unafikiri atamuandika nani aadhibiwe na ule ukuta?Kuna anko wangu mmoja don tena sasa ashastaafu alinyanyaswa sana na boss wake kwenye shirika moja kubwa tuu. Aseee anko alifunga safari hadi kwenye huo ukuta aliandika kikaratasi cha maombi ambacho baadae hujusanywa na marabi ili viombewe na maombi ya walioviandika yatimie. Asee alivyoandika juu ya boss wake akarudi maombi anasema yalitimia mule mule bila kupinda.
Jobo nae anaweza kuwa kaandika kitu jamani
Yupo hijja sio.
Bila shaka atakutana na Yesu na mkewe
Kweni alifanya nini?Mungu amrehemu na sasa aanze upya na Bwana Yesu Kristo.
Yapi?Atubie makosa yake aliyowatendea watza
Jiulize why TB joshua alikujaHivi Vatican ndio walituletea jpm?
Aandike tu hakuna tabuKuna anko wangu mmoja don tena sasa ashastaafu alinyanyaswa sana na boss wake kwenye shirika moja kubwa tuu. Aseee anko alifunga safari hadi kwenye huo ukuta aliandika kikaratasi cha maombi ambacho baadae hujusanywa na marabi ili viombewe na maombi ya walioviandika yatimie. Asee alivyoandika juu ya boss wake akarudi maombi anasema yalitimia mule mule bila kupinda.
Jobo nae anaweza kuwa kaandika kitu jamani
Hata waislamu nao huenda Vatican city?Uraisi unaombwa vatican wao ndio uridhia nani awe.
Rais wa Kenya ni laila Odinga Makamu wa raisi ni Martha Karua ishapita vatican hio
Zilipendwa huyo hatuna haja na habari zake. Ndugai siyo habari tena anapaswa awepo bungeni kuwakilisha wapiga kura wake.
Nimekosa nimekosa Mimi, nimekosa sana
Alisema alitembea hadi Yesu alipokuwa na mkewake " Sijui biblia ninayo isoma kwanini iliruka tukio la Yesu kuoa??
JF mnatisha hivi picha katuma au
Unabii wa Lema, upo pale pale! Hata Yoabu alikimbilia kushika pembe za madhabahu, Sulemani akasema “kamoigeni huko huko!”
katili anayepigwa na moto huko kwa sasa si kipenzi kwangu la hashaAsisahau kumuombea kipenzi cha watanzania wengi hayati John Pombe Magufuli.
Huyu si ndiye mtu qa kwanza kumwona mke wa Yesu?Kumbe Ndugai ni myahudi?