johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nilipomsikia Ndugai juzi akiwakandia vijana nikajua kuna jambo linakuja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda pindi wenzao wanafundishwa uzalendo, wao wanakoroga zege isilale
Tupo vizuri hiyo namba isikuogopeshe1 mpaka 800 ni wachache? Jipeni matumaini ila muda huo ni lazima tuwe makini
Tupo vizuri hiyo namba isikuogopeshe
Hakuna gharama. JKT hakuna cha bure“Tunasikitika kufuta mikataba ya vijana 854 wa JKT kutokana na kufanya vitendo vya uasi.”Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania - Jenerali Venance Mabeyo
#CloudsDigitalUpdates
----------
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen. Venance Mabeyo amesema wamefuta mikataba ya Vijana 854 wa JKT ambao ni miongoni mwa walioahidiwa kupewa ajira kwa kujenga Ikulu, Chamwino na hii ni kutokana na Vijana hao kufanya uasi kwa kugoma na kuandamana kwenda Ikulu.
via @ayotv
Mytake ; Gharama kubwa zilizotumika kuwaandaa hao vijana ili kuja kulitumikia taifa zinarejeshwa vipi?
Yani wanaharibu mfumo wao wanaowatengeneza,Tumeshuhudia kwa wacheza Mpira wanaoenda jkt,wenzao wanasomewa madhara ya migomo,wao wapo uwanjani wanaruka koni[emoji23][emoji23][emoji23]wameshindwa kujiongeza kusubiri na mama asingewacha ila wamejitia doa habari za majeshi wazisikie tuu saiz . Hii pia inachangia watu wanajifunza uzalendo wengine wako tengoo
Hata kama hazirejeshwi ndio uajiri WAASI?“Tunasikitika kufuta mikataba ya vijana 854 wa JKT kutokana na kufanya vitendo vya uasi.”Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania - Jenerali Venance Mabeyo
#CloudsDigitalUpdates
----------
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen. Venance Mabeyo amesema wamefuta mikataba ya Vijana 854 wa JKT ambao ni miongoni mwa walioahidiwa kupewa ajira kwa kujenga Ikulu, Chamwino na hii ni kutokana na Vijana hao kufanya uasi kwa kugoma na kuandamana kwenda Ikulu.
via @ayotv
Mytake ; Gharama kubwa zilizotumika kuwaandaa hao vijana ili kuja kulitumikia taifa zinarejeshwa vipi?
Yani wanaharibu mfumo wao wanaowatengeneza,Tumeshuhudia kwa wacheza Mpira wanaoenda jkt,wenzao wanasomewa madhara ya migomo,wao wapo uwanjani wanaruka koni
Usingeweza .Yaani watu wanapodai haki zao ndiyo uasi! Bora tu niliahirisha kwenda Monduli enzi zile. Maana mpaka muda huu ningekua nimeshambamiza mtu risasi ya kichwa.
Kigogo alishasema kwamba Magufuli aliwaingiza chaka kwamba waajiriwe alivyoenda tu kibarua chao kikaota nyasi.“Tunasikitika kufuta mikataba ya vijana 854 wa JKT kutokana na kufanya vitendo vya uasi.”Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania - Jenerali Venance Mabeyo
#CloudsDigitalUpdates
----------
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen. Venance Mabeyo amesema wamefuta mikataba ya Vijana 854 wa JKT ambao ni miongoni mwa walioahidiwa kupewa ajira kwa kujenga Ikulu, Chamwino na hii ni kutokana na Vijana hao kufanya uasi kwa kugoma na kuandamana kwenda Ikulu.
via @ayotv
Mytake ; Gharama kubwa zilizotumika kuwaandaa hao vijana ili kuja kulitumikia taifa zinarejeshwa vipi?
Hahahahahahaa tate nakufa mie nakufa hapa ujueYaani watu wanapodai haki zao ndiyo uasi! Bora tu niliahirisha kwenda Monduli enzi zile. Maana mpaka muda huu ningekua nimeshambamiza mtu risasi ya kichwa.
Usiangalie gharama za kuwa train, angalia hasara ambayo wangeliletea Taifa kwa roho yao hiyo ya uasi. Hao ni waasi tu hakuna jina lingine unaweza kuwaita.“Tunasikitika kufuta mikataba ya vijana 854 wa JKT kutokana na kufanya vitendo vya uasi.”Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania - Jenerali Venance Mabeyo
#CloudsDigitalUpdates
----------
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen. Venance Mabeyo amesema wamefuta mikataba ya Vijana 854 wa JKT ambao ni miongoni mwa walioahidiwa kupewa ajira kwa kujenga Ikulu, Chamwino na hii ni kutokana na Vijana hao kufanya uasi kwa kugoma na kuandamana kwenda Ikulu.
via @ayotv
Mytake ; Gharama kubwa zilizotumika kuwaandaa hao vijana ili kuja kulitumikia taifa zinarejeshwa vipi?