Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
SAMIA MUST GO
 
Chadema Kwa vichekesho Mko level nyingine.

Samia ataondoka siku Hawa wakiacha kufurahia kazi zake πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Naona Chadema wameona Samia ndio wa kumuonea.

Mwenyewe kawa mkali wanashangaa.

Wameambiana wenyewe huko hii ndio fursa .

Mtakachokumbana nacho huko mtajua wenyewe , sisi yetu macho.
 
Haya pigeni kura kwa wingi ili mshinde, lakini zingatieni ile kauli ya mzee wa bao la mkono. Hakika bao la mkono litapigwa na mtashangilia kama mazuzu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…