NANGA WA DEPO
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 917
- 1,201
ndo dawa yenuMitukano 450 maana huko hawaendi kunadi sera bali kejeli na matusi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo dawa yenuMitukano 450 maana huko hawaendi kunadi sera bali kejeli na matusi tu.
Alinacha tu hizo.Kama ni hivyo wasiwasi wa nini? Kaa kimya tu usubiri ushindi.
Watu waliothubutu kumpa nafasi ya kugombea urais mtu waliyemtuhumu kuwa fisadi papa ili tuu wapate dola unaweza kuwaamini vipiWaongo Sana hawa jamaa.
Kwa mikutano ndio wanaanza leo,mbona kitambo?.Mitukano 450 maana huko hawaendi kunadi sera bali kejeli na matusi tu.
Unadhani wapiga kura wa CCM waliojiandikisha wote lazima wapigie kura CCM?.Hakuna lolote. CCM ina wapiga kura waliojiandikisha 75%, sasa unafikiri hao hawatapiga kura kwa chama chao? Wacheni unafiki! Ukilijua hilo wala huhangaiki na wapiga tarumbeta. tunawadekei tu kwa mbali ... ... .... .
Huyo jamaa moyoni anajua kuwa Polepole ni mbabaishaji na mwongomwongo. Anamlidhisha Tu boss wake.Dont believe everything you hear from Polepole[emoji1]
Nyepesi nyepesi kasha TIMULIWA...Huyo jamaa moyoni anajua kuwa Polepole ni mbabaishaji na mwongomwongo. Anamlidhisha Tu boss wake.
Tukutane hapa baada uchaguzi, lazime usema ccm iliiba kuraNi hivi , CCM imekwisha
Tutamchagua hivyohivyo pamoja na matusi yake.Mitukano 450 maana huko hawaendi kunadi sera bali kejeli na matusi tu.
Wanachama wa cdm wako kwenye kadi ya mpiga kura, utawaona siku ya kupiga kura ukitaka kujua hilo nenda hapo kwa jirani kenya hakuna chama chenye wanachama,huo ulikuwa ni utaratibu wa zamani, mwanachama ni yule anayetaka kugombea raia wengine hawana habari na makadi ya vyama.Hiyo ni ya nchi nzima. BTW Chadema wana wanachama wangapi waliojiandikisha kupiga kura? Au bado wanatafuta michango?
Chopa zitumike pia kusambaza mawakala na kukusanya matokeoKuna kimbunga kinakuja maana Katibu mkuu wa CHADEMA ameandika ifuatavyo:
View attachment 1604156
Aidha katika mikutano hiyo zitatumika Chopa tatu ambazo moja itatumiwa na mgombea Urais, nyingine mgombea mwenza na Chopa ya tatu itatumiwa na anayeunga mkono mgombea wa CHADEMA.
Ccm bana nyie kwenu kila kitu hakiwezekani, kwa hiyo hata kuondoa umasikini uninga na maradhi haiwezekani??It is practinally impossible.
Hata wakianza saa 12kamili asubuhi mpaka 12kamili joni watahitaji dk 45 kwa kila mkutani ili kufanya mikutana 16 kwa kila chopa kwa siku.
Hapo bado hujaweka muda wa kusafiri kutoka kituo kimoja kwenda kingine.
Hiyo hesabu ya mikutano 450 kwa siku 9 inakataa. Labda alimaanisha mikutano 45 na siyo 450.
Tupo wengi tunaoiunga mkono CCM acha kupotosha.Hakuna mtu yeyote mcha Mungu anayeunga mkono ccm , wengi ni wasaka vyeo kwa gharama yoyote , sasa Watz wengi hawako hivyo
Mwaka 2015 tuliambiwa kuwa CCM ina wanchama zaidi ya milioni 15 lakini Magufuli akapata kura milioni 8 tu, na pia tukaambiwa CHADEMA ina wanachama laki nne halafu mgombea wao akapata kura zaidi ya milioni Sita.Hakuna lolote. CCM ina wapiga kura waliojiandikisha 75%, sasa unafikiri hao hawatapiga kura kwa chama chao? Wacheni unafiki! Ukilijua hilo wala huhangaiki na wapiga tarumbeta. tunawadekei tu kwa mbali ... ... .... .
Duuh!Ccm bana nyie kwenu kila kitu hakiwezekani, kwa hiyo hata kuondoa umasikini uninga na maradhi haiwezekani??
Tunachagua Milo mitatu kwa siku sio njaaMitukano 450 maana huko hawaendi kunadi sera bali kejeli na matusi tu.
Siyo Zitto kweli?'Chopa ya tatu itatumiwa na anayemuunga mkono mgombea wa chadema'
ni yupi huyo 'anayemuunga'?
Nahisi ni Zitto“Chopa ya tatu itatumiwa na anayeunga mkono mgombea wa CHADEMA”
Anaweza kuwa Membe huyu..
Zitto yupo anapambania Jimbo Kigoma huko. Hawezi kuanza kuzunguka majimboni. Kwanza Sheria hizi walizotunga zinambana