Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Ila hela za posho wanazo.Cdm haina hela za kutoa kwa wanaccm, ccm ndio wanahela za kuhonga hovyo. Ukiona mwanaccm kaenda cdm ujue anatingisha kibiriti huko ccm, au huko ccm kafanyiziwa hivyo anaenda kujifariji cdm. Shida ya cdm hawagawani vyeo Bali majukumu, ila ccm unaenda kuuza Uhuru wako Ili uwe kwenye mbeleko ya kula cake ya taifa.