Kwa maccm chochote kinawezekana!Mara pa anaukwaa uspika
Nchi hii kuna utani na dharau sana ..... !!Hawa ndiyo ma Dr wa CCM
Tena anaitwa DR.Ni haki yake na ametimiza sifa na vingezo!. Niliwahigi kushauri Spika JYN ndiye awe Spika wetu wa mwisho asiye mwanasheria!.
P
Chezea Ri PHD wewe🤔.Kila safari haikosi wasindikizaji.
Anyway, ni hulka ya wanasiasa kutafuta attention kwa kila namna.
Wewe, wewe, wewe, umesahau alivyochukua fomu JPM; na alipofika Mwanza wajumbe wakamweleza asubiri maana wenye fedha (Lowassa) wanaingia kwanza!!!!!! Haya mambo lakini si kwa darasa la saba Msukuma. By the way, mwongozo wa TCU unatanabahisha kuwa huwezi kumwita mtu Dr wakati akiwa na honorary degreehivi humu ninani anakumbuka siku Benjamin Mkapa alipokuwa akichukua form ya kuogombea uraisi mwaka 1995 kupitia CCM? ingawa nilikuwa mdogo nakumbuka sana kwa jinsi CCM wenzake walivyo mdhihaki kwa kumwita majina mabaya mabaya, siku ya mwisho alipindua meza!!!!
Wewe, wewe, wewe, umesahau alivyochukua fomu JPM; na alipofika Mwanza wajumbe wakamweleza asubiri maana wenye fedha (Lowassa) wanaingia kwanza!!!!!! Haya mambo lakini si kwa darasa la saba Msukuma. By the way, mwongozo wa TCU unatanabahisha kuwa huwezi kumwita mtu Dr wakati akiwa na honorary degreehivi humu ninani anakumbuka siku Benjamin Mkapa alipokuwa akichukua form ya kuogombea uraisi mwaka 1995 kupitia CCM? ingawa nilikuwa mdogo nakumbuka sana kwa jinsi CCM wenzake walivyo mdhihaki kwa kumwita majina mabaya mabaya, siku ya mwisho alipindua meza!!!!
Wewe, wewe, wewe, umesahau alivyochukua fomu JPM; na alipofika Mwanza wajumbe wakamweleza asubiri maana wenye fedha (Lowassa) wanaingia kwanza!!!!!! Haya mambo lakini si kwa darasa la saba Msukuma. By the way, mwongozo wa TCU unatanabahisha kuwa huwezi kumwita mtu Dr wakati akiwa na honorary degreehivi humu ninani anakumbuka siku Benjamin Mkapa alipokuwa akichukua form ya kuogombea uraisi mwaka 1995 kupitia CCM? ingawa nilikuwa mdogo nakumbuka sana kwa jinsi CCM wenzake walivyo mdhihaki kwa kumwita majina mabaya mabaya, siku ya mwisho alipindua meza!!!!