msapinungu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 839
- 692
Huyu si ajabu anahonga!! Upeo finyu sana.!!! Akate kucha kwanza kabla hajatoa pumba zingine.Anafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Kwani ukimtazama tu usoni unaona ana tofauti gani na Nabii Tito"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Afanyiwe ukaguziHizo kucha ndefu.. chooni anaendaje?
Yeye sio mtumishi, hiyo ndiyo tofauti yake na nabii TitoKwani ukimtazama tu usoni unaona ana tofauti gani na Nabii Tito
Na kucha zake kama shetaniAnafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Hivi ni kweli shetani ana kucha ndefuu?Na kucha zake kama shetani
Kwani joy aliolewa baada ya kuachika?Usioe mwanamke aliyeachika kwa sababu yoyote ile.
Never get married by a divorced woman in whatever manner.