPG
Namna ya kukoki silaha ni stadi za maisha?Hao wanafundishwa stadi za maisha na siyo mafunzo ya kijeshi. Mafunzo ya kijeshi ni miezi 9, hao wanakaa zaidi ya mwaka
Yes alikua anawatumia tu kwenye miradi na kuwalipa posho kidogo sana za kujikimu na ahadi hewa.Kwa hiyo walikuwepo tu kwa hisani ya mwendazake
Sasa vijana hawa walichoshwa na utapeli wa mzee pombe.
Taja kitu kimoja tu cha kivita ambacho huyo wa JKT amemzidi MgamboMgambo wana mafunzo gani zaidi ya kukimbiza kuku?