Huyo anapenda kutumia maguvu sana kwenye hoja zake! Magufuli alikuwa anamjua sana Heche kwanza ana kiburi na kujifanya a ajua sana!Mwenyekiti wa CCM na Rais wa TZ si mtu wa kum-approach takataka km hiyo. Ameona amesahaulika anatafuta namna ya kutrend huyo nyumbu
Hakuna popote Heche amekuomba umwamini.Tatizo wanasiasa wa kitanzania si wa kuamini. Kwa kuwa hawana uwezo wa kufanya kaz za kitaalam. Kwa hiyo ni kufanya siasa, na kuongea uongo uongo tu.
Heche huyu huyu aliyenunuliwa na Lowassa na kuanza kulamba matapishi yao waliokuwa wanamtapikia Lowassa , ndiye aliyekataa uwaziri wa Magufuli au kuna Heche mwingine; uchaguzi unakaribia tunasikia mengi.Chadema pale wakusema angalau tukamwamini ni Myika tu wengine ni vibaraka wa Mbowe.Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.
Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.
Hongera John Heche, big repect to you
Halafu ashambuliwe na risasi kama Lissu?Angesema akiwa hai
Kumbe unatiwa madole wewe mchaga Gilbert A Massawe !! Mashoga mpaka Moshi kumbe wapo??Hata wewe na bwanako mnaelekea huko soon ila mlitiwa dole na Jiwe
Hahah kima nyie
Mna bahati sana na Siasa zenu za kuhadaa watu
Jenga hoja, za kumtetea sio anakwenda kwenye vyombo vya habari, anaongea chochote bila ushahid. Hizo ni sasa za maji taka. Kila mtu akianza kuongea bila ushahid itakuwaje.Hakuna popote Heche amekuomba umwamini.
Umetiwa dole wewe na Mama yako ukadhani Mimi mwenzioKumbe unatiwa madole wewe mchaga Gilbert A Massawe !! Mashoga mpaka Moshi kumbe wapo??
Wewe kama una akili sana si uondoke kwa shemj yako mnapolishwa na dada yakoKwani Magufuli alikuwa na akili? Mashngaa wajinga wanamuona eti alikuwa genius? Genius wa Kolomije? Ndiyo atulangie namna ya kuishi na kutengeneza fedha Dar??
Pole Magu hayupo duniani kwa sasa. Amefanya makubwa sana ambayo mpaka umoja wa, mataifa walimkubali. Je, ww ndugu yetu ungali unavuta hewa ya dunia, umeshafanya nnn mpaka ukumbukwe? Au ndio upo nyuma ya keyboard tu. ?Pole, magu alikuwa na siasa za kitoto ile mbaya. Na hayo madaraka ya urais ndio yalionyesha udhaifu wake kama mwanasiasa. Alikuwa analazimisha sana kukubalika hata kwa wasiomkubali. Inshort alikuwa anapenda siasa, wakati siasa zilikuwa hazimtaki.
CCM wamefanya nini miaka 5 iliyopita, nionyeshe mradi mmoja wapo wa ccm nchi hii na linganisha mabilioni wanayopokea kila mwezi, usije taja miradi ya serikali, nimesema miradi ya ccm.Wewe umeshakuwa affected psychologically....mwacheni mwamba apumzike.
Hao chadema so far wamefanya nini zaidi ya kubugia ruzuku tu?...
Hiyo Avatar uliyoweka inadhihirisha chuki....huyo jamaa yako kwenye avatar hawezi kumsahau Chuma pale Butimba...
Hizo sifa zinamsaidiaje Magu huko aliko??Pole Magu hayupo duniani kwa sasa. Amefanya makubwa sana ambayo mpaka umoja wa, mataifa walimkubali. Je, ww ndugu yetu ungali unavuta hewa ya dunia, umeshafanya nnn mpaka ukumbukwe? Au ndio upo nyuma ya keyboard tu. ?
Amefanya hayo kama waziri, na rais, sijahi kuwa na cheo chochote. Mimi nimeotesha miti zaidi ya 5,000. Na sihitaji kukumbukwa na yoyote.Pole Magu hayupo duniani kwa sasa. Amefanya makubwa sana ambayo mpaka umoja wa, mataifa walimkubali. Je, ww ndugu yetu ungali unavuta hewa ya dunia, umeshafanya nnn mpaka ukumbukwe? Au ndio upo nyuma ya keyboard tu. ?
Yale yale ya Ujinga wa Heche bila udhitibitisho. Unajitamkia tu kipumbavu. Tutadhibitisha VIP. Labda, nikwambie, na nikuondoe Ujinga, hapa dunia hauwez kuongea kitu bila udhitibitisho. Ukiongea bila udhitibitisho utaonekana poyoyo tu.Amefanya hayo kama waziri, na rais, sijahi kuwa na cheo chochote. Mimi nimeotesha miti zaidi ya 5,000. Na sihitaji kukumbukwa na yoyote.
Zinamsaidia kwenye ufalme wa mbinguni. Na ww tayarisha maisha yako kungali mapema. Usibaki kugombano na marehemu wakati, yeye ameshamaliza.Hizo sifa zinamsaidiaje Magu huko aliko??
Umejaribu kumuomba Heche ushahidi akashindwa kutoa? Au unaandika namna akili yako inakutuma?Jenga hoja, za kumtetea sio anakwenda kwenye vyombo vya habari, anaongea chochote bila ushahid. Hizo ni sasa za maji taka. Kila mtu akianza kuongea bila ushahid itakuwaje.
Hata wewe ni poyoyo kwa kudhani Heche hana ushahidi.Yale yale ya Ujinga wa Heche bila udhitibitisho. Unajitamkia tu kipumbavu. Tutadhibitisha VIP. Labda, nikwambie, na nikuondoe Ujinga, hapa dunia hauwez kuongea kitu bila udhitibitisho. Ukiongea bila udhitibitisho utaonekana poyoyo tu.