Uchaguzi 2020 John Mnyika: CHADEMA kwa siku tisa zilizobaki itafanya mikutano 450 ndani ya majimbo 45

Uchaguzi 2020 John Mnyika: CHADEMA kwa siku tisa zilizobaki itafanya mikutano 450 ndani ya majimbo 45

Yaani chopa tatu imekuwa taarifa nayo wakati chama dume imeshatumia sana tu na wala hakuna aliyeleta thread humu. Kweli wahenga walisema MASKINI AKIPATA MATAKO HULIA MBWATA!!!
Mkazifanyia nini? Hizo mnazotumia kukusanyia watu au?
 
Wakiweza kudhibitiwa vilivyo kwenye majumuisho ya kura ndani ya vituo vya kupigia kura, possibility ya kumalizwa ipo.

Michezo yote hufanyika humo!
Hii ni kazi ya wagombea ubunge na udiwani upinzani huko majimboni na katani wabanane na mawakala wao huko vituoni kama alivyofanya Dr. Mengi (RIP) Dar 2015. Wasimuachie kila kitu Lissu.
 
Mko busy kukusanya michango kwa wananchi wanyonge as if hamkuwa na ruzuku,michango ya wabunge 1.5Mil kila mbunge. Chama cha mjasiriamali Mbowe, hivi huoni hata aibu kuhadaa na kulaghai watanzania?.
View attachment 1604241
Usichangie hujalazimishwa, sisi tunachangia pesa ni zetu usitupangie! Mbona tunapopinga ufujaji wa pesa za walipa kodi unaofanywa na serikali ya Magu huwa unaufyata?
 
Wakiweza kudhibitiwa vilivyo kwenye majumuisho ya kura ndani ya vituo vya kupigia kura, possibility ya kumalizwa ipo.

Michezo yote hufanyika humo!

Absolutely, Yes..

Iko hivi;

1. KWA MADIWANI;

Mchezo wa wizi wa kura huanzia kwenye vituo vya kupigia kura. Zisipotosha, wanamalizia kwenye kituo cha majumuisho na kutangazia matokeo yaani Mtendaji wa kata...

2. KWA UBUNGE;

Kama kawaida, mchezo wa wizi huanzia kwenye kituo vya kupigia kura na kura za wizi zisipotosha, msimamizi wa uchaguzi wa jimbo (DED) anamalizia kazi..

3. ZA URAIS;

Kama kawaida wizi wa kura unaanzia kwenye kituo cha kupigia kura, zisipotosha msimamizi wa uchaguzi wa jimbo naye anaiba kujazilizia na mwisho kituo kikuu cha kupokelea matokeo (tallying centre) cha NEC kama hazikutosha nao wanafanya yao kumshindisha wamtakae..

KWA HIYO;
Kukiwa na mawakala kila kituo ambao ni vigilant, kwa hakika mwaka huu CCM hawana chao...

Mwaka 2015, nyeti za ndani kabisa zinasema Magufuli alipata kura za Urais zisizozidi milioni tatu (3,000,000) nchi nzima dhidi ya milioni kumi na mbili plus (12,000,000+) za Edward Lowassa..

Lakini kwa sababu ya kambi ya Edward Lowassa (CHADEMA/UKAWA) kutokuwa makini waliruhusu mchezo wa wizi kufanyika kirahisi kabisa na matokeo kubadilishwa..!!
 
Hakuna lolote. CCM ina wapiga kura waliojiandikisha 75%, sasa unafikiri hao hawatapiga kura kwa chama chao? Wacheni unafiki! Ukilijua hilo wala huhangaiki na wapiga tarumbeta. tunawadekei tu kwa mbali ... ... .... .
Mmesahau kipindi cha mange kimambi watu kibao walihama ccm na mimi ikiwemo mmoja wao so una uhakika gani kuwa hao watu wote hadi leo hii wapo ccm bado?
 
Absolutely, Yes..

Iko hivi;

1. KWA MADIWANI;

Mchezo wa wizi wa kura huanzia kwenye vituo vya kupigia kura. Zisipotosha, wanamalizia kwenye kituo cha majumuisho na kutangazia matokeo yaani Mtendaji wa kata...

2. KWA UBUNGE;

Kama kawaida, mchezo wa wizi huanzia kwenye kituo vya kupigia kura na kura za wizi zisipotosha, msimamizi wa uchaguzi wa jimbo (DED) anamalizia kazi..

3. ZA URAIS;

Kama kawaida wizi wa kura unaanzia kwenye kituo cha kupigia kura, zisipotosha msimamizi wa uchaguzi wa jimbo naye anaiba kujazilizia na mwisho kituo kikuu cha kupokelea matokeo (tallying centre) cha NEC kama hazikutosha nao wanafanya yao kumshindisha wamtakae..

KWA HIYO;
Kukiwa na mawakala kila kituo ambao ni vigilant, kwa hakika mwaka huu CCM hawana chao...

Mwaka 2015, nyeti za ndani kabisa zinasema Magufuli alipata kura za Urais zisizozidi milioni tatu (3,000,000) nchi nzima dhidi ya milioni kumi na mbili plus (12,000,000+) za Edward Lowassa..

