John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar



John Mnyika anatosha kabisa!
 
Hakuna cha Heche wala Mnyika wala Salum
Mtaletewa katibu mkuu dizaini ya Mashinji
Mboww hataki katibu mkuu mwenye nguvu kama ilivyokuwa kwa Slaa.
Tegemeeni kuletewa katinu mkuu wa dizaini ya Mashinji.
Natamani vijana mngejitambua hakika si ccm wala cdm wala chama chochote cha upinzani kingewageuza geuza kama chapati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnyika bora wampe ukatibu mkuu maana Ubunge ndo basi tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo elimu chadema itayumba mwenyekiti division zero form six katibu mkuu Mnyika form six chama kitakufa

Ninafurahi mashinji leo anatolewa out.Timu Lowasa chadema wameipania kuipiga chini yote .Mashinji alipelekwa na Lowasa Ukatibu kama asante kwa hujuma w3aliyomfanyia kikwete ya mgomo wa madaktari ambao uliratibiwa na Mashinji

Aliongoza mgomo wa madaktari leo chadema chini ya mmbowe wanaongoza mgomo wa kumkataa Mashinji.Mwosha huoshwa
 
Mwanamke una maneno ya kanga wewe! Kuolewa kwako wewe ni majaliwa kwa tabia hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnyika au Heche.
vyeo vyote vikubwa chadema mnagawia wabunge .Tatizo la ajira gumu kwisha mtu mbunge .halafu tena katibu mkuu mishahara yote abebe yeye ya ubunge na ukatibu mkuu .Wapeni wengine igeni CCm sio mnazungusha hao hao kakundi kadogo ka wabunge
 
Kwangu mimi yeyote kati ya hawa anafaa:

1. JOHN HECHE (MB) Tarime Vijijini

2. MARCOS ALBANIE (Mwanasheria na mwanaharakati mbobevu)

John Mnyika abaki kuwa naibu (Tanganyika) na Mwalimu Salumu (Zanzibar)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…