Wote wazuri ila Marcos ananikosha zaidi kwa uwezo wake wa sheria, katiba na mambo yote ya documentation hasa ukizingatia Katibu mkuu sio mtu sana wa siasa za majukwaani bali za kiofisiMashinji hafai kabisa, kwangu John Heche na Marcos Albanie wanafaa.
WanaJF Salaam
Ni siku nyingine muhimu kabisa katika historia ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA.
Baraza Kuu jipya la Chadema linakutana leo maalum kuichagua sekretariati mpya ya chama hicho itakayokivusha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
Kwa mujibu wa Katiba ya chama hicho Mwenyekiti wa Taifa atapaswa kupendekeza majina kwa nafasi tatu za Katibu Mkuu na Manaibu wake wawili wa Tangsnyika na Zanzibar.Kisha Baraza Kuu litapigia kura mapendekezo ya Mwenyekiti na kuwachagua rasmi watendaji hao.
Kwa sasa habari kuu hapa katika viwanja vya Mlimani City ni kuhusu jina la Katibu Mkuu mpya.Huku majina kadhaa yakitajwa na wajumbe kwa kubashiri.
Majina yaliyoko vinywani vya wajumbe na kuonekana kutajwa sana ni John Mnyika,John Heche,Salum Mwalim,Lazaro Nyalandu na Vicent Mashinji ambaye ni Katibu Mkuu anayemaliza muda wake.
Tunatarajia kuwaletea taarifa kamili ya uteuzi utakaofanywa na Mwenyekiti na tunawaahidi wasomaji wetu wa Jamii Forum kuwa wa kwanza kupata taarifa.
Asanteni sana
Wasalaam
Molemo wa JF
Tatizo elimu chadema itayumba mwenyekiti division zero form six katibu mkuu Mnyika form six chama kitakufa
Wote wazuri ila Marcos ananikosha zaidi kwa uwezo wake wa sheria, katiba na mambo yote ya documentation hasa ukizingatia Katibu mkuu sio mtu sana wa siasa za majukwaani bali za kiofisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri kwa wazo lakoWote wazuri ila Marcos ananikosha zaidi kwa uwezo wake wa sheria, katiba na mambo yote ya documentation hasa ukizingatia Katibu mkuu sio mtu sana wa siasa za majukwaani bali za kiofisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hii inahusikaje?
Mwanamke una maneno ya kanga wewe! Kuolewa kwako wewe ni majaliwa kwa tabia hizi.Tatizo elimu chadema itayumba mwenyekiti division zero form six katibu mkuu Mnyika form six chama kitakufa
Ninafurahi mashinji leo anatolewa out.Timu Lowasa chadema wameipania kuipiga chini yote .Mashinji alipelekwa na Lowasa Ukatibu kama asante kwa hujuma w3aliyomfanyia kikwete ya mgomo wa madaktari ambao uliratibiwa na Mashinji
Aliongoza mgomo wa madaktari leo chadema chini ya mmbowe wanaongoza mgomo wa kumkataa Mashinji.Mwosha huoshwa
Salum Mwalimu team Lowasa hapati.Team Lowasa hawaitaki Chadema
Ccm wanakulipa fedha nyingi sana!Kwahiyo unamaanisha mashinji ni muoga?
Hii dhambi ya ubaguzi sio nzuri
wananchi watampa ubunge tena kwa kazi nzuri
nina imani na J.HecheMsigwa hapana, jamaa bado sijamuamin mda wowote anaweza akafika bei
Sent using Jamii Forums mobile app
vyeo vyote vikubwa chadema mnagawia wabunge .Tatizo la ajira gumu kwisha mtu mbunge .halafu tena katibu mkuu mishahara yote abebe yeye ya ubunge na ukatibu mkuu .Wapeni wengine igeni CCm sio mnazungusha hao hao kakundi kadogo ka wabungeMnyika au Heche.
π€£π€£π€£π€£π€£πππMsigwa hapana, jamaa bado sijamuamin mda wowote anaweza akafika bei
Sent using Jamii Forums mobile app