Lakini kwa sababu ya kambi ya Edward Lowassa (CHADEMA/UKAWA) kutokuwa makini waliruhusu mchezo wa wizi kufanyika kirahisi kabisa na matokeo kubadilishwa..!!
Yaani mnafikiri maandalizi ya ushindi yanaanza kwenye kupiga kura tu? CCM imeanza maandalizi tangu 2018 kwa kuhamasisha wanachama wake kujiandikisha na rekebisha taarifa zao kwenye daftari la kupigia kura upinzani ulikuwa busy na ajenda ya kususia uchaguzi kama Katiba Mpya haitakuwepo hivyo washabiki wake hawakuwa busy na kujiandikisha na kurekebisha taarifa zao kwenye daftari la kupigia kura pia kumbuka uongozi ngazi za mitaa na vijiji ni CCM tuuu!! Halafu utegemee kushinda!!! Viongozi wa Chadema wanachotegemea sana sana ni kura za kuwawezesha kupata ruzuku ili miaka 5 tena wazipige kama walivyozipiga za 2015 - 2020
 
Kuna kimbunga kinakuja maana Katibu mkuu wa CHADEMA ameandika ifuatavyo:

View attachment 1604156


Aidha katika mikutano hiyo zitatumika Chopa tatu ambazo moja itatumiwa na mgombea Urais, nyingine mgombea mwenza na Chopa ya tatu itatumiwa na anayeunga mkono mgombea wa CHADEMA.
Safi sana. Mungu amtangulie TAL kwenye safari hii ya ukombozi. Tunaendelea kuchangia kwa hali na mali.
 
Hakuna lolote. CCM ina wapiga kura waliojiandikisha 75%, sasa unafikiri hao hawatapiga kura kwa chama chao? Wacheni unafiki! Ukilijua hilo wala huhangaiki na wapiga tarumbeta. tunawadekei tu kwa mbali ... ... .... .
Kama ni hivyo wasiwasi wa nini? Kaa kimya tu usubiri ushindi.
 
Watumishi kura kwa Lissu zote.

Mmeteswa sana miaka 5
 
Kuna kimbunga kinakuja maana Katibu mkuu wa CHADEMA ameandika ifuatavyo:

View attachment 1604156


Aidha katika mikutano hiyo zitatumika Chopa tatu ambazo moja itatumiwa na mgombea Urais, nyingine mgombea mwenza na Chopa ya tatu itatumiwa na anayeunga mkono mgombea wa CHADEMA.
Aidha katika mikutano hiyo zitatumika Chopa tatu ambazo moja itatumiwa na mgombea Urais, nyingine mgombea mwenza na Chopa ya tatu itatumiwa na anayeunga mkono mgombea wa CHADEMA
 
Hakuna lolote. CCM ina wapiga kura waliojiandikisha 75%, sasa unafikiri hao hawatapiga kura kwa chama chao? Wacheni unafiki! Ukilijua hilo wala huhangaiki na wapiga tarumbeta. tunawadekei tu kwa mbali ... ... .... .
Huko ccm kila mtu ana figure yake. Mwingine anasema 85%, ww una yako 75%, tusubiri tuone tume watachukua figure ipi kwenye hiyo, maana wao wana idadi ya wapiga kura 29m+ ambayo ni zaidi ya watanzania wote wenye umri wa miaka 18 nakuendelea. Safari hii kazi mnayo ya kulazimisha kutangazwa washindi.
 
Yaani naona kwenye vichwa vyenu akili hazifanyi kazi kabisa mnafikiri maandalizi ya ushindi yanaanza kwenye kupiga kura tu? CCM imeanza maandalizi tangu 2018 kwa kuhamasisha wanachama wake kujiandikisha na rekebisha taarifa zao kwenye daftari la kupigia kura upinzani ulikuwa busy na ajenda ya kususia uchaguzi kama Katiba Mpya haitakuwepo hivyo washabiki wake hawakuwa busy na kujiandikisha na kurekebisha taarifa zao kwenye daftari la kupigia kura pia kumbuka uongozi ngazi za mitaa na vijiji ni CCM tuuu!! Halafu utegemee kushinda!!! Viongozi wa Chadema wanachotegemea sana sana ni kura za kuwawezesha kupata ruzuku ili miaka 5 tena wazipige kama walivyozipiga za 2015 - 2020
Wanachama? CCM ina wanachama? Ungesema "wanachama maslahi" wa kutumia uanachama wa CCM kama "kivuli" cha kujifichia kuepuka chokochoko za watawala waovu ningekuelewa..

Maana hata mimi ni mtumishi wa umma. Nina kadi ya CCM ya kujikinga tu lakini moyo wangu uko mbali na CCM maili nyingi...

Na kwa taarifa yako hata hao unaowaita "wanachama" wanawafanyia mbaya sana wagombea wao wabunge -majimboni na madiwani - katani kwa kuwazomea kiasi ambacho wengi wameshindwa hata kufanya mikutano ya kampeni mpaka sasa..!

Usidanganye watu hapa. Hakuna hamkumfanya mandalizi wala nini..

Maandalizi yenu CCM labda ni kuandaa ushindi wa kuiba kura kwa kutumia "chain" niliyoieleza hapo juu..

Mkidhibitiwa kwenye vituo vya kupigia kura na vile vya majumuisho ya kura (katani na majimboni) hamtakuwa na pa kutokea nyie 100% na mtachapwa mapema tu saa 8 mchana trh 28/10/2020...

Nyinyi CCM na mgombea wenu mlishakataliwa na wananchi, hamna KIBALI cha wananchi na mbele za MUNGU. Mnalazumisha lazimisha tu mambo japo hata hayaendi kabisa...!!

Sana sana mtabaki na option moja tu ktk ngazi ya Urais - Magufuli kung'ang'ania ofisini, kukataa kuachia madaraka..

Akifanya hivyo, atatolewa kwa winchi tena kwa Shari...!!
 
Back
Top Bottom