NdiyoSo...unafurahia Tundu Lissu kidhulumiwa?
Hata mtoto wa kikwete hajamuona! LohYani katika watu 394 ww umeliona jina la Lisu tu peke yake? Ama kweli mahaba ni ugonjwa, ila kumbuka jamaa ana mke tayari.
Atalipwa tu ninyi Wahutu msituharibie NchiNingeshangaa msaliti kulipwa hela. Kwa kazi ipi aliyofanya? Kwa kuzunguka nchi za ulaya akiitukana Tanzania na watanzania?
Tutashitakiwa MIGA?
UJINGA MTUPU
Bashite a.k.a legacy ya Mwendawazimu.Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
mjinga ni wewe ambae badala ya kujibu hoja au kuweka wazi nini baya na hii mada unapayuka tu, anyway lack of education is your major problemUjinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Mkuu umegundua eee, kadri siku zinavyosonga ndiyo matumizi ya maneno kama Wasaliti, Mabeberu, Tumechezewa mno watanzania, Nyungu, Si katika utawala wangu, ..yanaanza kupungua.Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
aki wewe noma sana, lakini umemupa dawa yakeYani katika watu 394 ww umeliona jina la Lisu tu peke yake? Ama kweli mahaba ni ugonjwa, ila kumbuka jamaa ana mke tayari.
BIBLIA:Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa JMT Samia Suluh Hassan, tumeshuhudia mageuzi makuu ya aina ya siasa zinazofuata sheria na kuheshimu utu wa mtu, tofauti kabisa na utawala wa kimabavu na roho mbaya ya mtangulizi wake.
Leo hii Tundu Lissu ametajwa kuwa mmoja wa wanaostahili kulipwa madai yake kama inavyojielezwa kwenye link hapo chini
Serikali imetoa majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo yao baada ya uhakiki. Ofisi ya Spika ina majina 394 likiwemo jina la Mh. @TunduALissu https://t.co/qS2U9QrNIV
Hakika nuru inaonekana hatimaye.
mbona nyumbu wameanza kudemka kabla[emoji16][emoji16].[emoji12][emoji12][emoji12]View attachment 1828723
Duh! Kumbe ya zamani?Majina ya zamani sana hayo toka 2016!
Na lisu mwenyewe kakanusha. Ilikuwa ni katika harakati za kina Malisa kumdemkia mamaDuh! Kumbe ya zamani?
Kiki za makamanda bana.
Hakuma ulazima wa kukubaliana na udhalimu!TUSIMLAUMU YEYOTE MNAJUA KABISA HAMKUWA KATIKA UTAWALA WA HAKI,NA ILILAZIMU ILI KUUTETEA UGALI UKUBALIANE NA MATAKWA YA YULE BWANA ILI UPATE MKATE WAKO WA KILA SIKU BINAFSI SIMLAUMU YEYOTE,BALI NASEMA MUNGU YU MWEMA SANA.
Lisu kakanusha kuhusu malipo... tunamsubiri jamaa aje kufuta matapishi yake.aki wewe noma sana, lakini umemupa dawa yake
OK. Ndio maana kelele nyiiingiii!Amepanda daraja juzi, sasa hivi ana TGTS F
#YNWA