Joseph Haule (Prof. Jay): Sasa nipo Imara, Namshukuru Rais Samia, Mbowe, Watanzania na Familia. See you soon

Joseph Haule (Prof. Jay): Sasa nipo Imara, Namshukuru Rais Samia, Mbowe, Watanzania na Familia. See you soon

Kukonda ndio ishara ya afya yake kuimarika. The guy was overweight na hiyo linaweza kuwa ilichangia hayo maradhi kumpata. Mungu aendelee kumponya kwani alikuwa artist mzuri sana. Nasikia Samia kafuta bili zote za matibabu yake!
Kwani alikuwa anaumwa nn mkuu? Maana haijawahi kuwekwa wazi tangu augue, lkn wewe unaelekea kuwa na hint kidogo
 
Nyie ugonjwa wa figo kama huna pesa una akwenda na maji nenda nenda muhimbili ndio utaona kuwa ugonjwa wafigo sio
Hvi ugonjwa wa Figo huwa unakuja ghafla kama ilivyokuwa kwa huyu mwamba? Au kuna visababisbishi vilivyoharibu figo???
 
Sipendi kusema watu lakini mdomo wake umelika kwasababu ya pombe. Ujumbe hapa ukifika miaka 40 jitahidi achana na pombe za kuzidi, sukari, vyakula vya wanga, fanya mazoezi na medical check up!. Bila kuelezana ukweli na vitu vilivyo changia tatizo lakini hatuta tenda haki kutoa elimu ya afya. Pole sana Prof Jay
Kwahiyo jamaa alikuwa mpiga mitulinga (mipombe)?
 
Back
Top Bottom