Johnthebaptist amevunjwa vunjwa miguu kama Tundu Lissu


Mkuu amepiga kwenye mshono mini? V kwa povu hilo
 
Tatizo chakubanga amefuta mgao wa posho pale Lumumba! Na watu wamerudishiwa akili zao
 
Niliuona uzi wake mmoja hivi karibuni nikamstua kuwa kuna mtu kaiteka nyara nafasi yake humu jamvini. Kafanya mabadiliko haraka sana.
 
Hoja yako ni ipi?
 
Wapo wengi; mf
Pascal Mayalla na magu2016.
Tunaendelea kupiga kazi kama kawa! Ila tumepunguza kasi kwa sababu wapinzani wako hoi bin taabani sasa wamerudi wote CCM sasa wana mshangilia Rais wetu Mama Samia sijui wanafikiri yuko CDM? Tumekosa wapinzani wakutupinga sasa tutabaki humu muda wote kwa lipi jipya sasa wakati tumeshamaliza kazi ya kuwaangamiza wapinzani uchwara!!??
 
CCM ni chama kikubwa bwashee labda anashinda Chako ni Chako bar!
Mzee Msuya amewaonya mnaotaka kutofautisha kofia ya urais na uwenyekiti wa chama.

Nini mnahofia ndugu zangu?..Mama hatabiriki,mnaogopa anaweza kuwasagisha meno?.
 
Tulimwabia humu hakusikia, wacha ale matapishi yake!
 
Mzee Msuya amewaonya mnaotaka kutofautisha kofia ya urais na uwenyekiti wa chama.

Nini mnahofia ndugu zangu?..Mama hatabiriki,mnaogopa anaweza kuwasagisha meno?.
Rais wa JMT ndio huwa Mwenyekiti wa CCM, hilo halina mjadala.

Rais Samia ndiye Mwenyekiti wa CCM.
 
johnthebaptist tuko pamoja.

Binafsi Hayati JPM siamini kama kweli amekufa. Ameniacha na Donda moyoni.
 
John mnamsingizia tu, kuna dude linaitwa Waberoya, kuna kidemu kinaitwa Wakuvuavua, kuna mswahili anaitwa jingalao, kuna Mgogo anaitwa YEHODAYA aliambiwa azikwe na marehemu kama kweli alikuwa na mapenzi naye akatoroka kwa miguu Chato hadi Nyang'wale.
Hao ndo wanaoteseka kama Bashiru.
 
Ila kumbe bwashee ni timu chatial...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…