Watu wengine hamna huruma kabisa.Ila siku yakiwakuta ndio ,mtaombwa muhurumiwe.Hata kama hazirejeshwi ndio uajiri WAASI?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wengine hamna huruma kabisa.Ila siku yakiwakuta ndio ,mtaombwa muhurumiwe.Hata kama hazirejeshwi ndio uajiri WAASI?
Ndio maana huwa wanawasafirisha. Labda waungane kupitia WhatsApp
Sasa unaajiri mwanajeshi aliyegoma? Bado hawajapewa ajira ila wamejioganise na wamechagua kiongozi kisha wakagoma, Unajua tafsiri yake kijeshi na kiusalama wa nchi?Sawa jiaminishe ivyoivyo watakapo anza kuchinja ovyo watu mtaani ndo utajua umuhimu Wa kuwaajiri hawa vijana.
Mstaafu ina maana mwili na akili vimechoka sasa hawa yaki ndo useme hamna nomaWastaafu wa vyombo vya ulinzi na usalama mbona wapo kwa maelfu mitaani na hakuna tabu yeyote.
Kuna sehem katika clip ya mabeyo kasema kuwa waliahidiwa ajira.Au Mimi ndio sijasikia vizuri?Jkt ni kujitolea alafu wanalazimisha ajira
Wanaandamana wakati kazi yao ni kupokea amri
Walitakiwa wawe wavumilivu hata kama kweli walikua wasiajiriwe wamewapa watu sababu kwa kuandamana kwao
Bora hukwenda maana unaonekana hufai kuaminiwa hata kwenye Ulinzi Shirikishi. Yaani unaunga mkono Askari Kugoma na kuandamana.Yaani watu wanapodai haki zao ndiyo uasi! Bora tu niliahirisha kwenda Monduli enzi zile. Maana mpaka muda huu ningekua nimeshambamiza mtu risasi ya kichwa.
Ishu ni hawana utii kwa jamhuri. Huwezi goma jeshini, kule ni kutii amri tu, inaonekana hata mafunzo ya kijeshi hawakuyapata ipasavyo.Na wote ni uvccm
Mkuu unalijua jeshi vizuri? Ni nusu utumwaKudai haki zao ni uasi?
Sasa unaajiri mwanajeshi aliyegoma? Bado hawajapewa ajira ila wamejioganise na wamechagua kiongozi kisha wakagoma, Unajua tafsiri yake kijeshi na kiusalama wa nchi?
Umejiuliza kwanini sababu imetajwa kuwa ni uasi?
By the way, waliingizwa jeshini na nani na kwa nia gani? Huenda siasa iliingizwa jeshini.
Ziko oparations kibao uraiani huko tangu 2012 hawana kazi tena ni wengi kuliko hata hao waliojiunga suma jkt kwa shughuli za ulinzi.Nimesoma habari moja kuwa JKT imesitisha mikataba na kuwafukuza vijana zaidi ya 800 baada ya kuandamana Ikulu wakinishinikiza kuajiriwa
Baada ya hao vijana kuja mtaani,wanajua kushika silaha na mafunzo ya awali ya kujihami,je hao vijana hawawezi kujiunga na vikundi vya kigaidi kama cha ISS huko Msumbiji?
Je serikali inawafuatilia hao vijana zaidi 800 mienendo yao mitaani kama sio rahisi kushawishika kujiunga na vikundi vya kigaidi kwa ukosefu wa ajira na kuleta majanga nchini?
Au unaweza ukawa mtego,wakashawishiwa kugoma wadai ajira ili watimuliwe wakajiunga na ISS huko Msumbiji
Serikali ibuni mikakati ya kuajiri vijana au kuwawezesha kupata mazingira rahisi kujiajiri ili kuepuka kushawishika kuvuka mpaka kule kusini na kujiunga na ISS
Narudia kuwatimua vijana 800 JKT ni hatari zaidi kwa usalama uliopo kusini mwa Afrika
kuna taratibu za kijeshi za kudai haki. kule hudai kama uraiani ni tofauti.Yaani watu wanapodai haki zao ndiyo uasi! Bora tu niliahirisha kwenda Monduli enzi zile. Maana mpaka muda huu ningekua nimeshambamiza mtu risasi ya kichwa.
Sidhani kama walipitia mafunzo kamili ya kijeshi, hakuna mwanajeshi aliyekamilika kimafunzo anayegoma kirahisi rahisi na kuandamana. Wale ni watii 100% wa maagizo ya Jamhuri maana wanajua tafsiri ya neno uasi.Ndio maana huwa wanawasafirisha. Labda waungane kupitia WhatsApp