Ni wengi wakiwa pamoja na kukawa na organisation. Ila wakiachwa wakatapakaa mtaani bila organisation hawana impact kubwa.1 mpaka 800 ni wachache? Jipeni matumaini ila muda huo ni lazima tuwe makini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wengi wakiwa pamoja na kukawa na organisation. Ila wakiachwa wakatapakaa mtaani bila organisation hawana impact kubwa.1 mpaka 800 ni wachache? Jipeni matumaini ila muda huo ni lazima tuwe makini
Na wote ni uvccmNi wengi sana.
Unadhani hao IS na waasi wengine hawakuwa wazalendo?Hahaha hawawezi hata punje hao ni wazalendo
Ila ninachofurahia wote ni uvccm. Wacha wauane wenyewe tu.Kweli Kigogo ni shida maana aliyasema haya mapema.
Hawana hela ya kuwaajiri na hata hao wengine wajiandae kisaikolojia.
Muda utasema.
Kweli ukifa usirudi tena ufufuke.“Tunasikitika kufuta mikataba ya vijana 854 wa JKT kutokana na kufanya vitendo vya uasi.”Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania - Jenerali Venance Mabeyo
#CloudsDigitalUpdates
----------
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen. Venance Mabeyo amesema wamefuta mikataba ya Vijana 854 wa JKT ambao ni miongoni mwa walioahidiwa kupewa ajira kwa kujenga Ikulu, Chamwino na hii ni kutokana na Vijana hao kufanya uasi kwa kugoma na kuandamana kwenda Ikulu.
via @ayotv
Mytake ; Gharama kubwa zilizotumika kuwaandaa hao vijana ili kuja kulitumikia taifa zinarejeshwa vipi?
Unadhani hao IS na waasi wengine hawakuwa wazalendo?
Hatari na nusu“Tunasikitika kufuta mikataba ya vijana 854 wa JKT kutokana na kufanya vitendo vya uasi.”Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania - Jenerali Venance Mabeyo
#CloudsDigitalUpdates
----------
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen. Venance Mabeyo amesema wamefuta mikataba ya Vijana 854 wa JKT ambao ni miongoni mwa walioahidiwa kupewa ajira kwa kujenga Ikulu, Chamwino na hii ni kutokana na Vijana hao kufanya uasi kwa kugoma na kuandamana kwenda Ikulu.
via @ayotv
Mytake ; Gharama kubwa zilizotumika kuwaandaa hao vijana ili kuja kulitumikia taifa zinarejeshwa vipi?
Kabisa aseeIla ninachofurahia wote ni uvccm. Wacha wauane wenyewe tu.
Ndio maana huwa wanawasafirisha. Labda waungane kupitia WhatsAppNi wengi wakiwa pamoja na kukawa na organisation. Ila wakiachwa wakatapakaa mtaani bila organisation hawana impact kubwa.
Meko ndiye aliwapa ahadi hewa ambayo haitekelezeki. Ila uzuri ni kuwa wote hao ni uvccm. Maana vyombo vyote vya dola wana recruit makada wa CCM.Ujanja ujanja![emoji124][emoji124][emoji124]Tunajua mlikuwa hamtaki kuwaajiri,visingizio bakini navyo!
Jeshini hawaangalii Hilo,Kama Kuna kirusi kinaondoka tuMytake ; Gharama kubwa zilizotumika kuwaandaa hao vijana ili kuja kulitumikia taifa zinarejeshwa vipi?
Mwendazake kawaachia wenzake mizigo isiyobebekaMungu awafanyie wepesi. Najua hata kwa Mabeyo jambo hili halikuwa rahisi. Naye nampa pole kwa kazi ngumu inayohusisha kufanya maamuzi magumu kila uchao!