Joyce Kiria: Mwanamke kumhudumia mwanaume ni ujinga

Kauli kama hizi ni kawaida kwa wanawake waliojipata kutokana na kipato chao kinawafanya wawe na dharau maana kwake kuishi na mwanaume sio lazima anajiweza.
 
Nasemaa hivi punda wapo na mwamwinyi wapo na hawatoisha abadani 🤣🤣🤣
 
Kwanza angalia hayo makucha tu utajua huyo n mwanamke wa aina Gani..
 
Hakuna kitu na enjoy kama kumuhudumia mume wangu sitaki aguse hata kijiko
 
Kauli kama hizi ni kawaida kwa wanawake waliojipata kutokana na kipato chao kinawafanya wawe na dharau maana kwake kuishi na mwanaume sio lazima anajiweza.
Sio kweli, watu hawaishi pamoja kwa ajili ya kipato. Watu wanaishi pamoja tokana na upendo.

Angekuwa haoni umuhimu wa kuishi na mwanaume asingeolewa mara nne kama mdau alivyosema hapo juu. Hizo ni mbwembwe tu za wana uharakati mkuu.
 
Hakuna kitu na enjoy kama kumuhudumia mume wangu sitaki aguse hata kijiko
Unatakiwa ujengewe mnara. Na hiki wamama wengi ndio wanachopenda. Hamuhutuhudumii kwa kuwa mu watumwa wetu, ila mnatuhudumia kwa kuwa mnatupenda.

Na hii ndio ndoa. Hongera.
 
Kila kitu ni kizuri kikifanyika kwa Upendo.
 
Daah huyo nae huyo ni Mwanamke wa kumsikiliza aisee wakati anabadilisha wahuni kama nguo hana maadili kabisa.
 
Huyu si aliachika achika mara mbili sijui tatu.
 
Yeye anasema hivyo, si kwa kuwa amempata Shost ake wanaishi Pa1, Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama Mungu mwenyewe akasema alimpa mwanaume msaidizi mm nan hata nipinge ,mwanamume ndio kiongozi mtafutaji na mzalishaji na mm ni muhudumu haipingiki na Mungu anisaidie nisiache majukumu yangu
 
huyu dada hana hekima kabisa.

Siku moja zamani kwenye kipindi chake wakati huo kipo eatv alisema wazi wazi aliolewa na jia-naume jeusi, yaani hapo alikuwa anamsema yule dj waliyefunga nae ndoa ya kanisa.

angalia karma sasa, huyu ni mume wa tatu, na mume mwenyewe sasa, jinsia ya kiume kama inakuja inakataa.

King Kong III njoo utoe hekima zako hapa mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…