Jordan yasema itatungua kombora lolote litakalopita kwenye anga lake kwenda kuishambulia Israel

Thank you historical Jordan:

"The Jordan River marks the last boundary between the wilderness–where the Israelites have been wandering for forty years–and the land God has promised to Israel. As such, the crossing of the river is a momentous occasion, the beginning of the fulfillment of God's promises to Israel."
 
Mto Yordani una historia kubwa kwa Israel.
 
Kwa nini April 2024 hawakuzitungua?
 
Ngoja warabu wa buza watakuja.
 
We Muongo sana, Jordan hana mpaka na Lebanon, ramani yako ni ya wapi? Jordana kaskazini amepakana na Syria (Syria ndie amepakana na Lebanon), mashariki Jordan kapakana na Iraq, Kusini amepakana na Saud Arabia, na Magharibi Jordana kapakana na Israel kupitia mto Jordan. Hiyo raman ulio nayo ni ya uongo achana nayo.
 

Noma sana...
 
Lakini hata kama NI wajinga NI ndugu zako.
Huwezi jiunga na wazungu Kwa Akili zào na kuwaacha waafrika Kwa ûjinga waô Wakati NI ndugu zako ukitegemea utakuwa salama.

Waarabu na waafrika Hapo ñdipo wanapokwama
Ukiibariki Israel UTABARIKIWA ukiilani Israel UTALAANIWA. Jordan mjanja kumbuka ndio taifa Ruth wa Biblia alipotoka.
 
Hivi na sisi kama taifa tunaweza kujitokeza na kutoa tamko kama hili kwa hali tuliyo nayo
 
Una uhakika vita vikizuka kati ya Israel na Iran,hao Jordan hawatamruhusu Israel kutumia anga lao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…