mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Hivi matusi mnayajua nyie,kuna mtu aliwahi tukaniwa mama yake,yaani kusema Magufuli ni mwizi ni tusiMitukano 450 maana huko hawaendi kunadi sera bali kejeli na matusi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi matusi mnayajua nyie,kuna mtu aliwahi tukaniwa mama yake,yaani kusema Magufuli ni mwizi ni tusiMitukano 450 maana huko hawaendi kunadi sera bali kejeli na matusi tu.
Anayeunga mkono mgombea wa chadema tushamfahamu. Ni Magufuli.Aidha katika mikutano hiyo zitatumika Chopa tatu ambazo moja itatumiwa na mgombea Urais, nyingine mgombea mwenza na Chopa ya tatu itatumiwa na anayeunga mkono mgombea wa CHADEMA.
Povu hizi sibure poleni sanaPole sana Mnyika, yale unayoyategemea ndio yamemwagika. Tatizo ulikuwa hufahamu, hao wapiga kura unaofikiria watatoka wapi? Jiandae kusota tu.
Maandisi yanatuumiza macho tunashindwa kuyasoma,yakawaida yanatuwezesha wore kuyasoma ndugu.Hakuna lolote. CCM ina wapiga kura waliojiandikisha 75%, sasa unafikiri hao hawatapiga kura kwa chama chao? Wacheni unafiki! Ukilijua hilo wala huhangaiki na wapiga tarumbeta. tunawadekei tu kwa mbali ... ... .... .
Hakuna lolote. CCM ina wapiga kura waliojiandikisha 75%, sasa unafikiri hao hawatapiga kura kwa chama chao? Wacheni unafiki! Ukilijua hilo wala huhangaiki na wapiga tarumbeta. tunawadekei tu kwa mbali ... ... .... .
Majimbo 45 mikutano 450 maana yake kila jimbo ni mikutano 10 kwa watu watatu ni mikutano mitatu hadi minne kila mmoja kwa chopa ni kiafisa sana mapema tu wanaenda hoteli kupumzika mgombea akikaa masaa mawili mahali Ni mengi sanaMitukano 450 maana huko hawaendi kunadi sera bali kejeli na matusi tu.
Mtu mzima anapouliza swali la kitoto......!!!Vipi sheikh ponda ana chopa yake na yeye
Endeleni kudanganyika na huo ujinga wa polepole wenzenu wapo field kusaka kura nyie mpo na mawazo ya kura za watu ambao hawapo badae mumtafute mchawi naniHakuna lolote. CCM ina wapiga kura waliojiandikisha 75%, sasa unafikiri hao hawatapiga kura kwa chama chao? Wacheni unafiki! Ukilijua hilo wala huhangaiki na wapiga tarumbeta. tunawadekei tu kwa mbali ... ... .... .
Mitukano 450 maana huko hawaendi kunadi sera bali kejeli na matusi tu.
Mbona mgombea mwenye 75% ya waliojiandikisha anahangaika??Hakuna lolote. CCM ina wapiga kura waliojiandikisha 75%, sasa unafikiri hao hawatapiga kura kwa chama chao? Wacheni unafiki! Ukilijua hilo wala huhangaiki na wapiga tarumbeta. tunawadekei tu kwa mbali ... ... .... .
Tulikuibia kura lini?Mnatafuta namna ya kujustify kuiba kura sio?!
Hakuna mtu yeyote mcha Mungu anayeunga mkono ccm , wengi ni wasaka vyeo kwa gharama yoyote , sasa Watz wengi hawako hivyoHapa JF. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Unafahamu maana ya kuhangaika? Rais yupo kazini 24/7 kama hufahamu. Iwe kampeni aula ni moja ya kazi yake kunadi sera zake za kuiondoa Tanzania kwenye umasikini. Si unaona kazi aliyofanya kwa miaka mitano? JK alishindwa kujenga nyumba ya Nkapa na Mwinyi.
It is practinally impossible.Mikutano 450 kwa siku 9 Chopa 3
450÷9= 50mikutano kwa siku
50÷3 chopa = 16Mikutano Dah hapa katibu wangu hebu tufafanulie kidogo.
Zito'Chopa ya tatu itatumiwa na anayemuunga mkono mgombea wa chadema'
ni yupi huyo 'anayemuunga'?
Mikutano 450 kwa siku 9 Chopa 3
450÷9= 50mikutano kwa siku
50÷3 chopa = 16Mikutano Dah hapa katibu wangu hebu tufafanulie kidogo.
Wapi unahisi CCM iko vizurHapa JF. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee