Pre GE2025 John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu

Pre GE2025 John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwenye siasa haiba ya nini?kuitoa CCM madarakani kunahitaji haiba?Heche ni mwanasiasa aliyenyooka
 
Unasoma saangapi ?
Unaandika saangapi machapisho Sio rahisi hivyo mkuu .

Hapa unachofanya unapambana ulipwe au kuingiza siku .


Wazalishaji wa maudhui huwa wanasoma Sana na kuandika mambo yenye fact zaidi
Gentleman,
nipo shambani right now,
actually,
nina muda mrefu zaidi wa kusoma kuliko hata uwekezaji wa kulima na ufugaji unaoninifanya niwe comfortable sana kiuchumi..

Napambana zaidi kupata ardhi kubwa zaidi na actually kufuga kisasa zaidi,...

February hadi June ninakua busy zaidi na mambo ya kufundisha vyuo vikuu, but mwaka huu wa uchaguzi huenda mambo yakabadilika kidogo kama mnavyofahamu vikao vya bajeti mpaka April vitakua vimekwisha.

In short,
ninasoma zaidi ya kuandika 🐒
 
Lissu wa moto Heche wa moto, wanataka kuipelekesha CCM kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Heche anaingia kwenye siasa za kivitendo mbali kabisa na zile za ufundi wa kukosoa kinachofanywa na serikali kuu.
 
Lissu wa moto Heche wa moto, wanataka kuipelekesha CCM kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Heche anaingia kwenye siasa za kivitendo mbali kabisa na zile za ufundi wa kukosoa kinachofanywa na serikali kuu.
Gentleman,
kwamba makelele, mdomo kiburi, ujeuri na kubeti vinaitisha hiyo chama kubwa kubwa Tawala , right?🤣
 
Kwenye siasa haiba ya nini?kuitoa CCM madarakani kunahitaji haiba?Heche ni mwanasiasa aliyenyooka
Yes gentleman,
ni kweli amenyooka sana majukwaani, na ndio maana hadi nyumbani kwake anapokeaga kichapo kizuri tu kutoka kwa mwenzi wake bila tashwishwi yoyote,

eti sasa anataka kuongoza taasisi, wakati kataasisi kadogo tu pale nyumbani kamemshinda 🐒
 
Gentleman,
kwamba makelele, mdomo kiburi, ujeuri na kubeti vinaitisha hiyo chama kubwa kubwa Tawala , right?🤣
Mbowe ni tofauti na Lissu na huyo Heche anatoa changamoto mpya, hakuna wa kuitisha CCM ipo tangu mwaka 1977 inazijua mbinu zote chafu na safi. Hakuna wa kuweza kuitisha.

Punguza sarcasm kwenye maongezi yako.
 
Kiukweli kabisa hata kwa macho ya nyama tu, John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.

Katika kujieleza kwake, kinachojidhihirisha mwanzo kabisaa wa maelezo yake ni kiburi, kisasi na ujeuri wa kiwango cha juu sana dhidi ya viongozi wa sasa wa chadema hususan mwenyekiti wa chadema Taifa. John Heche anajaribu kujieleza na kujipambanua kwa kufokafoka kwa hisia kali, akadhani eti ndio ataonekana jasiri au kwamba yeye ndie mwenye uchungu sana na chadema kuliko wengine, kumbe waerevu wenye hekima na busara wana muona kama mtu anaetumia vitu vya kusisimua akili na kumpa ujasiri wa kujieleza bila woga au kujali macho ya hadhira inayomskiliza.

Kisiasa,
maelezo, mtazamo na muonekano wa Heche vinatia shaka na vinamfanya aonekane kama vile anapitia changamoto au wakati fulani mgumu, na hivyo anaonekana kama mtu ambae si mwema na asie na dhamira au nia njema kwa chadema.

Siasa, hulka na tabia ya uzungumzaji wa John Heche, unashabihiana na unaendana na ule wa Tundu Lisu, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wagombea hawa wakaungwa mkono na watu wa vurugu mithili ya majambazi wa kisiasa, na kusababisha wenye hekima na busara walazimike kuhama kambi kukwepa au kukimbia vurugu za Lisu na Heche uongozini.

Kwa kifupi,
John Heche ameshusha hadhi na kiwango cha kuaminika kwa Lisu miongni mwa wanao muunga mkono.
Lakini pia chemistry ya Heche na Lisu ni kitisho kwa demokrasia, msingi wa kuanzishwa kwa chadema na uhai wa chadema kwenye medani za siasa za Tanzania.🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Km babako
 
Kiukweli kabisa hata kwa macho ya nyama tu, John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.

Katika kujieleza kwake, kinachojidhihirisha mwanzo kabisaa wa maelezo yake ni kiburi, kisasi na ujeuri wa kiwango cha juu sana dhidi ya viongozi wa sasa wa chadema hususan mwenyekiti wa chadema Taifa. John Heche anajaribu kujieleza na kujipambanua kwa kufokafoka kwa hisia kali, akadhani eti ndio ataonekana jasiri au kwamba yeye ndie mwenye uchungu sana na chadema kuliko wengine, kumbe waerevu wenye hekima na busara wana muona kama mtu anaetumia vitu vya kusisimua akili na kumpa ujasiri wa kujieleza bila woga au kujali macho ya hadhira inayomskiliza.

Kisiasa,
maelezo, mtazamo na muonekano wa Heche vinatia shaka na vinamfanya aonekane kama vile anapitia changamoto au wakati fulani mgumu, na hivyo anaonekana kama mtu ambae si mwema na asie na dhamira au nia njema kwa chadema.

Siasa, hulka na tabia ya uzungumzaji wa John Heche, unashabihiana na unaendana na ule wa Tundu Lisu, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wagombea hawa wakaungwa mkono na watu wa vurugu mithili ya majambazi wa kisiasa, na kusababisha wenye hekima na busara walazimike kuhama kambi kukwepa au kukimbia vurugu za Lisu na Heche uongozini.

Kwa kifupi,
John Heche ameshusha hadhi na kiwango cha kuaminika kwa Lisu miongni mwa wanao muunga mkono.
Lakini pia chemistry ya Heche na Lisu ni kitisho kwa demokrasia, msingi wa kuanzishwa kwa chadema na uhai wa chadema kwenye medani za siasa za Tanzania.[emoji205]

Mungu Ibarki Tanzania
Ushakula za Abdul nn, we siukomae na fisiemu yako huko

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Gentleman,
without fear of contradictions,
Heche amemshushia Lisu hadhi na kiwango cha kuaminika kwake kwa wanachadema, licha ya kwamba aina za siasa zao zinafanana na wote hawana hekima wala busara ispokua makelele na mdomo tu,

hakuna mwenye utulivu wa akili anaweza kuthubutu kuchagua yeyote kati ya hao kua kiongozi wa taasisi [emoji205]
Sisi ndio tunawataka hao

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Mbowe ni tofauti na Lissu na huyo Heche anatoa changamoto mpya, hakuna wa kuitisha CCM ipo tangu mwaka 1977 inazijua mbinu zote chafu na safi. Hakuna wa kuweza kuitisha.

Punguza sarcasm kwenye maongezi yako.
elezea wadau gentleman, hususani anae dai na kudhani Heche na huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ni tishio kwenye vyama vingine bobevu vya kisiasa,

ni muhimu kufanya hivyo bila porojo na story za pata potea dhidi yangu 🐒
 
Kinakuuma nn kijana we komaa na wenzio wa Lumumba

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
gentleman,
kwahiyo kuna watu wanaumia kabisa huenda ikiwa ni pamoja na wewe, right?

ni kweli kabisaa unamia kwasabb ya siasa au hali ngumu ya maisha?🤣

acha uvivu gentleman ongeza bidii ya kazi, bila makasiriko utatoboa tu 🐒
 
Yes gentleman,
ni kweli amenyooka sana majukwaani, na ndio maana hadi nyumbani kwake anapokeaga kichapo kizuri tu kutoka kwa mwenzi wake bila tashwishwi yoyote,

eti sasa anataka kuongoza taasisi, wakati kataasisi kadogo tu pale nyumbani kamemshinda 🐒
Utakuwa mke mdogo maana unajua mambo ya Heche ya ndani kabisa
 
Kiukweli kabisa hata kwa macho ya nyama tu, John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.

