John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

Hivi mdude chadema alikua bado TZ? Yule wa U.S alikua ni kaka ke?
 
Kumbe hilo jina MDUDE ni jina lake official nilijua ni nickname
 
Ndugu wanachadema nawashangaeni sana kwakutochukua tahadhar wakati mnajua mnapambana na jiwe ambalo ni humanless,nashaur tembeeni na kila aina ya silaa ili siku tusikie wasiojulikana wamecharazwa mapanga kwa kuvamia watu hamuwez kila siku kulaania,shetani anashughurikiwa kwa moto
Pole kwa mhusika lakin jitahid kuchukua tahadhari na huu utawala wa kimafia

True wamezidi kulialia sana,Dawa ya shetani ni moto.Hadi wakuteke pamechimbika hasa Kama Mkurya wa Tarime.
 
Nissan ya Mbowe baada ya kumshughulikia Lisu kwa jina bandia imerudi kivingine tena?
Hapo ina maanisha kwamba Mbowe anaongoza kitengo kisichoguswa na serikali au ndio akiliccm zinayoongoza kichwa?
 
Nissan ya Mbowe baada ya kumshughulikia Lisu kwa jina bandia imerudi kivingine tena?
We bila shaka unahamu ya kukatikiwa.. Utakipata tu.... Watu tuko serious unaleta mambo ya kichoko..... Uchi wako
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Nissan ya Mbowe baada ya kumshughulikia Lisu kwa jina bandia imerudi kivingine tena?
Vita ya uenyekiti wa chama itamaliza wengi.
Mbona hamtak uchunguzi huru mnakwama wap aise
 
Back
Top Bottom