Kwamba baada ya uteuzi huu, Jokate hatendelea kuwa mkuu wa Wilaya au mwandishi wa taarifa hiyo hana uelewa wa lugha ya Kiswahili...

Najaribu kuelewa kama uteuzi wa kichama unaweza mvua mtu madaraka ya uteuzi aliyopewa na Rais...
Inawezekana asiendelee,maana ata Katibu Mwenezi Sophia Mjema alikuwa RC wa Shinyanga na ata Naibu Katibu Mkuu wa CCM taifa Bwana Macha alikuwa DC Kahama, lakini baada ya kuitwa kwenye chama wakatema nafasi zao.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Wewe chawa ulikimbia umande nini?

Majina ya watu unaanza na herufi ndogo, katikati ya sentensi unaweka herufi kubwa kiufupi kanuni za uandishi huzijui.

Hivi UVCCM ndio imeishiwa hivi wanaokoteza mabumunda kuja kusifia humu kwa elfu 7.
 
Dada huruma
 

Kiaina pia CCM ilitaka Chama Cha Walimu Tanzania - CWT nacho kiwe moja ya jumuiya zake kama UVCCM, UWT, WAZAZI na kuichagulia CWT katibu mkuu ambaye chama dola kongwe kinamtaka

TOKA MAKTABA:

Walimu wamtetea katibu wao wa CWT mwalimu Japhet Maganga, waimba solidarity forever waalimu


View: https://m.youtube.com/watch?v=fy5yBs65RHc
 
Kidumu CCM [emoji23][emoji7][emoji2788][emoji2788][emoji109][emoji1720][emoji1732][emoji120][emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…