Joyce Kiria: Mwanamke kumhudumia mwanaume ni ujinga

Joyce Kiria: Mwanamke kumhudumia mwanaume ni ujinga

Anafunguka mwanaharakati.....

"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria

Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Huyu si ajabu anahonga!! Upeo finyu sana.!!! Akate kucha kwanza kabla hajatoa pumba zingine.
 
Moja kati ya wadada wajinga ni pamoja na huyu, bahati nzuri ni kwamba, wanawake wenye akili zao na kujitambua ni wengi, hivyo atafanikiwa kuwashawishi wadangaji wenzake
 
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Kwani ukimtazama tu usoni unaona ana tofauti gani na Nabii Tito
 
Ajabu ni kwamba kufanya kazi za ndani Wanasema "Kwani Mwanaume hana mikono"
Ila wanapotaka Kuhudumiwa(kupewa hela) Huwa hawajiulizi kwani Sisi Mikono ya Kutafuta Hatuna!!!

Wanatakiwa pia Wapiganie MWANAMKE ASIHUDUMIWE NA MWANAUME KWA SABABU KILA MTU ANA MIKONO.
 
Anafunguka mwanaharakati.....

"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria

Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Na kucha zake kama shetani
 
Back
Top Bottom