Join the Chain: Wananchi waanza kujaza kumbi, Lissu kuongoza watoa mada, mtikisiko mkubwa wasubiriwa

Kuzindua Chuo si hoja ,mbona hata kile cha KIVUKONI ni chao na wakashindwa kupata viongozi waadirifu!!! Wakaambulia kuokoteza wakina Sabaya na Bashite!!! Gabbage in Gabbage out!!
Hata Jiwe naye
 
Upuuzi
 
CHADEMA iliyotikisa nchi ile ya wakati ule Dr Slaa! Wakaja kupotea njia baada ya kuingia tamaa ya kuitaka dola kupitia kwa Lowassa.
Bahati mbaya sana wengi wa wana CHADEMA hawapendi kukosolewa. Kila anayewakosoa wanamrukia kwa matusi na kashfa..
 
Ni jumuiko la kuchangia chama chao kwa kishindo , masaa mawili tu 15bil .
Maajabu ni pale chama kikongwe kinapotumia njia za kiharamia kubakia madarakani kwa msaada wa vyombo vya dola.

CDM definitely knows the fact that stitch in time saves nine. It is a thousand when you think it represents one, but means billions when it represents millions of devotedly support.
 
Wao wanaamini Itikadi inaishi Rohoni sio kwenye ofisi kwani cha umuhimu kwao ni somo la uraia na Itikadi kwanza sio majengo
 
Hili ni kosa la kiufundi kwa CCM. Uwawie radhi wameshaanza kulirekebisha.
Tunalirekebisha wakati tumeshachelewa kwani utegemee kwa huu uongozi wa kutegemea kilichoiva na kukichuma,misaada na mikopo hatuna jipya kwa watanzania wa leo
Mpaka mfumuko wa bei na swala create ajira limetushinda wakati nchi imejaa njia nyingi za kuuondoa huu mkwamo ambao chama changu kimeshindwa kuliangalia.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…