Pre GE2025 John Mnyika: Rais Samia lazima aondolewe Madarakani Uchaguzi Mkuu ujao
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, amesisitiza kuwa ni lazima Rais Samia aondolewe madarakani katika Uchaguzi Mkuu ujao. Mnyika anasema kuwa Rais ameshindwa kusikiliza sauti za wananchi na Jumuiya za Kimataifa, ambao wamepaza sauti kuhusu tishio la amani nchini kufuatia kifo cha Ally Kibao, akiongeza kwamba mchakato wa kumuondoa Rais Samia lazima uanze na kuwaondoa CCM katika kila nyanja. Mnyika anaweka wazi kuwa kuna hitaji la mabadiliko ili kuhakikisha demokrasia na amani vinapatikana nchini.
Video: Jambo TV

Pia, Soma:
SAMIA MUST GO
 
Katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, amesisitiza kuwa ni lazima Rais Samia aondolewe madarakani katika Uchaguzi Mkuu ujao. Mnyika anasema kuwa Rais ameshindwa kusikiliza sauti za wananchi na Jumuiya za Kimataifa, ambao wamepaza sauti kuhusu tishio la amani nchini kufuatia kifo cha Ally Kibao, akiongeza kwamba mchakato wa kumuondoa Rais Samia lazima uanze na kuwaondoa CCM katika kila nyanja. Mnyika anaweka wazi kuwa kuna hitaji la mabadiliko ili kuhakikisha demokrasia na amani vinapatikana nchini.
Video: Jambo TV

Pia, Soma:
Chadema Kwa vichekesho Mko level nyingine.

Samia ataondoka siku Hawa wakiacha kufurahia kazi zake 👇👇
 
Naona Chadema wameona Samia ndio wa kumuonea.

Mwenyewe kawa mkali wanashangaa.

Wameambiana wenyewe huko hii ndio fursa .

Mtakachokumbana nacho huko mtajua wenyewe , sisi yetu macho.
 
Haya pigeni kura kwa wingi ili mshinde, lakini zingatieni ile kauli ya mzee wa bao la mkono. Hakika bao la mkono litapigwa na mtashangilia kama mazuzu.
 
Back
Top Bottom