JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi

JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi

Huenda pindi wenzao wanafundishwa uzalendo, wao wanakoroga zege isilale

[emoji23][emoji23][emoji23]wameshindwa kujiongeza kusubiri na mama asingewacha ila wamejitia doa habari za majeshi wazisikie tuu saiz . Hii pia inachangia watu wanajifunza uzalendo wengine wako tengoo
 
Vijana ambao ni taifa la kesho hawaaminiwi ...


Sasa hao wazee wakizeeka watakipata cha moto
 
“Tunasikitika kufuta mikataba ya vijana 854 wa JKT kutokana na kufanya vitendo vya uasi.”Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania - Jenerali Venance Mabeyo

#CloudsDigitalUpdates


----------

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen. Venance Mabeyo amesema wamefuta mikataba ya Vijana 854 wa JKT ambao ni miongoni mwa walioahidiwa kupewa ajira kwa kujenga Ikulu, Chamwino na hii ni kutokana na Vijana hao kufanya uasi kwa kugoma na kuandamana kwenda Ikulu.

via @ayotv


Mytake ; Gharama kubwa zilizotumika kuwaandaa hao vijana ili kuja kulitumikia taifa zinarejeshwa vipi?
Hakuna gharama. JKT hakuna cha bure
 
[emoji23][emoji23][emoji23]wameshindwa kujiongeza kusubiri na mama asingewacha ila wamejitia doa habari za majeshi wazisikie tuu saiz . Hii pia inachangia watu wanajifunza uzalendo wengine wako tengoo
Yani wanaharibu mfumo wao wanaowatengeneza,Tumeshuhudia kwa wacheza Mpira wanaoenda jkt,wenzao wanasomewa madhara ya migomo,wao wapo uwanjani wanaruka koni
 
“Tunasikitika kufuta mikataba ya vijana 854 wa JKT kutokana na kufanya vitendo vya uasi.”Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania - Jenerali Venance Mabeyo

#CloudsDigitalUpdates


----------

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen. Venance Mabeyo amesema wamefuta mikataba ya Vijana 854 wa JKT ambao ni miongoni mwa walioahidiwa kupewa ajira kwa kujenga Ikulu, Chamwino na hii ni kutokana na Vijana hao kufanya uasi kwa kugoma na kuandamana kwenda Ikulu.

via @ayotv


Mytake ; Gharama kubwa zilizotumika kuwaandaa hao vijana ili kuja kulitumikia taifa zinarejeshwa vipi?
Hata kama hazirejeshwi ndio uajiri WAASI?
 
Yani wanaharibu mfumo wao wanaowatengeneza,Tumeshuhudia kwa wacheza Mpira wanaoenda jkt,wenzao wanasomewa madhara ya migomo,wao wapo uwanjani wanaruka koni

Umeona mkuu hii inatakiwa iangaliwe upya mtu ana week moja ya mafunzo anapelekwa tengo hata pared hajui askr gani ndyo hao hawana uvumilivu wanakuwa na mihemko ya kiraia wanaleta siasa jeshini sijawahi ona
 
“Tunasikitika kufuta mikataba ya vijana 854 wa JKT kutokana na kufanya vitendo vya uasi.”Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania - Jenerali Venance Mabeyo

#CloudsDigitalUpdates


----------

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen. Venance Mabeyo amesema wamefuta mikataba ya Vijana 854 wa JKT ambao ni miongoni mwa walioahidiwa kupewa ajira kwa kujenga Ikulu, Chamwino na hii ni kutokana na Vijana hao kufanya uasi kwa kugoma na kuandamana kwenda Ikulu.

via @ayotv


Mytake ; Gharama kubwa zilizotumika kuwaandaa hao vijana ili kuja kulitumikia taifa zinarejeshwa vipi?
Kigogo alishasema kwamba Magufuli aliwaingiza chaka kwamba waajiriwe alivyoenda tu kibarua chao kikaota nyasi.
 
Tunavyosemaga hapa kuwa serikali ya CCM ni hopeless na serikali laghai huwa hatutanii hata kidogo.
 
“Tunasikitika kufuta mikataba ya vijana 854 wa JKT kutokana na kufanya vitendo vya uasi.”Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania - Jenerali Venance Mabeyo

#CloudsDigitalUpdates


----------

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen. Venance Mabeyo amesema wamefuta mikataba ya Vijana 854 wa JKT ambao ni miongoni mwa walioahidiwa kupewa ajira kwa kujenga Ikulu, Chamwino na hii ni kutokana na Vijana hao kufanya uasi kwa kugoma na kuandamana kwenda Ikulu.

via @ayotv


Mytake ; Gharama kubwa zilizotumika kuwaandaa hao vijana ili kuja kulitumikia taifa zinarejeshwa vipi?
Usiangalie gharama za kuwa train, angalia hasara ambayo wangeliletea Taifa kwa roho yao hiyo ya uasi. Hao ni waasi tu hakuna jina lingine unaweza kuwaita.
 
Back
Top Bottom