Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Anao wafanyakazi wa kumsafisha😄Akienda kupupu pia panajisafisha penyewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anao wafanyakazi wa kumsafisha😄Akienda kupupu pia panajisafisha penyewe?
Mambo kwa ground ni tofaut, niende job kukutaftia afu nirudi hizo jobs hajafanya?, kama na wao wanaend makazini sawa, tofaut na hapo hahahahTena mwanaume akisaidia kuosha vyombo, huku mnakiss. Anakusaidia kupika huku mnakunywa zenu wine. So Romantic, hebu wasaidieni wake zenu huko. Hiyo mikono mmepewa mfanyie nini? Hakuna punda binadamu. Siku msaidizi yuko off, fanyeni kazi za home pamoja. Hakuna umwinyi.
Stress za kuchokwa hizo anatala kuharibu watoto wa wenzake. Huyu ashitakiweAnafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Na mwanaume kumpa hela mwanamke ni ujinga pia. Kwani hana mikono ya kutafuta. Hapo nyumbani tunakuwa kama wapangaji wanaoishi chumba kimoja.Anafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Nibora ugonge CHAPUTAUsioe mwanamke aliyeachika kwa sababu yoyote ile.
Never get married by a divorced woman in whatever manner.
Hivi,huyu hakui tu na ujingaujinga wake?Anafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Anatumia lile li-brashi la kusafishia sinki kujitakasa makalio.Hizo kucha ndefu.. chooni anaendaje?
Tunakoenda ndio huko.Haya Maisha tafuta watoto wako waleee bas haya mambo ya ndoa waachie wasio na akili..... imagine uishi na taka taka kama hiyo ndani
Maisha yake hayo aliyopitia,Tupo tuliofua, tukapiga pasi, tukapika, tukapeleka viatu shoe shine, napo wakachepuka, mwacheni tu aseme pengine anazo sababu
Anawalisha wengine upumbaf wake.Maisha yake hayo aliyopitia,
Asifikiri na wengine wanapitia akae kwa kutulia.
Pole sana, ukajua nishakufa? Nilibadili Tu kidogo ubatizoSikuwa natambua kwamba wewe ni shemeji yangu😀
😂😂😂😂😂😂😂😂InawezekanaKuna Shehe aliwahi kusema anafungishaga ndoa za wanadamu na majini.
Huyu Mama sidhani kama ameolewa na mwanadam
Mapovu yanawatoka utasema walemavu😂Anafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Mapovu yanawatoka utasema walemavu😂Anafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Pesa atoe wapiHuyu si ajabu anahonga!! Upeo finyu sana.!!! Akate kucha kwanza kabla hajatoa pumba zingine.
Kwa hizi kucha anafuaje?Anafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192