TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

Hakufa, alivunjika vunjika sehemu mbali mbali za mwili ikiwamo miguu na mikono. Alikuwa bado mzima akapelekwa hospital.

Uzuri familia yake wwalikuwapo kuona tukio lake la kujirusha ambalo yeye alilipa jina la tukio la kishujaa.
Mkuu alikufa yule ila baadae, tukio lile lilizimwa chinichini sababu kuna uzembe ulifanywa mpaka kuruhusu kufanya tukio lile katika yale majengo
 
Pale Mwanga Tower, Makumbusho limetokea tukio la mtu asiyefamika kujirusha kutoka gorofani, ambapo inasemekana tukio hilo limetokea mapema leo majira ya saa kumi na moja asubuhi.

Mpaka majira ya saa mbili asubuhi bado mwili wa mtu huyo ulikuwa eneo hilo. Taarifa zaidi zitakujia kadri zitakavyopatikana.

=====

Kijana asiyefahamika aliyekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 30 hadi 35 amefariki baada ya kujirusha kutoka gorofa ya 15 katika jengo la Derm lililopo Makumbusho, Dar es Salaam.


Derm zipo nyingi hapo ,Derm Plaza ,Derm House au Derm Complex? Wahy ITV waconclude kwamba amejirusha? Why isiwe amesukumizwa? Kuna CCTV Footage huko floor ya 15?
 
Pale Mwanga Tower, Makumbusho limetokea tukio la mtu asiyefamika kujirusha kutoka gorofani, ambapo inasemekana tukio hilo limetokea mapema leo majira ya saa kumi na moja asubuhi.

Mpaka majira ya saa mbili asubuhi bado mwili wa mtu huyo ulikuwa eneo hilo. Taarifa zaidi zitakujia kadri zitakavyopatikana.

=====

Kijana asiyefahamika aliyekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 30 hadi 35 amefariki baada ya kujirusha kutoka gorofa ya 15 katika jengo la Derm lililopo Makumbusho, Dar es Salaam.


Mbona wanasema anafahamika kwa jina la JOEL ni MC maarufu tu...iweje aende kusali msikitini? Halafu hapo Pembeni yake kuna TAASISI ambayo ukienda kinyume utajikuta kwenye Mtaro au Kisima.

Aliyefariki ni Mkristo ,why aende kusali msikitini? Ma MC wengi huwa ni watu wa vitengo.
 
Hapana mkuu
Ni lazima uchunguzi ufanyike
Hata wazungu maiti haiwezi kuondolewa haraka inachukua masaa kadhaa

Nimeshuhudia kwa macho barabara zilifungwa siku nzima na maiti ikifanyiwa uchunguzi
Ni sawa lakini mi naongelea jambo kufanyika upesi ikiwezekana kama mtu hajafa mjaribu hospital kuokoa uhai.sasa watu hapo wanaconclude kashakufa huyu,polisi nao masaa mawili hawapo eneo la tukio.
Whata if mapigo yalikua yanapiga kapasuka tu?
Hata kama ni maiti,maiti inalala chini masaa ya kutosha haipendezi.
 
Back
Top Bottom