Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Mapenzi yanapaliliwa...Fua kwa mapenzi,usifuwe kwa sababu ya kukuta kiinuwa mgongo kwenye trousers [emoji158]!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapenzi yanapaliliwa...Fua kwa mapenzi,usifuwe kwa sababu ya kukuta kiinuwa mgongo kwenye trousers [emoji158]!!
KabisaWanaharakati sio watu wa kuoa wala kuzaa nao
Kwa uhalisia mi siwezi ishi na mwanamke mwenye mikucha kama jini.
Kucha ndefu maana yake hawezi kufanya kazi
Anafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Huyu Kila siku anazidi kuwa karagosiAnafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Ila zama za mwanaume kutoa mahari bado zipo? Huyu anaumwa nyegelemoniaWadau nimeikuta hii mahali:
Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"
~Joyce Kiria, Mwanaharakati.
Jamaa kaudharau ubekitatuMabeki tatu wapewe tuzo zao.
Ndio maana wanaume wengine tunaangukia na kuoa mabeki3 zetu.
Kwenye nguo namuwekea Buku tu maana ananipiga vizinga vingi😂😂😂Buku moja....?wee mi ningekuuliza...kuna siku nilifua nikakuta hewa ikabidi niseme kiutani jamani uwe unaacha kiinua mgongo,akacheka
Aaliyah Hana noma mtoto mzuri hana akili za kipuuzi kama za huyo bidada 😁Sema mfano ikatokea kwel tukachoma ubani hayo ya kufua, kupika sijui kumuogesha itakua Kama sehemu ya mahaba tu Sio kama anavopotray Huyo housemaid kiriaNgojea aje ajue kumbe mjamaa ana akili za kumzalisha amuweke kundi la singo mazeri.😂😂😂😂😂
Mwisho mtataka na huko mwezini tuingie wote kila mwezi! Kweli Mungu fundi nimeaamini, Mungu angekua Demi naona saa hizi hadi mimba tungebebeshwa na wanawake!!Ndo hivyo wengine wamegoma kuwahudumia na hamna la kuwafanya[emoji3]
Mwanamke mchafu km huyu unapeleka wapi,
Loh! Keshamaliza chungu cha nne? Huyu hafai kwa jua wala kwa mvua, akaoe mwanamke mwenziwe tu.Kabla hamjafuata anachosema nawakumbusha tu kashaolewa mara nne.
Ahsanteni.
she is no longer a housemaid (si kwamba ni jambo baya kuwa beki 3) Rejea tena kusoma ukaelewa mpendwa.Mbona mabeki3 ndio tunaongoza kufua
Usiuterm ubeki tatu kama kitu duni
Karibu Sana Sana Dar, huku tunakula chips Tu ....
Sisi hatuna tatizo na kubeba mimba. Haijawahi kuwa adhabu..Mwisho mtataka na huko mwezini tuingie wote kila mwezi! Kweli Mungu fundi nimeaamini, Mungu angekua Demi naona saa hizi hadi mimba tungebebeshwa na wanawake!!
Maneno aliyotumia kaonyesha ana matatizo yake, sasa namna yake ya kuyakabili anataka na wenzake wafanye hivyo.Sasa yeye hajasema kuwa "sio lazima kumhudumia mume" kasema "ni ujinga kumhudumia mume" unapoki term kitu kama ujinga it means HAKIPASWI KUFANYIKA.
Usipindishe alichosema.
Analazimisha ideology yake iwaingie wengine.Maneno aliyotumia kaonyesha ana matatizo yake, sasa namna yake ya kuyakabili anataka na wenzake wafanye hivyo.
Simjui vizuri, lakini kuna time nilimpa muda kumsikiliza sana akiwa na kipindi cha Wanawake live miaka ya 2010's mwanzoni. Baadae akawa na mume mbunge sijui mgombea yule, akaonyesha tabia tofauti kabisa katika masuala ya mtazamo wa kifedha. Mwanaume akawa ni wake, yani wanaume wote tuwe kama mume wake.
Mara paap, wakavurugana... akaanza kurap hadharani vina visivyo na mantiki, sijui alikuwa ananyanyaswa,anapigwa... n.k
Nika conclude tangu time ile kuwa huyu ni mtu muongo, wa hovyo anaependa kuingiza watu katika mikumbo mikumbo. Mwisho wa usiku hawa wanakuja kuwa wazee wa hovyo hovyo.