TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

Kuna wanaosema jamaa alirushwa na watu wa usalama na wengine wanasema alikuwa anajichua akisahau kuwa alikuwa ghorofani, utamu ulipomzidia akaanguka na wengine wanasema alitaka kujiua ili akakutane na Yesu mbinguni.
 
Joel nilimfahamu kupitia rafiki yangu, tulikua tunaonana kanisani DPC kinondoni, familia ya kina Joel wote walikua wanasali hapo na baba yao alikua mchungaji kama sikosei anaitwa Pastor Chizii..

Joel alikua mtu fulani humble na mcheshi mnoo, walikua wanaishi mwananyamala, nakumbuka badae Joel akaoa, akaenda na kusoma degree ya social work chuo cha ustawi pale..
Sijui nini kimemkuta kwa kweli hadi kufikia hatua ya kujifanyia ukatili huo..
 
Huyo itakuwa kakamatwa ugoni na mke wa mtu wahuni wakamwadhibu Kwa style hyo
 
Ukweli anaujua mwenyewe

KIFO HAKIKOSI SABABU

Ova
 
Tena ukiileta iwekee special request kwa mod iwe linked na hii habari
 
Yaani kweli huyu ndiyo alikuwa anajichua ghorofani mpaka umauti kumkuta, siamini kabisa. Huyu atakuwa kauliwa tu na watu wa usalama, punyeto wanamsingizia tu.
 
Yule aliuwawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…