Yote hayo mkuu ni kwa sababu ujinga nao umepewa uhuru, angepewa mtu smart a debate nae. Tukianza na maswali binafsi kama vile.Analazimisha ideology yake iwaingie wengine.
Hawa ndio wanaokufa kwa upweke na depression.
Hata ndizi mzuzu utapata shemMi staki chips bana
Hapo sawa..na safari baridiiiiiiiHata ndizi mzuzu utapata shem
KARIBU saaana Sana SanaHapo sawa..na safari baridiiiiiii
Kuna wanawake wanaochukua hayo asemayoHuyo naona kama Chief Godlove anatafuta views tu wala hamaanishi.
😂😂 sasa mtu aliyeolewa mara nne na kuachika anaweza kumshauri nini mwanamke anayejiheshimu na kujitambua?Kabla hamjafuata anachosema nawakumbusha tu kashaolewa mara nne.
Ahsanteni.
🤣🤣🤣duhKwenye nguo namuwekea Buku tu maana ananipiga vizinga vingi
Hivi anaweza kujizagamua mwenyewe? Au ndio harakati uchwara.Anafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Ulishamuona mume wake ?Nampa pole sana Mwanaume mwenye Lidemu kama hili.
Kajichanganya sana
Ni hasira zimemjaa , mwanamke ambaye ana mtu wa kuzibua sikio lake uwa Hana hasira sana na zisizo na mpangilioAnafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
😅😅😅 Uko poa kaka.Basi mwanaume kumlisha,kumvisha na kumpa mahitaji mwanamke wake ni UJINGA.
Hizo mahitaji si ajipatie mwenyewe?
Kwani hana nguvu ya kujipatia??
Hii ni athari mbaya ya Feminism.
Yani feminism inamfanya mtu anakua kipofu wa akili hadi anaropoka hajielewi.
Huyu nae anajiita eti mwanaharakati.
😂😂😂😂😂😂 Lior .
she is no longer a housemaid (si kwamba ni jambo baya kuwa beki 3) Rejea tena kusoma ukaelewa mpendwa.
Tatizo si ubeki tatu, tatizo ni Joyce Kiria.
We muache tu tutampelekea supu ya kuku akiwa kitandani.😅😅😅 Uko poa kaka.
Feminist wetu anapaswa ajue kuwa watu anaowakanyaga wakati akiwa njiani kukwea ngazi kwenda juu huenda wakawa ni walewale atakaowakuta kwenye safari yake ya kuteremka ngazi.
Dishi limeyumbaAnafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Kuna wanawake wanaochukua hayo asemayo
Basi na ikawe hivyo mama.Umesema bado ana ushamba wa ubeki tatu
Sasa ubeki tatu una ubaya gani?
Kwa namna Moja ama nyingine umehusisha wendawazimu wa Joyce Kiria na ubekitatu.
Tusiwa include na wanawake wengine wazuri pamoja na huyu. Kakaa na wanaume wangapi todate? Kwanini wanapiga then wanatembea na sio kukaa nae huyu? Hawa watu huenda wana project maalumu wamepewa na watu maalumu kutoka nje ya nchi; mwanamke wa Kitanzania aliye lelewa na mama wa Kitanzania hawezi kua na ujasiri wa kusema public hiki alichokisema.Ajabu ni kwamba kufanya kazi za ndani Wanasema "Kwani Mwanaume hana mikono"
Ila wanapotaka Kuhudumiwa(kupewa hela) Huwa hawajiulizi kwani Sisi Mikono ya Kutafuta Hatuna!!!
Wanatakiwa pia Wapiganie MWANAMKE ASIHUDUMIWE NA MWANAUME KWA SABABU KILA MTU ANA MIKONO.
Koment yako ipigwe laminationKabla hamjafuata anachosema nawakumbusha tu kashaolewa mara nne.
Ahsanteni.