Tanzania Je?Turnout ya mwaka huu ilikuwa juu kidogo.
Na moja ya sababu ni chuki dhidi ya Trump.
Niliwahi kuandika uzi humu kuhusu akili ya Trump....huenda ndo Rais zuzu kuliko marais wote wa Marekani kuwahi kutokea.
Sijui.Tanzania Je?
Wamezoea Ujinga wa raia hapa Tanzania!!Ulisemaga hiki kibabu Biden kinapoteza muda we kiazi leo unasema nini?
Mkuu nimekufatilia mara nyingi umekuwa ukimponda Biden ..naona leo unamgeuka kipenzi chako Trump🤣🤣🤣🤣Mimi niliyeandika huu uzi miezi kadhaa kabla ya uchaguzi ndo nilikuwa upande wake?
Ninaweza kuandika uzi kama huu kama niko upande wake?
Seriously???
Perhaps the dumbest president ever?
Well, what’s really new here? Zilch. Nothing. Nada. Another day, another Donald Trump so called controversy. For as much as he claims to dislike the mainstream media, the swamp and its creatures, and all that talk about draining the swamp, Donald Trump is perhaps one of the dumbest US...www.jamiiforums.com
Kama ndio hivyo umewezaji kutengeneza hoja za kwa Biden kuwa hawezi kuwa rais?Sijui.
Biden wala hakuwa candidate mzuri.Mkuu nimekufatilia mara nyingi umekuwa ukimponda Biden ..naona leo unamgeuka kipenzi chako Trump🤣🤣🤣🤣
Anyway maisha ndo yako hivyo..
Iko wapi hiyo hoja??Kama ndio hivyo umewezaji kutengeneza hoja za kwa Biden kuwa hawezi kuwa rais?
Point yako ni ipi hapo mkuu?Nashangaa kuona africans mnafanya siasa kama ushabiki wa mpira na sio vinginevyo yaani siasa za nje.
Kushangiria mpira ambao hauna faida au mantiki yoyote i.e simba na yanga.
Still wapo watakaofaidikika na hizo siasa au huo ushindi ila hawapo humu kwa asilimia 99% na wala hawatojitokeza pia they're not africans kama mnavyoongopeana.
Asilimia kadhaa ni negative kwa poor africans iwe kwa kujua au kutokujua.
Nimekuelewa mkuu ...wew upo huko, sisi tuko mavumbini hivyo tunaelemishana tu hapa😀😀😀Biden wala hakuwa candidate mzuri.
Candidacy yake iliokokewa na Rep. Jim Clyburn wa SC.
Anasumbuliwa na uzee. Hilo ni kweli.
Katika mazingira ya kawaida, Biden wala asingevuka primaries.
Na Biden wala hatogombea muhula wa pili.
Ni Rais wa mpito tu.
Maoni yangu kuhusu Biden hayajabadilika.
Sasa sina uhakika kama unavyonifuatiliaga huwa unaelewa ninachokiandika.
Mfano, hiki nilichokiandika hapa umekielewa?
Hahah ila internet hua haisahau aiseee.Mimi niliyeandika hivi mwezi June ndo nilikuwa upande wake??
Trump has gone AWOL
This is strange. So strange. The POTUS has gone AWOL while his country is imploding. The [peaceful] demonstrations and the riots are showing no signs of letting up, 6 days in now. I am no constitutional scholar. Matter of fact, I’ve been told my education level is just the 12th grade [Form...www.jamiiforums.com
🤣🤣🤣Uwezi kua Raisi wa US bila kua 66 Beden ni team 66
🤣🤣🤣Hahah ila internet hua haisahau aiseee.View attachment 1621740
Hivi inawezekn baada ya miaka minne tena Trump akagombea tena urais wa marekani?Mama ametulia sana aisee!
Why not?Hivi inawezekn baada ya miaka minne tena Trump akagombea tena urais wa marekani?