Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mambo ya Marekani wewe yanakuhusu nini?Wakiwa Angola, Joe Biden anaonekana akisinzia wakati makamu wetu wa Rais akizungumza.
Babu Biden kachoka. Arudi kwao huko Delaware akapumzike na wajukuu wake.
Hii ni aibu.
View: https://youtu.be/3jqHuRkI6EE?si=Df4KXUIbUnRGzmxb
Video ndefu zaidi hii hapa….
View: https://youtu.be/Ikyt0nNX5lI?si=fj6waQjv-t4m6aC3
Babu amekuwa bored na speech toka shithole country.Wakiwa Angola, Joe Biden anaonekana akisinzia wakati makamu wetu wa Rais akizungumza.
Babu Biden kachoka. Arudi kwao huko Delaware akapumzike na wajukuu wake.
Hii ni aibu.
View: https://youtu.be/3jqHuRkI6EE?si=Df4KXUIbUnRGzmxb
Video ndefu zaidi hii hapa….
View: https://youtu.be/Ikyt0nNX5lI?si=fj6waQjv-t4m6aC3
Dkt. Mpango aliyekuwa anaongea hapo yeye mambo ya Marekani yanamhusu nini?Mambo ya Marekani wewe yanakuhusu nini?
Ah wapi! Huyo anasumbuliwa na uzee tu.Babu amekuwa bored na speech toka shithole country.
Wanaenda kuomba pesa, wakipewa utasikia Ziara za mama zimeanza kutoa majibu.Dkt. Mpango aliyekuwa anaongea hapo yeye mambo ya Marekani yanamhusu nini?
Kule Rio kwenye G20 Sir100 alipewa airtime wenzake wakiwa wanapakua buffet. Tujifunze kutojipendekeza kwa hawa makaburu.Dkt. Mpango aliyekuwa anaongea hapo yeye mambo ya Marekani yanamhusu nini?
Mambo ya Rio wewe yanakuhusu nini? Una bwana wako huko?Kule Rio kwenye G20 Sir100 alipewa airtime wenzake wakiwa wanapakua buffet. Tujifunze kutojipendekeza kwa hawa makaburu.
Miafrika ndio mlivyo badala ya kujibu hoja unaleta viroja. MaghayoMambo ya Rio wewe yanakuhusu nini? Una bwana wako huko?
Inaonekana unapenda sana ma padri..??Mpango nae anaongea kwa kubembeleza. Kama padri vile
Nimesema juu huko kuna mtu kaandika he's 85.Lini kafikisha 85?
Biden hana miaka 85!Nimesema juu huko kuna mtu kaandika he's 85.
Miaka michache iliyopita kuna kiongozi aliwafanya watanzania kukimbilia kwenye luninga kila ilipofika jioni kumsikiliza.. kuongea kunahitaji nguvu ya ushawishi..Hizi dharau.
Juzi Maza anazungumza watu wanaanza kugawa misosi
🤔🤔🤔This a newsworthy incident.
Are you dumb?