Na bado alikuwa anataka aendelee kuongoza kwa miaka 4 zaidi!! 🤣🤣🤣Wakiwa Angola, Joe Biden anaonekana akisinzia wakati makamu wetu wa Rais akizungumza.
Babu Biden kachoka. Arudi kwao huko Delaware akapumzike na wajukuu wake.
Hii ni aibu.
View: https://youtu.be/3jqHuRkI6EE?si=Df4KXUIbUnRGzmxb
Video ndefu zaidi hii hapa….
View: https://youtu.be/Ikyt0nNX5lI?si=fj6waQjv-t4m6aC3
Anajua kuwa Tanzania haina kiongozi mwenye hadhi ya kusikilizwa na rais wa MarekaniWakiwa Angola, Joe Biden anaonekana akisinzia wakati makamu wetu wa Rais akizungumza.
Babu Biden kachoka. Arudi kwao huko Delaware akapumzike na wajukuu wake.
Hii ni aibu.
View: https://youtu.be/3jqHuRkI6EE?si=Df4KXUIbUnRGzmxb
Video ndefu zaidi hii hapa….
View: https://youtu.be/Ikyt0nNX5lI?si=fj6waQjv-t4m6aC3
Biden ameshazeeka sana anatakiwa apumzike tu!Anasoma..mtu yeyote angeboreka..mko watu 5 unasoma nini? si eleza tu toka kichwani..! Namna hii ni kuwakwaza watu!
..pamoja na uzee, muongeaji amesababisha..unasoma nini mko watu 5 ni km mnajadiliana, majadiliano wewe unasoma? mtu yeyote hata kijana atakosa appetite kukusikiliza..Biden ameshazeeka sana anatakiwa apumzike tu!
Siyo kwamba alipuuza hotuba hiyo?Wakiwa Angola, Joe Biden anaonekana akisinzia wakati makamu wetu wa Rais akizungumza.
Babu Biden kachoka. Arudi kwao huko Delaware akapumzike na wajukuu wake.
Hii ni aibu.
View: https://youtu.be/3jqHuRkI6EE?si=Df4KXUIbUnRGzmxb
Video ndefu zaidi hii hapa….
View: https://youtu.be/Ikyt0nNX5lI?si=fj6waQjv-t4m6aC3
Kuna Mwanaccm Mcha Mungu?UKIWA NA NGUVU YA MUNGU NDANI YAKO WATU WALIO POSSESED NA SHETANI KUSINZIA NI KAWAIDA.
LIVE LONG MPANGO NA ENDELEA KUMWABUDU MUNGU WA KWELI, TUNAKUHITAJI HAPO 2025 ✝️🙏🏿💯💪🏿
Ndio ukweli anajua huu ni muda wa kupumzisha ubongo asiwe contaminated na pumba.Anajua kuwa Tanzania haina kiongozi mwenye hadhi ya kusikilizwa na rais wa Marekani
Acha uwongo wewe,umeshupaa,mpango kaendaje kama tz hakuwa kwenye ratiba?Kanadharau Sana .. Unajua Tanzania hakuwa sehemu ya Ratiba yake
Air force one ni kama nyumba tu mule ndaniHahahaaa hapana bana. Biden kachoka.
Analazimisha tu hiyo kazi ya urais.
Tofauti ya masaa kati ya Marekani na Angola ni kubwa vya kutosha.
Atapumzika Rais mpya akishaapishwa..Wakiwa Angola, Joe Biden anaonekana akisinzia wakati makamu wetu wa Rais akizungumza.
Babu Biden kachoka. Arudi kwao huko Delaware akapumzike na wajukuu wake.
Hii ni aibu.
View: https://youtu.be/3jqHuRkI6EE?si=Df4KXUIbUnRGzmxb
Video ndefu zaidi hii hapa….
View: https://youtu.be/Ikyt0nNX5lI?si=fj6waQjv-t4m6aC3
Anaongea kama anataka kulia au anaenda kulia hapo mbeleni kidogo kwenye hotuba yake.Huyo anayeongea naye anaboa lazima usinzie.
anajua kashamaliza mda wake afanyeje ?Haijalishi nani alikuwa anazungumza kwa wakati huo.
Kitendo tu cha kusinzia ukiwa kazini ni faux pas ya kutosha.
Can you specifically point out the nonsense that you claim he spoke?Sasa kama VP wenu anaongea nonsensi ataachaje kusinzia
ana miaka 82.Haka kababu kumbe kanadharau ?
50 plus ahead of me, You Know 😂ana miaka 82.
Masarau hayo😆Wakiwa Angola, Joe Biden anaonekana akisinzia wakati makamu wetu wa Rais akizungumza.
Babu Biden kachoka. Arudi kwao huko Delaware akapumzike na wajukuu wake.
Hii ni aibu.
View: https://youtu.be/3jqHuRkI6EE?si=Df4KXUIbUnRGzmxb
Video ndefu zaidi hii hapa….
View: https://youtu.be/Ikyt0nNX5lI?si=fj6waQjv-t4m6aC3
Atrocious delivery. Hichlema ametajwa mara mbili, ya pili kimakosa. Biden not mentioned at all ingawa ni mdau muhimu kwenye first remarks. Mpango kama anatetemeka ku -deliver two minutes remarks.