Pre GE2025 John Mnyika: Rais Samia lazima aondolewe Madarakani Uchaguzi Mkuu ujao
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Afadhali baada ya mkwara juzi mmejielewa kuwa ni uchaguzi tu ndio unatoa haki ya kumuondoa kiongozi madarakani na si vinginevyo.hongereni kwa kubadili gia angani🤣🤣
Hawakuwa wanaelewa maana ya neno must go mkuu,wao kilia kitu ni kuiga tu.
 
Muacheni huyu mama,mnaanza kutuaminisha Yale Yale ya J.K ni dhaifu,alivyokuja JPM a.k.a Chuma mkaanza kukimbia nchi.
Ni huyu huyu mnyika alianza maneno yake ya shombo and last akaufyata.
Ana bahati kidogo tu kuwa huwa hatumii mtanadao kutukuna kama afanyavyo yule kenge wa Arusha
 
Katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, amesisitiza kuwa ni lazima Rais Samia aondolewe madarakani katika Uchaguzi Mkuu ujao. Mnyika anasema kuwa Rais ameshindwa kusikiliza sauti za wananchi na Jumuiya za Kimataifa, ambao wamepaza sauti kuhusu tishio la amani nchini kufuatia kifo cha Ally Kibao, akiongeza kwamba mchakato wa kumuondoa Rais Samia lazima uanze na kuwaondoa CCM katika kila nyanja. Mnyika anaweka wazi kuwa kuna hitaji la mabadiliko ili kuhakikisha demokrasia na amani vinapatikana nchini.
Video: Jambo TV

Pia, Soma:
Maneno ya kukata tamaa chama kimedumaa!
 
Katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, amesisitiza kuwa ni lazima Rais Samia aondolewe madarakani katika Uchaguzi Mkuu ujao. Mnyika anasema kuwa Rais ameshindwa kusikiliza sauti za wananchi na Jumuiya za Kimataifa, ambao wamepaza sauti kuhusu tishio la amani nchini kufuatia kifo cha Ally Kibao, akiongeza kwamba mchakato wa kumuondoa Rais Samia lazima uanze na kuwaondoa CCM katika kila nyanja. Mnyika anaweka wazi kuwa kuna hitaji la mabadiliko ili kuhakikisha demokrasia na amani vinapatikana nchini.
Video: Jambo TV

Pia, Soma:
Au anatoa kafara
 
Katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, amesisitiza kuwa ni lazima Rais Samia aondolewe madarakani katika Uchaguzi Mkuu ujao. Mnyika anasema kuwa Rais ameshindwa kusikiliza sauti za wananchi na Jumuiya za Kimataifa, ambao wamepaza sauti kuhusu tishio la amani nchini kufuatia kifo cha Ally Kibao, akiongeza kwamba mchakato wa kumuondoa Rais Samia lazima uanze na kuwaondoa CCM katika kila nyanja. Mnyika anaweka wazi kuwa kuna hitaji la mabadiliko ili kuhakikisha demokrasia na amani vinapatikana nchini.
Video: Jambo TV

Pia, Soma:
So maandamano ya Samia must go yameyeyuka chadema huwa hawana agenda ya kudumu

USSR
 
Katiba hii hii,ni uongo mtupu.
 
Katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, amesisitiza kuwa ni lazima Rais Samia aondolewe madarakani katika Uchaguzi Mkuu ujao. Mnyika anasema kuwa Rais ameshindwa kusikiliza sauti za wananchi na Jumuiya za Kimataifa, ambao wamepaza sauti kuhusu tishio la amani nchini kufuatia kifo cha Ally Kibao, akiongeza kwamba mchakato wa kumuondoa Rais Samia lazima uanze na kuwaondoa CCM katika kila nyanja. Mnyika anaweka wazi kuwa kuna hitaji la mabadiliko ili kuhakikisha demokrasia na amani vinapatikana nchini.
Video: Jambo TV

Pia, Soma:
Naoan Mnyika kishaogopa panya.

Kauli za kisiasa ndiyo hizo za uchaguzi, siyo za maandamano.
 
Kwa utekaji na mauaji yanayoendelea, na kwa hotuba aliyoitoa Raisi Samia, anatakiwa kuondolewa madarakani uchaguzi ujao.

Naunga mkono hoja.
Unadhani genge la wachagga wa cdm wanayo hiyo nguvu?
 
Katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, amesisitiza kuwa ni lazima Rais Samia aondolewe madarakani katika Uchaguzi Mkuu ujao. Mnyika anasema kuwa Rais ameshindwa kusikiliza sauti za wananchi na Jumuiya za Kimataifa, ambao wamepaza sauti kuhusu tishio la amani nchini kufuatia kifo cha Ally Kibao, akiongeza kwamba mchakato wa kumuondoa Rais Samia lazima uanze na kuwaondoa CCM katika kila nyanja. Mnyika anaweka wazi kuwa kuna hitaji la mabadiliko ili kuhakikisha demokrasia na amani vinapatikana nchini.
Video: Jambo TV

Pia, Soma:
Sio maandamano ya Samia must go tena? 😆😆😆😆
 
Sio kama Mzee Mbowe na genge lake la Wachagga pale ufipa aisee .Imagine leo hii John Mrema anayo sauti kuliko katibu mkuu wa chama 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
HIYO NI SACCOS SIYO CHAMA CHA SIASA
 
Utekaji ukiendelea itabidi aondolewe Kwa nguvu hata kabla ya 2025
 
Back
Top Bottom