Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hufahamu nguvu na uwezo wa Heche, pita hukoMm na
Mm nathibitisha kuwa huyo ni muongo, kwa kuwa hana ushahid wowote wa video, sauti au maandishi kuwa JPM alimwomba ahamie CCM. Pili, Heche ana nn cha maana mpaka, atakiwe CCM. Ana records gani nzuri ya utendaji wa kazi,hata kwenye Jimbo lake.Zaid ya kupiga kelele tu kwenye mitandao. Hawa, wanatafuta tu kaz za kisiasa kwa faida zao na familia zao. Na huko kwenye ubunge hakuna kitu. Kama kungekuwa, na kitu, wangekuwa wapo vizur sana kimaisha. Wamechokaaaa ingawa walikuwa wabunge.
Kwamba wewe ndo unajiona una akili sana siyo. Wewe ni pimbi mmoja tu huwezi ku argue na mimi hata kidogo.Safari ni ndefu kwa kichwa maji kama wewe
Kuyawaliwa ndo kufanywaje sasaNi kweli tuliyawaliwa na Rais haini
Auwawe?!Anatafuta kiki tu. Mbona hakuyasema haya alipokuwa hai? Atuthibitishie walau.
Tupe ushahidi kuwa amedanganyaNamkubalia sana Heche ila kwenye hili amedanganya
Mweee!! Alisema tangu zamani na amekuwa Consistent. Na kweli Ubunge aliondolewa kinguvu. Hilo nalo unpinga?Namkubalia sana Heche ila kwenye hili amedanganya
Hujui kuwa Alimpora Ubunge kwa nguvu? Unataka ushahidi wa namna gani?Kasema yye ushahidi uko wap? Maaana magufuli yupo mbele za haki hatujui je kweli au amekos maneno ya kusema
Sasa naanzaje ku argue na mpumbavu? Hata Biblia imekataza kubishana na kiumbe kama wewe, Mithali 26:4 "Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye"Kwamba wewe ndo unajiona una akili sana siyo. Wewe ni pimbi mmoja tu huwezi ku argue na mimi hata kidogo.
Hata huo wa halali hapati kwasababu wapiga kura wameshamkataaHahitaji ubunge wa mbeleko maana anaweza kupata wa halali. Au unadhani Kila mtu anataka madaraka ya hisani?
Lowassa, Nyalandu, Sumaye, n.k.Akina nani?
Thubutu, ongea na tume ya uchaguzi kuwa wapore pengine, ila huko tarime uchaguzi uwe halali kisha uje utoe mrejesho hapa.Hata huo wa halali hapati kwasababu wapiga kura wameshamkataa
Tuwekee hapaMagu ndo ilikua zake.....alimtongoza Mnyika waziwazi huku akimuahidi mabilioni na uwaziri juu... voicenotes tunazo
Hebu tuwekee hapa uthibitisho.Alisema zaidi ya mara Moja, huenda ww ndio umemsikia Leo. Sasa hilo sio kosa lake Bali ni lako.