Hawakuwa wanaelewa maana ya neno must go mkuu,wao kilia kitu ni kuiga tu.Afadhali baada ya mkwara juzi mmejielewa kuwa ni uchaguzi tu ndio unatoa haki ya kumuondoa kiongozi madarakani na si vinginevyo.hongereni kwa kubadili gia angani🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakuwa wanaelewa maana ya neno must go mkuu,wao kilia kitu ni kuiga tu.Afadhali baada ya mkwara juzi mmejielewa kuwa ni uchaguzi tu ndio unatoa haki ya kumuondoa kiongozi madarakani na si vinginevyo.hongereni kwa kubadili gia angani🤣🤣
Ana bahati kidogo tu kuwa huwa hatumii mtanadao kutukuna kama afanyavyo yule kenge wa ArushaMuacheni huyu mama,mnaanza kutuaminisha Yale Yale ya J.K ni dhaifu,alivyokuja JPM a.k.a Chuma mkaanza kukimbia nchi.
Ni huyu huyu mnyika alianza maneno yake ya shombo and last akaufyata.
Maneno ya kukata tamaa chama kimedumaa!Katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, amesisitiza kuwa ni lazima Rais Samia aondolewe madarakani katika Uchaguzi Mkuu ujao. Mnyika anasema kuwa Rais ameshindwa kusikiliza sauti za wananchi na Jumuiya za Kimataifa, ambao wamepaza sauti kuhusu tishio la amani nchini kufuatia kifo cha Ally Kibao, akiongeza kwamba mchakato wa kumuondoa Rais Samia lazima uanze na kuwaondoa CCM katika kila nyanja. Mnyika anaweka wazi kuwa kuna hitaji la mabadiliko ili kuhakikisha demokrasia na amani vinapatikana nchini.
Video: Jambo TV
Pia, Soma:
Au anatoa kafaraKatibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, amesisitiza kuwa ni lazima Rais Samia aondolewe madarakani katika Uchaguzi Mkuu ujao. Mnyika anasema kuwa Rais ameshindwa kusikiliza sauti za wananchi na Jumuiya za Kimataifa, ambao wamepaza sauti kuhusu tishio la amani nchini kufuatia kifo cha Ally Kibao, akiongeza kwamba mchakato wa kumuondoa Rais Samia lazima uanze na kuwaondoa CCM katika kila nyanja. Mnyika anaweka wazi kuwa kuna hitaji la mabadiliko ili kuhakikisha demokrasia na amani vinapatikana nchini.
Video: Jambo TV
Pia, Soma:
So maandamano ya Samia must go yameyeyuka chadema huwa hawana agenda ya kudumuKatibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, amesisitiza kuwa ni lazima Rais Samia aondolewe madarakani katika Uchaguzi Mkuu ujao. Mnyika anasema kuwa Rais ameshindwa kusikiliza sauti za wananchi na Jumuiya za Kimataifa, ambao wamepaza sauti kuhusu tishio la amani nchini kufuatia kifo cha Ally Kibao, akiongeza kwamba mchakato wa kumuondoa Rais Samia lazima uanze na kuwaondoa CCM katika kila nyanja. Mnyika anaweka wazi kuwa kuna hitaji la mabadiliko ili kuhakikisha demokrasia na amani vinapatikana nchini.
Video: Jambo TV
Pia, Soma:
Huyu boya alimwita JK dhaifu akapotezewa.. JPM aliset standard mpya za jinsi Rais hatakiwi achekee mizaha.Mnyika anadhani kila Kiongozi atamchukulia Poa kama alivyopuuzwa na JK 🐼
Kwa utekaji na mauaji yanayoendelea, na kwa hotuba aliyoitoa Raisi Samia, anatakiwa kuondolewa madarakani uchaguzi ujao.Mwakani tupige kura kwa wingi aondoke huyu bibi katili
Samia must go....Mwakani tupige kura kwa wingi aondoke huyu bibi katili

Siyo mbogamboga kuwa watawala wa milele?!!Uliyomweka mzee mbowe kuwa mwenyekiti wa kudumu
Naoan Mnyika kishaogopa panya.Katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, amesisitiza kuwa ni lazima Rais Samia aondolewe madarakani katika Uchaguzi Mkuu ujao. Mnyika anasema kuwa Rais ameshindwa kusikiliza sauti za wananchi na Jumuiya za Kimataifa, ambao wamepaza sauti kuhusu tishio la amani nchini kufuatia kifo cha Ally Kibao, akiongeza kwamba mchakato wa kumuondoa Rais Samia lazima uanze na kuwaondoa CCM katika kila nyanja. Mnyika anaweka wazi kuwa kuna hitaji la mabadiliko ili kuhakikisha demokrasia na amani vinapatikana nchini.
Video: Jambo TV
Pia, Soma:
Wenzio wamefika walipofika sio kwa kushinda kwenye mitandao na kutukanaSiyo mbogamboga kuwa watawala wa milele?!!
Unadhani genge la wachagga wa cdm wanayo hiyo nguvu?Kwa utekaji na mauaji yanayoendelea, na kwa hotuba aliyoitoa Raisi Samia, anatakiwa kuondolewa madarakani uchaguzi ujao.
Naunga mkono hoja.
HALAFU MNAMUWEKA NANI ALIYE TAYARI KUONGOZA NCHI AU MNAKURUPUKA TU ?Mwakani tupige kura kwa wingi aondoke huyu bibi katili
Sio maandamano ya Samia must go tena? 😆😆😆😆Katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, amesisitiza kuwa ni lazima Rais Samia aondolewe madarakani katika Uchaguzi Mkuu ujao. Mnyika anasema kuwa Rais ameshindwa kusikiliza sauti za wananchi na Jumuiya za Kimataifa, ambao wamepaza sauti kuhusu tishio la amani nchini kufuatia kifo cha Ally Kibao, akiongeza kwamba mchakato wa kumuondoa Rais Samia lazima uanze na kuwaondoa CCM katika kila nyanja. Mnyika anaweka wazi kuwa kuna hitaji la mabadiliko ili kuhakikisha demokrasia na amani vinapatikana nchini.
Video: Jambo TV
Pia, Soma:
HIYO NI SACCOS SIYO CHAMA CHA SIASASio kama Mzee Mbowe na genge lake la Wachagga pale ufipa aisee .Imagine leo hii John Mrema anayo sauti kuliko katibu mkuu wa chama 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
ALISHAAAMKA ZAMANIII HAPO MNADEMKA TU MAMA MPAKA 2035Usimuamshe aliyelala
Nilitaka kusema umeniwahi🙏🏼..Mama Abduli aliropoka.
..Mnyika ametoa majibu mujarab kabisa.
Kauli mbiu ya CHADEMA 2025: SSH MUST GO!Samia hadi 2035