Katika kujieleza kwake, kinachojidhihirisha mwanzo kabisaa wa maelezo yake ni kiburi, kisasi na ujeuri wa kiwango cha juu sana dhidi ya viongozi wa sasa wa chadema hususan mwenyekiti wa chadema Taifa. John Heche anajaribu kujieleza na kujipambanua kwa kufokafoka kwa hisia kali, akadhani eti ndio ataonekana jasiri au kwamba yeye ndie mwenye uchungu sana na chadema kuliko wengine, kumbe waerevu wenye hekima na busara wana muona kama mtu anaetumia vitu vya kusisimua akili na kumpa ujasiri wa kujieleza bila woga au kujali macho ya hadhira inayomskiliza.

Kisiasa,
maelezo, mtazamo na muonekano wa Heche vinatia shaka na vinamfanya aonekane kama vile anapitia changamoto au wakati fulani mgumu, na hivyo anaonekana kama mtu ambae si mwema na asie na dhamira au nia njema kwa chadema.

Siasa, hulka na tabia ya uzungumzaji wa John Heche, unashabihiana na unaendana na ule wa Tundu Lisu, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wagombea hawa wakaungwa mkono na watu wa vurugu mithili ya majambazi wa kisiasa, na kusababisha wenye hekima na busara walazimike kuhama kambi kukwepa au kukimbia vurugu za Lisu na Heche uongozini.

Kwa kifupi,
John Heche ameshusha hadhi na kiwango cha kuaminika kwa Lisu miongni mwa wanao muunga mkono.
Lakini pia chemistry ya Heche na Lisu ni kitisho kwa demokrasia, msingi wa kuanzishwa kwa chadema na uhai wa chadema kwenye medani za siasa za Tanzania.🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Naam kama wewe huna haiba ya kuwa MKE WA MUME uliyenaye, sijui ilikuwaje??🤔🤔🤔🚴🚴🚴

Tushukuru mume anajukuvumilia
 
Kiukweli kabisa hata kwa macho ya nyama tu, John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.

Katika kujieleza kwake, kinachojidhihirisha mwanzo kabisaa wa maelezo yake ni kiburi, kisasi na ujeuri wa kiwango cha juu sana dhidi ya viongozi wa sasa wa chadema hususan mwenyekiti wa chadema Taifa. John Heche anajaribu kujieleza na kujipambanua kwa kufokafoka kwa hisia kali, akadhani eti ndio ataonekana jasiri au kwamba yeye ndie mwenye uchungu sana na chadema kuliko wengine, kumbe waerevu wenye hekima na busara wana muona kama mtu anaetumia vitu vya kusisimua akili na kumpa ujasiri wa kujieleza bila woga au kujali macho ya hadhira inayomskiliza.

Kisiasa,
maelezo, mtazamo na muonekano wa Heche vinatia shaka na vinamfanya aonekane kama vile anapitia changamoto au wakati fulani mgumu, na hivyo anaonekana kama mtu ambae si mwema na asie na dhamira au nia njema kwa chadema.

Siasa, hulka na tabia ya uzungumzaji wa John Heche, unashabihiana na unaendana na ule wa Tundu Lisu, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wagombea hawa wakaungwa mkono na watu wa vurugu mithili ya majambazi wa kisiasa, na kusababisha wenye hekima na busara walazimike kuhama kambi kukwepa au kukimbia vurugu za Lisu na Heche uongozini.

Kwa kifupi,
John Heche ameshusha hadhi na kiwango cha kuaminika kwa Lisu miongni mwa wanao muunga mkono.
Lakini pia chemistry ya Heche na Lisu ni kitisho kwa demokrasia, msingi wa kuanzishwa kwa chadema na uhai wa chadema kwenye medani za siasa za Tanzania.🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Baba yako ana muonekano na haiba ya kuwa kiongozi?.
 
Utakuwa mke mdogo maana unajua mambo ya Heche ya ndani kabisa
ni miongoni mwa wanaume wanayopitia madhila ya unyanyasaji wa kijinsia,

inasikitisha sana, inafedhehesha sana eti kwenye press anabweka bweka eti ng'we ng'we ng'we, nyumbani anafinywa na mama 🤣
 
Back
Top Bottom