John Heche: Magufuli aliniahidi kunipa nafasi ya Uwaziri kama ningekubali kuhamia CCM

John Heche: Magufuli aliniahidi kunipa nafasi ya Uwaziri kama ningekubali kuhamia CCM

Usiamini kila kitu kinachosemwa na wanasiasa. Yaani kusema tu hivyo tayari umeamini kuwa Heche alikuwa approached kuhamia Ccm. Bado safari yetu kama taifa ni ndefu sana
Safari ni ndefu kwa kichwa maji kama wewe
 
Mm na

Mm nathibitisha kuwa huyo ni muongo, kwa kuwa hana ushahid wowote wa video, sauti au maandishi kuwa JPM alimwomba ahamie CCM. Pili, Heche ana nn cha maana mpaka, atakiwe CCM. Ana records gani nzuri ya utendaji wa kazi,hata kwenye Jimbo lake.Zaid ya kupiga kelele tu kwenye mitandao. Hawa, wanatafuta tu kaz za kisiasa kwa faida zao na familia zao. Na huko kwenye ubunge hakuna kitu. Kama kungekuwa, na kitu, wangekuwa wapo vizur sana kimaisha. Wamechokaaaa ingawa walikuwa wabunge.
Hufahamu nguvu na uwezo wa Heche, pita huko
 
Kwahiyo yule naibu Waziri wa Afya alifika dau kizezeta?

Mambo yote hadharani😆
 
Kwamba wewe ndo unajiona una akili sana siyo. Wewe ni pimbi mmoja tu huwezi ku argue na mimi hata kidogo.
Sasa naanzaje ku argue na mpumbavu? Hata Biblia imekataza kubishana na kiumbe kama wewe, Mithali 26:4 "Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye"
 
Huyu nae boya tu, uwaziri kaukataa na ubunge kakosa bahati haijagi marambili
 
Uongo huo anamuongelea mtu ambae hawezi kuongea Tena

Magu hawezi kuwaaproch watu kwa jinsi hyo aseme tu labda bashiru alimfata kupitia maguful
 
Back
Top Bottom