DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
😂😂😂Huyu jamaa ni contrepreneur,
Anakuuzia njia za mafanikio/matumaini....
Wewe ndo fursa kwake, biashara yake ni kudaka macho ya watu
Hizo njia za mafanikio ndo zipoje anazifundisha miaka na miaka, kwanini asichapishe muongozo mmoja tu? Kwanini asikuambie yeye alifanyaje anakupa ushauri wa jumla jumla?
Binafsi namchukia sana na natamani nikutane nae siku moja nimtukane.
Siku zote watu kama Nanauka hawana tofauti ni kina Mwamposa, Maneno mengiii baada ya hapo anakuuzia softcopy ya kitabu tuHuyu jamaa ni contrepreneur,
Anakuuzia njia za mafanikio/matumaini....
Wewe ndo fursa kwake, biashara yake ni kudaka macho ya watu
Hizo njia za mafanikio ndo zipoje anazifundisha miaka na miaka, kwanini asichapishe muongozo mmoja tu? Kwanini asikuambie yeye alifanyaje anakupa ushauri wa jumla jumla?
Binafsi namchukia sana na natamani nikutane nae siku moja nimtukane.
Watu wanaona Maisha ni Maraisi kama kupiga nyetoHuyu jamaa ni contrepreneur,
Anakuuzia njia za mafanikio/matumaini....
Wewe ndo fursa kwake, biashara yake ni kudaka macho ya watu
Hizo njia za mafanikio ndo zipoje anazifundisha miaka na miaka, kwanini asichapishe muongozo mmoja tu? Kwanini asikuambie yeye alifanyaje anakupa ushauri wa jumla jumla?
Binafsi namchukia sana na natamani nikutane nae siku moja nimtukane.
Usemayo ni Kweli! Ila punguza pressure mkuu😂Binafsi namchukia sana na natamani nikutane nae siku moja nimtukane.
Wengi walishindwa🤣🤣🤣🪑Sasa TO wa form 4 ndo nn😂😂😂
ni 147M estimation57,000 USD unajua ni sh ngap we kijana?
Hahaha..Huyu jamaa ni contrepreneur,
Anakuuzia njia za mafanikio/matumaini....
Wewe ndo fursa kwake, biashara yake ni kudaka macho ya watu
Kwenye siasa kuna udanganyifu. Huyo jamaa akishaingia katika siasa tu, atabadilika atakuwa hafanyi kama anayofanya sasa hivi. Atakutana na wanasiasa walafi, mafisadi na waongo watamdanganya anaiacha njia yake nzuri.My classmate ni full madini. Mama Samia hao ndo wakupiga nao kazi mpe teuzi. Acheni kuteua kina Chala Mila na ma konda walopokaji na wakurupukaji
Ni vizuri watu wakaelewa na neno Mentor hata Kama una PESA kiasi gani unahitaji kuwa na mentor mzuriUsemayo ni Kweli! Ila punguza pressure mkuu😂
Nasikia aliguswa guswa kipindi kile na watu wasiojulikana ikabidi aunge mkono juhudiSijui kwa Nini alihamia CHADEMA?. Kwenda CCM nilimuona Kama opportunist.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Siku zote watu kama Nanauka hawana tofauti ni kina Mwamposa, Maneno mengiii baada ya hapo anakuuzia softcopy ya kitabu tu
Jamaa amenishangaza sana, aisee!Kwa hio wewe hujui hayo aliyoandika ? mbona ni common sense hayaitaji akili yoyote. Mnazijua akili kubwa nyie ?
Mkuu wee ni mzee?JOEL NANAUKA ana kitu kikubwa Sana hivyo vijana nawashauri endeleeni kusoma makala zake mtapata kitu kipya Cha kuijenga Akili yako.View attachment 2815437
NB: Huyu Jamaa amewahi kuwa TO TANZANIA ONE katika matokeo ya kidato Cha nne.