macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Yule shetani alikuwa na mazuri? Mshenzi sana yule muuaji wa wananchi wasio na hatia.Bahati Magufuli (John Pombe) hayupo kukiri au kukana hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule shetani alikuwa na mazuri? Mshenzi sana yule muuaji wa wananchi wasio na hatia.Bahati Magufuli (John Pombe) hayupo kukiri au kukana hilo.
Hittler alikufa miaka mingi lakini mpaka sasa uovu wake unaongelewa na kulaaniwa. Magufuli alikuwa na roho ya uuaji, maisha na maisha, atabaki kukumbukwa kama muuaji na katili.Heche anafanya upumbavu tuu, Sasa mtu alishakufa angenyamaza tuu hakuna namna ya kuthibisha au kukanusha. Yeye anagombea mwakani hilo ndo la msingi.
Pole, magu alikuwa na siasa za kitoto ile mbaya. Na hayo madaraka ya urais ndio yalionyesha udhaifu wake kama mwanasiasa. Alikuwa analazimisha sana kukubalika hata kwa wasiomkubali. Inshort alikuwa anapenda siasa, wakati siasa zilikuwa hazimtaki.Mm na
Mm nathibitisha kuwa huyo ni muongo, kwa kuwa hana ushahid wowote wa video, sauti au maandishi kuwa JPM alimwomba ahamie CCM. Pili, Heche ana nn cha maana mpaka, atakiwe CCM. Ana records gani nzuri ya utendaji wa kazi,hata kwenye Jimbo lake.Zaid ya kupiga kelele tu kwenye mitandao. Hawa, wanatafuta tu kaz za kisiasa kwa faida zao na familia zao. Na huko kwenye ubunge hakuna kitu. Kama kungekuwa, na kitu, wangekuwa wapo vizur sana kimaisha. Wamechokaaaa ingawa walikuwa wabunge.
Ni wangapi walihamia, kisha tukaishia kuona chaguzi za kishenzi sana ili warejee kwenye nafasi zao?Usiamini kila kitu kinachosemwa na wanasiasa. Yaani kusema tu hivyo tayari umeamini kuwa Heche alikuwa approached kuhamia Ccm. Bado safari yetu kama taifa ni ndefu sana
Hahitaji vyeo vya mbeleko since anaweza kuvipata vyote hivyo kihalali.Huyu nae boya tu, uwaziri kaukataa na ubunge kakosa bahati haijagi marambili
Adolf Hitler anasemwa mpaka leoWamuache Mzee wa watu alishapumzika 😔🙏
Udhibitisho wa Nini dogo?Hebu tuwekee hapa uthibitisho.
Uwaziri wa bongo nao ni kitu Cha maana hivyo?Kwa uspesho gani alionao. Aache uongo na uzandiki. Heche waziri my foot!
Mangapi yalisenwa akiwa hai na hakukanusha Wala kukubali? Lisu si alikuwa anamtaja waziwazi kuwa ndio aliagiza ashambuliwe, aliwahi kujibu? Au hayo Heche ndio angeona ya muhimu sana kujibu?Muongo mkubwa huyu,kwa nini hakusema kipindi Magufuli akiwa hai.
Magufuli am-approach huyo alikosa nini. Hao wamechanganyikiwaLeo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.
Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.
Hongera John Heche, big repect to you
Baba wa Uchumi wa Germany aliewatia adabu mashoga ya kiisraelAdolf Hitler anasemwa mpaka leo
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa TZ si mtu wa kum-approach takataka km hiyo. Ameona amesahaulika anatafuta namna ya kutrend huyo nyumbuKwani wewe mgeni na Jiwe !.Alikuwa na siasa za hovyo kupitiliza.
Halafu yeye yuko wapi leo na yeye anatiwa nini ?Aliwatia vidole sana
Nikiwacheka sana kima nyie
Angesema akiwa haiLeo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.
Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.
Hongera John Heche, big repect to you
Hata wewe na bwanako mnaelekea huko soon ila mlitiwa dole na JiweHalafu yeye yuko wapi leo na yeye anatiwa nini ?