Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu wanachadema nawashangaeni sana kwakutochukua tahadhar wakati mnajua mnapambana na jiwe ambalo ni humanless,nashaur tembeeni na kila aina ya silaa ili siku tusikie wasiojulikana wamecharazwa mapanga kwa kuvamia watu hamuwez kila siku kulaania,shetani anashughurikiwa kwa moto
Pole kwa mhusika lakin jitahid kuchukua tahadhari na huu utawala wa kimafia
.....
Mwenzao kafa juzi Muhimbili pale.....we ngoja tu
SHETANI HANA URAFIKI, ENDELEA KUMSUJUDIA IPO SIKU UTAJUA RANGI YAKE HALISI. MUULIZE NAPE, KINANA NA JANUARY WATAKWAMBIA!
salama tu mzee baba.
Kwema huko?
Hapo ina maanisha kwamba Mbowe anaongoza kitengo kisichoguswa na serikali au ndio akiliccm zinayoongoza kichwa?Nissan ya Mbowe baada ya kumshughulikia Lisu kwa jina bandia imerudi kivingine tena?
WanajisahaulishaSHETANI HANA URAFIKI, ENDELEA KUMSUJUDIA IPO SIKU UTAJUA RANGI YAKE HALISI. MUULIZE NAPE, KINANA NA JANUARY WATAKWAMBIA!
We bila shaka unahamu ya kukatikiwa.. Utakipata tu.... Watu tuko serious unaleta mambo ya kichoko..... Uchi wakoNissan ya Mbowe baada ya kumshughulikia Lisu kwa jina bandia imerudi kivingine tena?
Mbona hamtak uchunguzi huru mnakwama wap aiseNissan ya Mbowe baada ya kumshughulikia Lisu kwa jina bandia imerudi kivingine tena?
Vita ya uenyekiti wa chama itamaliza wengi.
Ni methali ya wahenga kwa hiyo acha mchecheto.Tembo kupambana na sisismizi,kuna mtawala aliyewahi wamaliza sisimizi
Lini WALIPATA KUACHA?Get soon mdudeView attachment 1088184
Nissan ya Mbowe baada ya kumshughulikia Lisu kwa jina bandia imerudi kivingine tena?
Kweli maana aliwai kuwambia watu kua wakawatandikie wake zao ayo mabango na kule Kagera kua wafe ..MWAAAFAHuyu kijana ana matusi sana..nadhan hakupata malezi mazuri